Chief Madelu unaiangusha taasisi iliyokufikisha hapo

Chief Madelu unaiangusha taasisi iliyokufikisha hapo

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Wakati akiwa UDSM akisomea Shahada ya Uchumi, Mwigulu alitambulika zaidi kwa jina la Chief Madelu na kuna taarifa za watu wake wa karibu alikuwa sio mhudhuriaji mzuri darasani kwenye Lecture, semina na presentations.

Lakini wakashangaa mwisho wa masomo yake chuoni akapata First Class kitu kilichowashangaza wanafunzi wengi hapo UDSM. lakini yeye mwenye Chief Madelu anajua alitumia mbinu gani kuweza kupata First Class.

Leo sasa watanzania wote wanaonja joto ya jiwe kutokana na Madelu kutoiva kwenye uchumi na kubaki kusema theory ambazo ukizipima huoni matokeo.
 
Wakati akiwa UDSM akisomea Shahada ya Uchumi, Mwigulu alitambulika zaidi kwa jina la Chief Madelu na kuna taarifa za watu wake wa karibu alikuwa sio mhudhuriaji mzuri darasani kwenye Lecture, semina na presentations.

Lakini wakashangaa kila yakija matokeo anapata first class wakawa wanajiuliza sana kulikoni? lakini yeye mwenye Chief Madelu anajua alikuwa anatumia mbinu gani kuweza kupata First Class.

Leo sasa watanzania wote wanaonja joto ya jiwe kutokana na Madelu kutoiva kwenye uchumi na kubaki kusema theory ambazo ukizipima huoni matokeo.

"Kila matokeo yakija anapata first class"
Sijakuelewa hapo juu umamaanisha nini?
 
Pumba alizoongea mwigulu bungeni nimezisikia .
Embu na wewe fafanua hapo uliposema mwigulu kwenye kila mtihani alikuwa anapata first class unamaanisha nini?
Kwamba hata first class ni MCHONGO
 
Embu na wewe fafanua hapo uliposema mwigulu kwenye kila mtihani alikuwa anapata first class unamaanisha nini
watu aliosoma nao ndio wanamjua vizuri ndio wamesema walishangaa kuona kapata first class... wakati uwezo wake chuoni ulikuwa wa kawaida
 
Kwamba hata first class ni MCHONGO
Sipo huko nipo na huyo jamaa aliyesema kila akitoka kwenye paper anapata first class.
Inaelekea huyo jamaa hana uelewa wa jinsi marks zinavyopangwa .
Haiwezekani kusema eti huu mtihani nimeufaulu nimepata first class .
First Class or Second or third inapatikana baada ya kufanya cumulative ya mitihani yote hapo mwishoni.
So sio sahihi kusema mtihani huu amefaulu Kwa first class ( let's say just a test) ingawaje kwenye majumuisho ya kutengeneza class/grade matokeo hayo yatatumika
 
So sio sahihi kusema mtihani huu amefaulu Kwa first class ( let's say just a test) ingawaje kwenye majumuisho ya kutengeneza class/grade matokeo hayo yatatumika
soma vizuri bandiko kabla hujaanza kujadili
 
watu aliosoma nao ndio wanamjua vizuri ndio wamesema walishangaa kuona kapata first class... wakati uwezo wake chuoni ulikuwa wa kawaida
Ni hivi hufahamu kuhusu degree classification za udsm.
First Class, Upper or Lower Second ,Pass zinapatikana baada ya majumuisho ya matokeo yote.
Sasa wewe uliyeandika kila mtihani anapata first class utakuwa huelewi kitu.
Mtihani mtu atapata marks zinakuwa zimetenga Kwa viwango A kuanzia labda 75, B kushuka hadi 65.
 
Sasa wewe uliyeandika kila mtihani anapata first class utakuwa huelewi kitu.
Mtihani mtu atapata marks zinakuwa zimetenga Kwa viwango A kuanzia labda 75, B kushuka hadi 65.
soma vizuri nilichoandika
 
Sipo huko nipo na huyo jamaa aliyesema kila akitoka kwenye paper anapata first class.
Inaelekea huyo jamaa hana uelewa wa jinsi marks zinavyopangwa .
Haiwezekani kusema eti huu mtihani nimeufaulu nimepata first class .
First Class or Second or third inapatikana baada ya kufanya cumulative ya mitihani yote hapo mwishoni.
So sio sahihi kusema mtihani huu amefaulu Kwa first class ( let's say just a test) ingawaje kwenye majumuisho ya kutengeneza class/grade matokeo hayo yatatumika
Sasa kama kila mtihani alipata A tupu kule mwisho atasema hivyo!
 
Back
Top Bottom