Chief of staff wa Makamu wa Rais Dkt. Mpango ni nani?

Chief of staff wa Makamu wa Rais Dkt. Mpango ni nani?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Hellow wakuu,

Kwa uelewa wangu kila mwanasiasa kuanzia mbunge hadi Rais huwa wana ofisi, na hizo ofisi zimesheheni watu wa kada mbalimbali, mkuu wa watumishi wote ktk ofisi anaitwa chief of staff.

Chief of staff ndio mtu wa karibu zaidi na boss yeye ndiye huhusika na mipango yote ya Mheshimiwa na huyu chief of staff huwa haonekani kwenye camera ila ndiye mchezeshaji ndiye muandika hotuba ndiye mratibu wa mkutano na wanahabari n.k

Chief of staff kazi yake ni kusuka mipango, kuandaa sera, kupanga ratiba za mheshimiwa, kuhakikisha tishio lolote la kisiasa linalo mlenga boss analipata kwa haraka na kulishughulikia yeye ni zaidi ya mashine

Mara nyingi Chief of staff huwa ni mtu mwenye taaluma mbalimbali au amewahi kufanya kazi sehu mbali mbali anakuwa na uzoefu wa kutosha na connection za kutosha, chief of staff anaeeza asiwe Usalama ila ni zaidi ya mtu wa usalama, kitumbua cha boss kikiingia mchanga na yeye kazi inaiishia hapo hapo

Sasa nimekaa hapa kijiweni nikajiuliza kwa mamlaka aliyokuwa nayo mheshimiwa na kuwekwa kando, tena kwa surprise

Je, chief of staff wa Dkt. Mpango ni nani?
 
Hellow wakuu,

Kwa uelewa wangu kila mwanasiasa kuanzia mbunge hadi Raisi huwa wana ofisi, na hizo ofisi zimesheheni watu wa kada mbali mbali, mkuu wa watumishi wote ktk ofisi anaitwa chief of staff.

Chief of staff ndio mtu wa karibu zaidi na boss yeye ndiye huhusika na mipango yote ya Mheshimiwa na huyu chief of staff huwa haonekani kwenye camera ila ndiye mchezeshaji ndiye muandika hotuba ndiye mratibu wa mkutano na wanahabari n.k

Chief of staff kazi yake ni kusuka mipango, kuandaa sera, kupanga ratiba za mheshimiwa, kuhakikisha tishio lolote la kisiasa linalo mlenga boss analipata kwa haraka na kulishughulikia yeye ni zaidi ya mashine

Mara nyingi Chief of staff huwa ni mtu mwenye taaluma mbali mbali au amewahi kufanya kazi sehu mbali mbali anakuwa na uzoefu wa kutosha na connection za kutosha, chief of staff anaeeza asiwe Usalama ila ni zaidi ya mtu wa usalama, kitumbua cha boss kikiingia mchanga na yeye kazi inaiishia hapo hapo


Sasa nimekaa hapa kijiweni nikajiuliza kwa mamlaka aliyokuwa nayo mheshimiwa na kuwekwa kando, tena kwa suprise


Je chief of staff wa Dr mpango ni nani?
Anaitwa Makamba. Ni kijana alikuwa Katibu wake tangu akiwa Waziri wa Fedha. Ni muungwana kama Mpango mwenyewe na kamwe hutomuona public kama yule kiherehere wa mama.
 
Huyo chief anaendelea Naye Hadi kifo Cha makamu au anaweza kupelekwa sehemu nyingine yenye ulaji kama huo au zaidi ya hapo
 
Hellow wakuu,

Kwa uelewa wangu kila mwanasiasa kuanzia mbunge hadi Raisi huwa wana ofisi, na hizo ofisi zimesheheni watu wa kada mbali mbali, mkuu wa watumishi wote ktk ofisi anaitwa chief of staff.

Chief of staff ndio mtu wa karibu zaidi na boss yeye ndiye huhusika na mipango yote ya Mheshimiwa na huyu chief of staff huwa haonekani kwenye camera ila ndiye mchezeshaji ndiye muandika hotuba ndiye mratibu wa mkutano na wanahabari n.k

Chief of staff kazi yake ni kusuka mipango, kuandaa sera, kupanga ratiba za mheshimiwa, kuhakikisha tishio lolote la kisiasa linalo mlenga boss analipata kwa haraka na kulishughulikia yeye ni zaidi ya mashine

Mara nyingi Chief of staff huwa ni mtu mwenye taaluma mbali mbali au amewahi kufanya kazi sehu mbali mbali anakuwa na uzoefu wa kutosha na connection za kutosha, chief of staff anaeeza asiwe Usalama ila ni zaidi ya mtu wa usalama, kitumbua cha boss kikiingia mchanga na yeye kazi inaiishia hapo hapo


Sasa nimekaa hapa kijiweni nikajiuliza kwa mamlaka aliyokuwa nayo mheshimiwa na kuwekwa kando, tena kwa suprise


Je chief of staff wa Dr mpango ni nani?
Kwanini mnadhani kwa ghafla
Kwa ni haiwezi kuwa kweli kaomba kupumzika?
Hamujuwi kuwa aliponea chupuchupu kufariki na Covid 19 alitoka ICU.
 
Hellow wakuu,

Kwa uelewa wangu kila mwanasiasa kuanzia mbunge hadi Rais huwa wana ofisi, na hizo ofisi zimesheheni watu wa kada mbalimbali, mkuu wa watumishi wote ktk ofisi anaitwa chief of staff.

Chief of staff ndio mtu wa karibu zaidi na boss yeye ndiye huhusika na mipango yote ya Mheshimiwa na huyu chief of staff huwa haonekani kwenye camera ila ndiye mchezeshaji ndiye muandika hotuba ndiye mratibu wa mkutano na wanahabari n.k

Chief of staff kazi yake ni kusuka mipango, kuandaa sera, kupanga ratiba za mheshimiwa, kuhakikisha tishio lolote la kisiasa linalo mlenga boss analipata kwa haraka na kulishughulikia yeye ni zaidi ya mashine

Mara nyingi Chief of staff huwa ni mtu mwenye taaluma mbalimbali au amewahi kufanya kazi sehu mbali mbali anakuwa na uzoefu wa kutosha na connection za kutosha, chief of staff anaeeza asiwe Usalama ila ni zaidi ya mtu wa usalama, kitumbua cha boss kikiingia mchanga na yeye kazi inaiishia hapo hapo

Sasa nimekaa hapa kijiweni nikajiuliza kwa mamlaka aliyokuwa nayo mheshimiwa na kuwekwa kando, tena kwa surprise

Je, chief of staff wa Dkt. Mpango ni nani?
Very shallow argument. Ungetupa mifano ya "Chiefs of Staff" wa baadhi ya viongozi na jinsi walivyowasaidia viongozi wao. Zaidi ya hapo ni kuropoka tu kama Lissu!
 
Hellow wakuu,

Kwa uelewa wangu kila mwanasiasa kuanzia mbunge hadi Rais huwa wana ofisi, na hizo ofisi zimesheheni watu wa kada mbalimbali, mkuu wa watumishi wote ktk ofisi anaitwa chief of staff.

Chief of staff ndio mtu wa karibu zaidi na boss yeye ndiye huhusika na mipango yote ya Mheshimiwa na huyu chief of staff huwa haonekani kwenye camera ila ndiye mchezeshaji ndiye muandika hotuba ndiye mratibu wa mkutano na wanahabari n.k

Chief of staff kazi yake ni kusuka mipango, kuandaa sera, kupanga ratiba za mheshimiwa, kuhakikisha tishio lolote la kisiasa linalo mlenga boss analipata kwa haraka na kulishughulikia yeye ni zaidi ya mashine

Mara nyingi Chief of staff huwa ni mtu mwenye taaluma mbalimbali au amewahi kufanya kazi sehu mbali mbali anakuwa na uzoefu wa kutosha na connection za kutosha, chief of staff anaeeza asiwe Usalama ila ni zaidi ya mtu wa usalama, kitumbua cha boss kikiingia mchanga na yeye kazi inaiishia hapo hapo

Sasa nimekaa hapa kijiweni nikajiuliza kwa mamlaka aliyokuwa nayo mheshimiwa na kuwekwa kando, tena kwa surprise

Je, chief of staff wa Dkt. Mpango ni nani?

..unamzungumzia Katibu Myeka / Private Secretary wa Makamu wa Raisi.

..huyo ndiye msimamizi wa Ofisi ya Makamu wa Raisi.

..Ni afisa anayefuatilia na kuwasimamia wasaidizi wengine wa Makamu wakiwemo waandishi wa hotuba, washauri ktk sekta mbalimbali, etc etc.

..kutokana na ukimya wa Makamu wa Raisi sio rahisi kuwafahamu wasaidizi anaofanya kazi nao.

..Katibu Myeka wa Raisi ndiye anayejulikana zaidi kutokana na ukubwa wa ofisi yake na taarifa za ofisi hiyo kuwa ktk vyombo vya habari mara kwa mara.
 
Umetumia ujanja ila meseji yako imefika. Ila chief of staff wa.nchimbie anaweza akawa mpenda lights camera and branding himself.

Kuna dogo marehemu alikuwa.chief.of.staff wa Jakaya Akiitwa.Adam alikuwa mtu.wa.kawaida.sana yaani mpaka umjue ni uambiwe huyu Katibu wa.Jakaya. halafu dogo alikuwa genius fulani mkimya ila alikuwa anatembeza french na spanish utadhani kaishi Monaco na cartagena.
 
Umetumia ujanja ila meseji yako imefika. Ila chief of staff wa.nchimbie anaweza akawa mpenda lights camera and branding himself.

Kuna dogo marehemu alikuwa.chief.of.staff wa Jakaya Akiitwa.Adam alikuwa mtu.wa.kawaida.sana yaani mpaka umjue ni uambiwe huyu Katibu wa.Jakaya. halafu dogo alikuwa genius fulani mkimya ila alikuwa anatembeza french na spanish utadhani kaishi Monaco na cartagena.

..private secretary / chief of staff / katibu myeka wa JK alikuwa anaitwa Prosper Mbena.
 
Anaitwa Makamba. Ni kijana alikuwa Katibu wake tangu akiwa Waziri wa Fedha. Ni muungwana kama Mpango mwenyewe na kamwe hutomuona public kama yule kiherehere wa mama.
Na yule kijana kweli kihere here atampindua Abdul yule
 
Anaitwa Makamba. Ni kijana alikuwa Katibu wake tangu akiwa Waziri wa Fedha. Ni muungwana kama Mpango mwenyewe na kamwe hutomuona public kama yule kiherehere wa mama.
Chief of staff muungwana 😀
 
Hellow wakuu,

Kwa uelewa wangu kila mwanasiasa kuanzia mbunge hadi Rais huwa wana ofisi, na hizo ofisi zimesheheni watu wa kada mbalimbali, mkuu wa watumishi wote ktk ofisi anaitwa chief of staff.

Chief of staff ndio mtu wa karibu zaidi na boss yeye ndiye huhusika na mipango yote ya Mheshimiwa na huyu chief of staff huwa haonekani kwenye camera ila ndiye mchezeshaji ndiye muandika hotuba ndiye mratibu wa mkutano na wanahabari n.k

Chief of staff kazi yake ni kusuka mipango, kuandaa sera, kupanga ratiba za mheshimiwa, kuhakikisha tishio lolote la kisiasa linalo mlenga boss analipata kwa haraka na kulishughulikia yeye ni zaidi ya mashine

Mara nyingi Chief of staff huwa ni mtu mwenye taaluma mbalimbali au amewahi kufanya kazi sehu mbali mbali anakuwa na uzoefu wa kutosha na connection za kutosha, chief of staff anaeeza asiwe Usalama ila ni zaidi ya mtu wa usalama, kitumbua cha boss kikiingia mchanga na yeye kazi inaiishia hapo hapo

Sasa nimekaa hapa kijiweni nikajiuliza kwa mamlaka aliyokuwa nayo mheshimiwa na kuwekwa kando, tena kwa surprise

Je, chief of staff wa Dkt. Mpango ni nani?
Ukishamjua?
 
Hellow wakuu,

Kwa uelewa wangu kila mwanasiasa kuanzia mbunge hadi Rais huwa wana ofisi, na hizo ofisi zimesheheni watu wa kada mbalimbali, mkuu wa watumishi wote ktk ofisi anaitwa chief of staff.

Chief of staff ndio mtu wa karibu zaidi na boss yeye ndiye huhusika na mipango yote ya Mheshimiwa na huyu chief of staff huwa haonekani kwenye camera ila ndiye mchezeshaji ndiye muandika hotuba ndiye mratibu wa mkutano na wanahabari n.k

Chief of staff kazi yake ni kusuka mipango, kuandaa sera, kupanga ratiba za mheshimiwa, kuhakikisha tishio lolote la kisiasa linalo mlenga boss analipata kwa haraka na kulishughulikia yeye ni zaidi ya mashine

Mara nyingi Chief of staff huwa ni mtu mwenye taaluma mbalimbali au amewahi kufanya kazi sehu mbali mbali anakuwa na uzoefu wa kutosha na connection za kutosha, chief of staff anaeeza asiwe Usalama ila ni zaidi ya mtu wa usalama, kitumbua cha boss kikiingia mchanga na yeye kazi inaiishia hapo hapo

Sasa nimekaa hapa kijiweni nikajiuliza kwa mamlaka aliyokuwa nayo mheshimiwa na kuwekwa kando, tena kwa surprise

Je, chief of staff wa Dkt. Mpango ni nani?
Kuna mtu naweza kusema amewekwa pembeni ila sio Mh Mpango. Nakataa nakunya dsm mpaka Dodoma. Mpango kajiuzulu hata kabla ya mkutano tena hiyo nafasi walimuomba sana trust me. Anaujuwa ukweli na anajuwa kile kitatokea na hataki kuwa sehem ya hiyo historia. Ameipisha Karma ameiyona kesho ambayo sisi hatujaiona na tumebaki laumu...
 
Very shallow argument. Ungetupa mifano ya "Chiefs of Staff" wa baadhi ya viongozi na jinsi walivyowasaidia viongozi wao. Zaidi ya hapo ni kuropoka tu kama Lissu!
Unataka mifano kwani wewe unaishi india?

Umesahau Lowasa alikuwa na nguvu sana licha ya kuwa nafasi ya juu aliyoishika ni ya uwaziri mkuu mpaka faili zake zikaanikwa na wapinzani ila still akawa ni tishio


Basi nikuambie hapo wakupewa sifa sio Lowasa ni chief of staff

Chief of staff anatakiwakuwagenius na mtu mwenye solution za haraka

Hawa wanasiasa wao huletewa mipango tu na kuikagua ila kazi husukwa na chief of staff
 
Umetumia ujanja ila meseji yako imefika. Ila chief of staff wa.nchimbie anaweza akawa mpenda lights camera and branding himself.

Kuna dogo marehemu alikuwa.chief.of.staff wa Jakaya Akiitwa.Adam alikuwa mtu.wa.kawaida.sana yaani mpaka umjue ni uambiwe huyu Katibu wa.Jakaya. halafu dogo alikuwa genius fulani mkimya ila alikuwa anatembeza french na spanish utadhani kaishi Monaco na cartagena.
Chief of staff lazima awe introvert halafu genius

Ukiona mwanasiasa anatamba ujue ana chief of staff mzuri
 
Chief of staff lazima awe introvert halafu genius

Ukiona mwanasiasa anatamba ujue ana chief of staff mzuri
Huyu wa.hangaya una muonaje ni genius. Maana project ya mbowe imefeli fedha kala mbowe na uenyekiti kauachia. Mbowe ni genius japo hana elimu kubwa
 
Back
Top Bottom