johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naomba kuelimishwa ili nipate kuelewa vizuri historia.
Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.
Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo
Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)
Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.
Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo
Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)