Chifu mkuu wa Wachagga ni Marealle au Kileo?

Chifu mkuu wa Wachagga ni Marealle au Kileo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Naomba kuelimishwa ili nipate kuelewa vizuri historia.

Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.

Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo

Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)
 
Naomba kuelimishwa ili nipate kuelewa vizuri historia.

Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.

Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo

Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)
Unatufuatilia sana sisi Wachaga
 
Naomba kuelimishwa ili nipate kuelewa vizuri historia.

Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.

Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo

Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)
utashngaa watamtawaza Samia
 
Naomba kuelimishwa ili nipate kuelewa vizuri historia.

Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.

Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo

Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)
Kwa Chief Mkwawa ni Kalenga. Acha upotoshaji.
 
Mimi nipo Lugalo palipopiganwa vita ya mwisho.

Usinipangie wewe meku........hahahaaaa!
Eneo la mapigano haliwezi kuwa ndiyo kwa Chief wetu Mkwawa. Makazi ya Mkwawa yapo Kalenga. Ndipo ilipokuwa capita yake. Hata fuvu lake na kizazi chake wapo Kalenga hata leo...kwanza ww ni Mkinga siyo mtu. Usinibishie
 
Eneo la mapigano haliwezi kuwa ndiyo kwa Chief wetu Mkwawa. Makazi ya Mkwawa yapo Kalenga. Ndipo ilipokuwa Dodoma yake. Hata fuvu lake na kizazi chake wapo Kalenga hata leo...kwanza ww ni Mkinga siyo mtu. Usinibishie
Basi hamisheni haya makaburi ya mashujaa!

Mkinga ni mchungaji Msigwa mimi ni mrombo!
 
Back
Top Bottom