johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unatufuatilia sana sisi WachagaNaomba kuelimishwa ili nipate kuelewa vizuri historia.
Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.
Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo
Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)
Wewe ni mgogo wa pandambili, Kongwa!Unatufuatilia sana sisi Wachaga
utashngaa watamtawaza SamiaNaomba kuelimishwa ili nipate kuelewa vizuri historia.
Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.
Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo
Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)
Mimi nimeweka majina wewe unaweka vyeo!Haina tofauti na kuuliza "hivi Rais wa Tanzania ni Waziri Mkuu".
Fikiri kabla ya swali
Kwa Chief Mkwawa ni Kalenga. Acha upotoshaji.Naomba kuelimishwa ili nipate kuelewa vizuri historia.
Najua wakoloni walimpokonya uchifu mangi Kileo lakini juzikati mangi Kileo ( mtoto ) ametawazwa na kurejeshwa madarakani.
Ndio nauliza Chifu mkuu wa Chagga land ni Mangi Marealle au Mangi Kileo
Nauliza kutokea Lugalo kwa Chifu Mkwawa ( kidume)
Hatumpi jina jipya abakie na u Hangaya wakeHuyu chifu mpya wa wasukuma sijui alipewa jina fani vile? Vip uko uchagani mmepanga kumbatiza chifu nani?
HangayaHuyu chifu mpya wa wasukuma sijui alipewa jina fani vile? Vip uko uchagani mmepanga kumbatiza chifu nani?
Mimi nipo Lugalo palipopiganwa vita ya mwisho.Kwa Chief Mkwawa ni Kalenga. Acha upotoshaji.
Kweli asante umenikumbusha, hivi ni la kike au la kiume?Hangaya
Labda tuwaulize wasukuma mkuuKweli asante umenikumbusha, hivi ni la kike au la kiume?
Haya matamasha ya kubatizana majina yameibuka hivi karibuni nini kiko nyuma ya hili jambo?Hatumpi jina jipya abakie na u Hangaya wake
Eneo la mapigano haliwezi kuwa ndiyo kwa Chief wetu Mkwawa. Makazi ya Mkwawa yapo Kalenga. Ndipo ilipokuwa capita yake. Hata fuvu lake na kizazi chake wapo Kalenga hata leo...kwanza ww ni Mkinga siyo mtu. UsinibishieMimi nipo Lugalo palipopiganwa vita ya mwisho.
Usinipangie wewe meku........hahahaaaa!
Anatafuta kuwekewa ulinzi wa kimila zaidiHaya matamasha ya kubatizana majina yameibuka hivi karibuni nini kiko nyuma ya hili jambo?
Basi hamisheni haya makaburi ya mashujaa!Eneo la mapigano haliwezi kuwa ndiyo kwa Chief wetu Mkwawa. Makazi ya Mkwawa yapo Kalenga. Ndipo ilipokuwa Dodoma yake. Hata fuvu lake na kizazi chake wapo Kalenga hata leo...kwanza ww ni Mkinga siyo mtu. Usinibishie