Chifu mkuu wa Wachagga ni Marealle au Kileo?

Itoshe kusema uchagani hakuna chief kwasababu hatambuliki na hana mamlaka yoyote, ni mtu anaamua kujiita tu.
Chief wa wachaga ni hela, kama huna hela hata uwe mtoto wa mareale, kileo au Mangi mushi wa kibosho, utapigwa makofi na mtoto wa mzee chuwa na hutamuambia kitu
 
Mkwawa alikuwa mbumbu
Mareale alikuwa mjanja mjanja
Ndo mana kipindi wahehe wanakula mbwa
Wachaga wanakula ndafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…