AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa nayoIkulu hii ya 1900??? Au ikulu ya 2020?? Kwa maana ya jengo??
Miaka kumi alikuwa ana ongoza bila ikulu?
Fafanua... Chief Edwin ... kwa jina hilo anakosa sifa.
... kule Uluguru yupo Chifu Kingalu Mwanabanzi. Hayo sasa ndio majina ya kichifu sio Edwin, James, and the like.Fafanua
So aliyekuambua lazima uwe na jina la mzizi ndio uwe chief Nani!?... kule Uluguru yupo Chifu Kingalu Mwanabanzi. Hayo sasa ndio majina ya kichifu sio Edwin, James, and the like.
Labda waruhusu tuupiganie na wababe tuuchukue kama akina mkwawa hapo zamaniUchifu ungerudishwa uwe na hadhi kama chiefdom za Uganda. Sioni ubaya wa makabila kuwa na Machifu wao ili kuendeleza mila na desturi zao
Uchifu haufai hata kidogo. Huko Nigeria machifu wako kama miungu watu. Wanaishi kitajiri, wanatumika na wanasiasa huku wakiwa vinara wa siasa za ukabila. Huko Uganda hivyo hivyo.Uchifu ungerudishwa uwe na hadhi kama chiefdom za Uganda. Sioni ubaya wa makabila kuwa na Machifu wao ili kuendeleza mila na desturi zao
... keywords kwenye bandiko lako ni kabila, mila, desturi unayatekeleza vipi hayo ukiwa katika ubatizo? Unless ni ubatizo jina anyway and if so, why doing so?So aliyekuambua lazima uwe na jina la mzizi ndio uwe chief Nani!?
AKILI TATU, take note of the above! Mkuu Showmax, in less than 12 words, ume-summerize vizuri sana.Zaidi ya kuwatawala watu kichawi na kishirikina Hakuna la ziada kwenye uchief
Inategemeana na jamii...wengine uchifu ni kusimamia maadili na miiko ya jamii Fulani...pamoja na kuendelea utamaduni WA eneo husika...AKILI TATU, take note of the above! Mkuu Showmax, in less than 12 words, ume-summerize vizuri sana.
Sidhani....Sana Sana Naona ndio zitakuza na kuimarisha utamaduni wetu , miila na Amani ...Dunia tubendako ubinafsi ni mkubwa sanaHili Bomu la ukabila linapikwa asee Raisi ajaye aangalie utaratibu wa kufuta hizi division za kikabila waasisi wetu wa mataifa haya hawakuwa wajinga kufuta hizo mamlaka za kikabila na ndio chanzo cha amani tunayoringia, sasa Hangaya huku sijui anatupeleka wapi
Duh ndugu yangu once Ukabila Ukipata nguvu ni hatari kwa umoja wetu wakuu, nyerere hakuwa mjinga kuondoa mamlaka ya kikabilaSidhani....Sana Sana Naona ndio zitakuza na kuimarisha utamaduni wetu , miila na Amani ...Dunia tubendako ubinafsi ni mkubwa sana
Kivipi ? Je sababu zilizomfanya mpaka kuondoa mifumo hiyo wakati ule, mpaka sasa zinaweza kutumikaje!?Duh ndugu yangu once Ukabila Ukipata nguvu ni hatari kwa umoja wetu wakuu, nyerere hakuwa mjinga kuondoa mamlaka ya kikabila
Mwingine Nani aliyepewa!?Cheti cha heshima kutoka kwa malkia walipewa wengi hapa Tanganyika.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jina la mzizi tena ?So aliyekuambua lazima uwe na jina la mzizi ndio uwe chief Nani!?