Chikawe afichua siri: Vifungu 6 Katiba mpya vilichomekwa bungeni bila kuhusisha Zanzibar

Watu wengine uwezo wao wa kuelewa ni mdogO, wanategemea ZIDUMU FIKRA ZA MWENYE KITI
Zodumu fikra za Josephine for a change, maana imedhihirika mnazifuata sana kupitia kwa mchumba wake!
 
Nini usichoelewa, habari hiyo ambayo imekuwa published gazetini? Hujaelewa siri iliyotolea na Waziri Chikawe mambo ambayo yamelalamikiwa na vyama vya upinzani hali kadhalika tume ya katiba?

Huu ni uhuni uliofanyika bungeni ndio huuelewi?

Kaka kwa huyu unapoteza muda wako bure kumjibu kwani kwake CCM kwanza UTAIFA baadaye.
 
Ukiangalia kwa umakini ajenda ya Katiba mpya haikuwepo kwenye ilani ya CCM hivyo basi kulikuwa hakuna nia wala lengo la kutayarisha Katiba bora kwa ajili ya watanzania.Kinachopiganiwa kwa sasa ni kuhakikisha katiba ya CCM ndiyo inapita.
 
Hana ubavu wa kusaini angekuwa nao angeshausaini siku nyingi sana. Anajua huo Muswada wa CCM Watanzania tutaukataa na hivyo nchi kuingia katika mgogoro wa kikatiba...Chezeya nguvu ya umma weye!!!!

CHADEMA , CUF na NCCR_MAGEUZI ndo wanamtisha Rais, asaini tu tuone.
 


Kama we ni msomaji wa kawaida unaoufahamu wa kutambua habari hii kama ni nukuru kutoka chombo cha habari au ni tungo yangu binafsi.

Jambo la msingi katika uandishi hatutakiwi kuandika kitu kinachojirudiarudia chenye kuleta maana na upembuzi ule ule. Hakuna sababu ya kuandika source ya habari wakati paragraph ya pili tu inapambanua kwamba habari hii ni kutoka gazeti la Nipashe.

Inaelekea huwa husomi habari yote na kubapa kile kilichomo ndani ya body nzima, kuna wengi wenye mazoea ya kusoma kichwa cha habari na kuchangia na matoke yake ndio hayo wanakuja na swali kama lako ambalo linajibiwa ukiisoma habari hiyo. Ningenyofoa sehemu ambayo inaonyesha source yake hapo ungenirushia madogo.

Nakushauri rudia kusoma habari hiyo na utapata kujua source yake, tena kwa kukusaidia zaidi soma tu paragraph ya pili utapata jibu.

Alamsiki!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…