CHIKAWE: Katiba haitungwi Jangwani au Kibandamaiti

CHIKAWE: Katiba haitungwi Jangwani au Kibandamaiti

Jamani sio Chikawe na Lukuvi tu., kule Zanzibar pia kuna Seif Ali Iddi, Shams Nahodha na Mzee wa Ruksa.,
 
Huo ndio ukweli hila akili za pamzi na kutojua kitu zaidi ya kushinda humu na porojo uchwara mnadhani katiba inapatikana humu. Si Chikawe tu hata Warioba kasema ingawa mnapotezea kuwa katiba haituingwi kwenye majukwaa. Na hiyo ni diplomacy tu angesema haitungwi jangwani na barabara. Take it
 
chikawe amesema haya kwenye mkutano wa wanasheria dodoma.anasema yeye haoni tatizo lolote katika mswada uliopitishwa wa kuunda bunge maalumu la katiba na kwamba siyo lazima kukubaliana na kila kitu cha wapinzani na kama wana hoja basi waseme bungeni siyo kwenye mikutano ya hadhara.
my take:namshangaa huyu chikawe hajui kwamba katiba si ya bunge ni ya wananchi.na kama katiba ni mali ya wananchi basi mahali pekee pa kueleza kasoro hizo ni kwa wenye mali yaani wananchi na hawa wanapatikana kwenye mikutano ya hadhara.
Macho ya chikawe,lukuvi na wasira yana matatizo,kwa sababu watu wengi pamoja na wasomi waliobobea na wanasheria wanaona mapungufu mengi katika mswada uliopitishwa lakini hawa watatu hawaoni mapungufu yoyote.nawahurumia sana.

ukiwa ndani yua ccm ni lazima uwe kinyonga na kwa hakika wale wote wanaoitumikia sisiem wanajua hawana budi ispokuwa kuendesha unafiki. Kosa la kwanza la hawa watu ni kuwa unapozungumzia nchi hii basi unazungumzi ccm. Mpaka tutakapoondokana na kundi hili la wajinga ndip[o tutakapoweka nchi katika mstari sahihi. Vinginevyo ccm hawajajiandaa kuondoka madarakani hata kidogo na hii inadhihirishwa na unafiki na ukigeugeu kama wa huyu waziri chikawe ambaye hapo mwanzo alisema hakuna haja ya katiba mpya. Sasa jamani watz tunategemea nini kutoka kwa watu hawa wasaliti wa demokrasia?
 
Sasa nimeelewa kwanini CCM wanapingana sana na yaliyomo katika Rasimu ya Katiba Mpya ni kwasababu wanajua fika kama yale yote yatapita kwa asilimia kubwa basi Wanasiasa wa aina ya Lukuvi,Pinda,Chikawe,Makinda na wengine wengi wa aina hiyo hawapata nafasi ya Uwaziri kamwe kwani watatakiwa kwenda Bungeni kuwekwa kitimoto na Wabunge kabla ya kupigiwa kura ya kuidhinishwa kuwa Mawaziri na kwa jinsi CCM walivyo waoga wa kushiriki katika mijadala ya wazi hili la wao kutakiwa kwenda kuthibitishwa Bungeni na uwezekano wao kukumbana na maswali magumu ya akina Lissu,Mnyika,Mnyaa,nk inawafanya wakose amani ndio maana wanapambana kweli kuhakikisha kuwa mambo mengi yanayoonekana kuwa vikwazo kwa ulaji wao yaliyomo katika hii Rasimu ya Katiba mpya yanachomolewa na kuingizwa mapendekezo yao wakati wa vikao vya Bunge la Katiba.Ninajua fika haya mambo mengine CCM wanayojifanya kuyapinga katika hii Rasimu ni kama changa la macho kwa Wananchi lakini jicho lao hasa limetupiwa hapa.CCM na Mijadala ya wazi ni kama maji na mafuta.
 
huu ni upungufu wa akili wabunge ni wachache sana kwa watanzania milion zaidi 40
 
Chikawe amesema haya kwenye mkutano wa wanasheria Dodoma.Anasema yeye haoni tatizo lolote katika mswada uliopitishwa wa kuunda bunge maalumu la katiba na kwamba siyo lazima kukubaliana na kila kitu cha wapinzani na kama wana hoja basi waseme bungeni siyo kwenye mikutano ya hadhara.
My take:Namshangaa Huyu Chikawe hajui kwamba katiba si ya bunge ni ya wananchi.Na kama katiba ni mali ya wananchi basi mahali pekee pa kueleza kasoro hizo ni kwa wenye mali yaani wananchi na hawa wanapatikana kwenye mikutano ya hadhara.
Macho ya Chikawe,Lukuvi na Wasira yana matatizo,kwa sababu watu wengi pamoja na wasomi waliobobea na wanasheria wanaona mapungufu mengi katika mswada uliopitishwa lakini hawa watatu hawaoni mapungufu yoyote.Nawahurumia sana.

hiyo ni kauli ya kipumbavu yenye maana sio lazima kukubaliana na kilakitu wanachosema wananchi. tumeshajua kuwa bunge la katiba litakuwa bunge la masisiemu na sisi hatutaki. sasa kama yeye israeli wake ndio kamtuma afie kwenye swala la katiba aemdelee kudharau wananchi
 
Chikawe amesema haya kwenye mkutano wa wanasheria Dodoma.Anasema yeye haoni tatizo lolote katika mswada uliopitishwa wa kuunda bunge maalumu la katiba na kwamba siyo lazima kukubaliana na kila kitu cha wapinzani na kama wana hoja basi waseme bungeni siyo kwenye mikutano ya hadhara.
My take:Namshangaa Huyu Chikawe hajui kwamba katiba si ya bunge ni ya wananchi.Na kama katiba ni mali ya wananchi basi mahali pekee pa kueleza kasoro hizo ni kwa wenye mali yaani wananchi na hawa wanapatikana kwenye mikutano ya hadhara.
Macho ya Chikawe,Lukuvi na Wasira yana matatizo,kwa sababu watu wengi pamoja na wasomi waliobobea na wanasheria wanaona mapungufu mengi katika mswada uliopitishwa lakini hawa watatu hawaoni mapungufu yoyote.Nawahurumia sana.
Sijui Mh Kikwete alipata wapi haya masalia kumsaidia kazi? Hutegemei mtu mwenye dhamana na akili timamu kutoa kauli za kipumbavu kama hizi, wapinzani wakiongea wanatolewa nje na askari, sasa ccm inataka wapinzanu wakaongelee wapi zaidi ya kwenda kuwapa mrejesho wa ujinga wa Ccm_? Yaani Chikawe hajiulizi ilikuwaje hadi ashindwe ujumbe wa NEC na kijana asiye na jina? Siku zenu zinahesabika
 
:msela:mpaka tarehe 10 nitakuwa nimemaliza mazoezi ya viungo, alafu mtanionyesha huyo Chikawe yupo wapi.
 
Ukiona hivyo, fahamu kuwa "kisu kimegusa mfupa!" Matokeo ya Jangwani na Kibandamaiti na hii mikutano mingine ya wapinzani ni makubwa!
 
Back
Top Bottom