Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kelele unafakiri kila mtu anakurupuka kama mnavyo kurupuka nyie? Au kwa sababu mpo kwa kutetea kila hoja?Acheni kupotosha nyie. Chikawe hajatamka hayo labda kama mmemlisha maneno
Acheni kupotosha nyie. Chikawe hajatamka hayo labda kama mmemlisha maneno
Acheni kupotosha nyie. Chikawe hajatamka hayo labda kama mmemlisha maneno
Wewe ndiye unayetumikia wanasiasa uchwala ambao wameweka maslahi ya vyama mbele kuliko taifa ulishaona wapi watu wanakimbia bunge na kwenda kujadili katiba jangwani na kiembe samaki.Hivi huoni kufanya hivi ni kuiaibisha familia yako, kibaya zaidi unawatumikia mabwana zako wa Lumumba!
Mkuu utakuwa umevurugwa unapotosha watu halafu uachwe tu huko unajidanganya hili jukwaa si la upotoshaji.Kelele unafakiri kila mtu anakurupuka kama mnavyo kurupuka nyie? Au kwa sababu mpo kwa kutetea kila hoja?
Katika waongo wewe ni namba one hata aibu huoni chikawe hajatamka usemayo pengine unaongea kwa niaba yake au uliongea kwa niaba yake.sasa serikali imekiri kuwa rasimu ya katiba baadhi ya vipengele havikujadiliwa huko zanzibar ila nitatizo dogo sana halina haja ya kuleta mtafaruku/mkanganyiko..
source : RFA
sasa serikali imekiri kuwa rasimu ya katiba baadhi ya vipengele havikujadiliwa huko zanzibar ila nitatizo dogo sana halina haja ya kuleta mtafaruku/mkanganyiko..
source : RFA
Katika waongo wewe ni namba one hata aibu huoni chikawe hajatamka usemayo pengine unaongea kwa niaba yake au uliongea kwa niaba yake.
Bishana kwa hoja, weka wewe alichosema Chikawe ili tumalize ubishi!Acha uongo mkuu chikawe hajasema hayonpengine ni maneno yako ya kujitakasa kwa uongonuliozoea kuzua kwenye mijadala kadhaa.