Chikawe: Nikweli baadhi ya vipengele vya katiba havikujadiliwa Zanzibar

Chikawe: Nikweli baadhi ya vipengele vya katiba havikujadiliwa Zanzibar

Bishana kwa hoja, weka wewe alichosema Chikawe ili tumalize ubishi!
Mleta mada mhuni anadanganya huku tunaona chikawe kasema katiba itapatikana kwa wakati uliopangwa,
Akawataka wapinzani kama wanapinga mwenendo wa katiba wakajenge hoja bungeni kwani katiba haitungwi jangwani.
 
Ni jambo la hatali sana kuanza na viroba asubuhi badala ya chai chikawe kanena tofauti mtu katunga maneno yake katuletea.

Sasa wewe si utuambie kasema nini badala ya kutuambia Chikawe kalishwa maneno? unaona ugumu gani kuandika alicho sema Chikawe? Kazi kubisha tuu!!!
 
chikawe mathias ni janga la taifa,waziri kilaza kweli huyu mbaya zaidi hayuko hata serious...magamba sijui wakoje,wanaboa sana!
 
walipokuwa wanawabeza wapinzani kuwa ni wachochezi ndio wamekurupuka kuwa walikuwa sahihi. Serikali ya ccam bara wanapuuza sana zanzibar ndio sababu wazanzibar wameshaona hakuna umuhimu wa muungano uliopo sasa. No wonder even eac tunaonekana mzigo.
chama dhaifu huzaa serikali dhaifu ya kudharauliwa hata na majirani.
 
Nyie endeleeni mimi naendelea na mazoezi ya viungo
:msela::msela::msela::msela::msela::msela:
 
Personally kwenye hili swala nawaona AG, Wasira, Ndugai, Chikawe na Lukuvi kama waigizaji wa picha za 'pilau' kwa kelele zao!
Umemsahau na mtu anaitwa Pindi Chana, hivi watapewa adhabu gani kwa kus3ma uongo bungeni? Hawa jamaa hawaja jua kama Watanzania wa keo sio na wale waliokuwa wanawadanganya kwenye chama kimoja,
 
Najuta sana kuwa mtanzania ..maana tunaongozwa na mapimbi..waziri hawezi kusema ni tatizo dogo hilo
Na kama watanzania tungekuwa makini leo tungesha liamsha baada ya kauli ya huyu --------.....Madudu waliyofanya wamepelekea wabunge kupigwa kudhalilishwa.. halafu leo ana simama ana kusemea kirahisi tu eti ni tatizo dogo...!?
 
Umemsahau na mtu anaitwa Pindi Chana, hivi watapewa adhabu gani kwa kus3ma uongo bungeni? Hawa jamaa hawaja jua kama Watanzania wa keo sio na wale waliokuwa wanawadanganya kwenye chama kimoja,
Hakuna cha adhabu wale ni maana wote ni wapumbavu! huoni hata madawa ya kulevya watu wanaachiwa huru....
 
Mleta mada mhuni anadanganya huku tunaona chikawe kasema katiba itapatikana kwa wakati uliopangwa,
Akawataka wapinzani kama wanapinga mwenendo wa katiba wakajenge hoja bungeni kwani katiba haitungwi jangwani.
Bahati mbaya sana sipendi unafiki/uongo kama ya matahira CCM, ndiyo maana nikaweka na source....
 
Wewe ndiye unayetumikia wanasiasa uchwala ambao wameweka maslahi ya vyama mbele kuliko taifa ulishaona wapi watu wanakimbia bunge na kwenda kujadili katiba jangwani na kiembe samaki.

Tukiwaita mbumbuu mnachukia, mkiambiwa wezi mnanuna, mkuitwa wang'oa meno hamkanushi, sasa na hili tena mnataka tuwaite wazabizabina? kwani wewe unaelimu gani maana wakati mwingine huenda uliingizwa humu kwenye jf na kufundishwa jinsi ya kuandika na kusoma posts.Weka namba yako ya cm tukuchangie hela uende shulen umri wako unakuruhusu kuanza form one
 
ZANZIBAR HAIKUJADILI MUSWADA WOTE - CHIKAWE: Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe amekiri kuwa baadhi ya vifungu vya Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Katiba, havikujadiliwa na Wazanzibari, lakini kasoro hiyo ni ndogo ambayo inaweza kuzungumzika bila kuleta hofu. Alitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma wakati akifungua mkutano wa mwaka wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), ikiwa ni siku tatu tangu atakiwe kujiuzulu akidaiwa kutoa taarifa za uongo kuwa Zanzibar ilishirikishwa kuandaa muswada huo. Akizungumzia madai hayo, Chikawe alikiri kuwa kilichopelekwa Zanzibar kilikuwa na tofauti na kilichopelekwa bungeni, akibainisha kuwa wakati Zanzibar yalipelekwa mambo manne, bungeni yalipelekwa 12. SOURCE: MWANANCHI JUMAMOSI 28.9.13
 
Back
Top Bottom