- Thread starter
- #21
Nitonga vijijini kabisa ukooo ha vasukuma, thakeni kabisa, tutonga fieldkive..r kuna network wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitonga vijijini kabisa ukooo ha vasukuma, thakeni kabisa, tutonga fieldkive..r kuna network wewe
Amina kubwa!Haha Haya mama kila la kheri Mungu akutunze
ooh kavee hayaNitonga vijijini kabisa ukooo ha vasukuma, thakeni kabisa, tutonga field
Iyeeeooh kavee haya
Hapana ngushi sio kwa ajili ya kilimo nina shughuli nyingine tu hukoNdio muda wa kuandaa mashamba ya mpunga nini!
Urudi salama ila tutakumis sana
Basi nitakupigia, ufike salama urudi salama, MUNGU akipenda tutaonanaSasa Elli hata ukinipa namba ya simu kule haitanisaidia! sijapata nimpendae na ila katika kutafuta mkate wa kila siku, ni sehemu za shughuli za ujenzi wa Taifa letu
Usitonge nimekuzoea.[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]Nitonga vijijini kabisa ukooo ha vasukuma, thakeni kabisa, tutonga field
tumia halotel bwana nitakumiss sana shost wangu ulienipa dokta mjini hapaHapana siendi nyumbani naenda vijiji vya hukuhuku kanda ya ziwa lakini ni ndani ndani sana hakuna mambo ya simu simu huko
safari njema mkuuHapana ngushi sio kwa ajili ya kilimo nina shughuli nyingine tu huko
ndima! hahahahhah CastrUsitonge nimekuzoea.[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Ahsanteeeee!safari njema mkuu
hahahahahaah, kula hakuna hata ka mnara, ni vijijini kweli, guest ni nyumba za tembe sijui kama unazijua zimeezekwa kwa udongo! ni maisha plus Fulani! hahahahhahah, Um handle vizuri Dr. tehe tehe tehetumia halotel bwana nitakumiss sana shost wangu ulienipa dokta mjini hapa
ahahaaa hii nchi ina vijiji vya ajabu ila watu wanaishi kuna siku nilienda handeni vijijini ndani hukooo yaani nilikoma nilillala tu kwenye gari na boss maana kulikuwa hakuna jinsi yaaani nyumba za udongo kijiji kizima halafu vumbiii kukiwa na safari za huko nauchuna kama sio mimi yaanihahahahahaah, kula hakuna hata ka mnara, ni vijijini kweli, guest ni nyumba za tembe sijui kama unazijua zimeezekwa kwa udongo! ni maisha plus Fulani! hahahahhahah, Um handle vizuri Dr. tehe tehe tehe
Chikira, matobolwa na michembe ni vitu tofuati ingawa yanatokana na viazi vitamu.Nitakuletea MATOBOLWA unayafahamu au jina lingine MICHEMBE😀
Unaogopa kuwa kama ben
mh! kikazi halafu hakuna mtandao! ila nakutakia mafanikio mema..Ahsante myoyambendi, ila naenda kikazi mpendwa wangu!
Kule tunapikiwa lakini ndio hivyo unatakiwa kuwa na moyo wa chuma, maana hata chapati unakuta anakandia kibao kiko kwenye udongo kabisa! tutabeba maji ya kunywa tu, vingine ni huko huko mfano maji ya kuoga wanachota kwenye vimto yanakuwa kama maziwa Fulani hivi lakini yote ni maisha!Usisahau kuchukua kale kamtungi kadogo ka gesi bibiye,usije kurudi na macho mekundu kwa kupikia kinyesi cha ng'ombe au kuni
alaa kumbe, mie nilidhani michembe ni kusukuma na matobolwa ni kinyamwezi! Ahsante kwa kunieleweshaChikira, matobolwa na michembe ni vitu tofuati ingawa yanatokana na viazi vitamu.