Hahaaa! Furaha ya gongowazi ni kipindi cha usajili tu baaaaasssLeo ni vyuma viwili kwa mpigo sio kurudisha waliofeli kama huko kwa mudi
Huyu chiko naye ni miongoni mwa waliofeli . Huwezi toka timu kubwa ukaja kucheza timu ya mchangani tena kwa mkopo.Timu ambayo ktk viwango vya ubora Afrika inashika nafasi ya 600. Mchezaji ambaye anapigwa benchi na Thomas Ulimwengu , Ulimwengu ambae anapigwa benchi Hadi na Bocco taifa stars . Bocco ambaye anapigwa benchi na Kagere simba scLeo vinatambulishwa vyuma viwili.Stay tuned kazi mnayo.Rekodi za vyuma hivyo Huwezi kufananisha na rekodi za waliofeli
Duh[emoji848]Huyu chiko naye ni miongoni mwa waliofeli . Huwezi toka timu kubwa ukaja kucheza timu ya mchangani tena kwa mkopo.Timu ambayo ktk viwango vya ubora Afrika inashika nafasi ya 600. Mchezaji ambaye anapigwa benchi na Thomas Ulimwengu , Ulimwengu ambae anapigwa benchi Hadi na Bocco taifa stars . Bocco ambaye anapigwa benchi na Kagere simba sc