Chimbo la belo za mtumba grade A pasipo na matapeli na waongo zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?

Chimbo la belo za mtumba grade A pasipo na matapeli na waongo zinapatikana wapi kwa Dar es Salaam?

Huwa wabebaji wananyofoa kadhaa, hutajua rahisi mwenye mali hadi baadaye.
[emoji3577]
Lakini nilizokuta za ukweli man 25000 na foronya zake mbili
IMG_20210311_171905.jpg
IMG_20210311_171514.jpg
IMG_20210311_171413.jpg
IMG_20210311_171341.jpg
 
Humu ndani vitisho vingi.
Jana nikajitosa kununua balo la nguo za watoto. Sikuwa na connection na ilikuwa first time lakini nimepata vitu vikali sana.
Nenda mtaa wa Lindi karibu na stand ya Magari ya Gongolamoto na Temeke.
Maduka kama yote
Pesa ngapi KWA bali grade A
 
Back
Top Bottom