Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Nani anakula fegi hapo pembeni?..atachoma shatiKuna kazi moja imetoka Ni balaa Bila 8000 siitoiView attachment 1722850View attachment 1722851
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anakula fegi hapo pembeni?..atachoma shatiKuna kazi moja imetoka Ni balaa Bila 8000 siitoiView attachment 1722850View attachment 1722851
Ndo hizi ambazo zinauzwa 8000-10000View attachment 1722849
Dah shart la ukweli sana hiliDOUBLE POCKETView attachment 1722861
Hizi za Kariakoo ni "uniform " mkuu,,, ukivaa basi kwa siku lazima ukutane na mwenzako pia katupia hivyo, tofauti na mtumba unakuwa wa pekeeWatu bora wavae mitumba..nguo hizi za china zinazochuuzwa kariakoo,sinza na kinondoni ni utopolo mtupu.
Yes, quality hamna na bado saresare maua..Hizi za kariakoo ni "uniform " mkuu,,, ukivaa basi kwa siku lazima ukutane na mwenzako pia katupia hivyo, tofauti na mtumba unakuwa wa pekee
Inaboa sana mkuuYes,quality hamna na bado saresare maua..
Hahaaa kwani kalitupa mkuu?hivi haya mashati huwa wanaokota au wananunua kwa bei ndogo.Mengine makali mpaka unashangaa huyu mzungu ilikuaje akalitupaView attachment 1722860
Kama mzunguko upo eneo zuri ndani ya wiki inatakiwa uwe umerudisha pesa yako ya beloNdo hizi ambazo zinauzwa 8000-10000View attachment 1722849
Huwa wabebaji wananyofoa kadhaa, hutajua rahisi mwenye mali hadi baadaye.Niliwahi kuvunja la mashuka lenyewe wameandika mashuka 46 kwa juu ila nilipofungua nikakuta 43...sijui waga wananyofoa
Lakini nilizokuta za ukweli man 25000 na foronya zake mbiliHuwa wabebaji wananyofoa kadhaa, hutajua rahisi mwenye mali hadi baadaye.
[emoji3577]
Za ukweli aiseeLakini nilizokuta za ukweli man 25000 na foronya zake mbili
View attachment 1722901View attachment 1722902View attachment 1722903View attachment 1722904
Pesa ngapi KWA bali grade AHumu ndani vitisho vingi.
Jana nikajitosa kununua balo la nguo za watoto. Sikuwa na connection na ilikuwa first time lakini nimepata vitu vikali sana.
Nenda mtaa wa Lindi karibu na stand ya Magari ya Gongolamoto na Temeke.
Maduka kama yote
Zinapauka sana hasa kadeti..m mpka nmehamia kwenye suruali za vitambaa.Watu bora wavae mitumba..nguo hizi za china zinazochuuzwa kariakoo,sinza na kinondoni ni utopolo mtupu.
Duh, naona mali safi kabisa! NaaminiaLakini nilizokuta za ukweli man 25000 na foronya zake mbili
View attachment 1722901View attachment 1722902View attachment 1722903View attachment 1722904
Mashuka beli bei gani?Lakini nilizokuta za ukweli man 25000 na foronya zake mbili
View attachment 1722901View attachment 1722902View attachment 1722903View attachment 1722904
shuka nzuriLakini nilizokuta za ukweli man 25000 na foronya zake mbili
View attachment 1722901View attachment 1722902View attachment 1722903View attachment 1722904