Mkuu hili belo lamashuka ulinunua kiasi gani tshLakini nilizokuta za ukweli man 25000 na foronya zake mbili
View attachment 1722901View attachment 1722902View attachment 1722903View attachment 1722904
Na ukipiga kwa calculator unaipata vuuup,.. basi unasema hapa ndo peneyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hujaona logic kivipi!? Faida ni nyingi sana?
Hiyo pesa huipati kwa mara 1, unapouza rejareja hapo ni kidogo kidogo, km ukiwa na soko la uhakika, pesa ndio unaiona vizuri, ila mzunguruko mdogo, unachelewa kupiga mpunga hapo hapo ule na matumizi ya kila siku. Tofaouti na kuipata vuuup.
seriously ?Shati Belo lake Ni 600000 japo mimi nimenunua juzi tu ila mkoani
Nimekuta shat 184
Nikachambua Kali grade zikatoka 54
Kweli kabisaKwa hali hii ya maisha ya Sasa hakuna wa kukupa 10000..akija na 7000 unampa akija na 6000 nako itabidi umpe tu Mambo yenyewe yashavurugika [emoji851]
Hili ukilinyoosha unauza hata 12000Elfu Saba View attachment 1722859
Nguo huwez uza zikaisha zote, tunaofanya biashara ya nguo tunajua. Fanya zbak shat 50.Hizi hesabu zako bado sijaona logic, kwamba 54 ukiuza unapata sh540,000 na zilizobaki 130 unauza sh650,000 jumla inakuwa sh. 1,190,000. hii faida basi ni nzuri kama kweli