Chimbo la chupi aina zote

Chimbo la chupi aina zote

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
"Copy and paste from Facebook" Ni kama wiki na ushee nilimpa connection hii dada fln anauza mitumba hapa kitaa na amefanikiwa kupata mzigo wake aliagiza chupi 100 zikaja kama alivyo agiza. Siishi Dar lolote likikupata sio Mimi nimeshare nanyi humu Kwa atakae penda afanye hii biashara. Ahsantee sana.

NUNUA 1500 KAUZE 3000 FAIDA
SAWA NA MTAJIII 💯 🔥🔥

📌Karibu uanze biashara ya chupi kwa urahisi zaidi kupitia ANNAH-CHIMBO ukiwa na mtaji mdogo kuanzia 75,000/= tu.

📌Karibu nikuchanganyie sampo mbali mbali za chupi nzur nzurii (50) zilizopo kwenye fashen ukiwa na 75,000/= tu ukapige hela

📌Kama bado upo nyumbani na hujui ufanye biashara gan au umejaribu biashara kadhaa bila mafanikio njoo ufanye hii uone tofauti ya biashara ya chupi na biashara zingne za mitaji mikubwa, Kwan haina msimu na inafanyika popote

📌Bei ya offer ni 1500 tu kuanzia chupi 50
📌Dozen 18000/= kuanzia dzn 5 tu
📌Caton 180,000/= inakua na dzn 10

📌Ofisi zetu zipo dar tabata chang'ombe mikoani tunatuma kwa uaminifu pia unaruhusiwa kumtuma mtu akufatie uaminifu ndio nguzo yetu,wasiliana nasi kwa👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼

0712205400 call/sms/watsapp

Kwa heshima kubwa mtu wa watu Kalaga Baho Nongwa nakuomba utoe mawili matatu hapa Kwa faida ya Wana JF wote watakao penda.

FB_IMG_1726729702990.jpg
FB_IMG_1726729707755.jpg
FB_IMG_1726729689988.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1726729695919.jpg
    FB_IMG_1726729695919.jpg
    95.6 KB · Views: 12
  • FB_IMG_1726729684673.jpg
    FB_IMG_1726729684673.jpg
    53.7 KB · Views: 14
  • FB_IMG_1726729736202.jpg
    FB_IMG_1726729736202.jpg
    103.1 KB · Views: 9
  • FB_IMG_1726729728428.jpg
    FB_IMG_1726729728428.jpg
    88.1 KB · Views: 9
  • FB_IMG_1726729719352.jpg
    FB_IMG_1726729719352.jpg
    91.2 KB · Views: 11
  • FB_IMG_1726729713852.jpg
    FB_IMG_1726729713852.jpg
    99.3 KB · Views: 10
"Copy and paste from Facebook "
Ni kama wiki na ushee nilimpa connection hii dada fln anauza mitumba hapa kitaa na amefanikiwa kupata mzigo wake aliagiza chupi 100 zikaja kama alivyo agiza. Siishi Dar lolote likikupata sio Mimi nimeshare nanyi humu Kwa atakae penda afanye hii biashara. Ahsantee sana


NUNUA 1500 KAUZE 3000 FAIDA
SAWA NA MTAJIII 💯 🔥🔥

📌Karibu uanze biashara ya chupi kwa urahisi zaidi kupitia ANNAH-CHIMBO ukiwa na mtaji mdogo kuanzia 75,000/= tu.

📌Karibu nikuchanganyie sampo mbali mbali za chupi nzur nzurii (50) zilizopo kwenye fashen ukiwa na 75,000/= tu ukapige hela

📌Kama bado upo nyumbani na hujui ufanye biashara gan au umejaribu biashara kadhaa bila mafanikio njoo ufanye hii uone tofauti ya biashara ya chupi na biashara zingne za mitaji mikubwa, Kwan haina msimu na inafanyika popote

📌Bei ya offer ni 1500 tu kuanzia chupi 50
📌Dozen 18000/= kuanzia dzn 5 tu
📌Caton 180,000/= inakua na dzn 10

📌Ofisi zetu zipo dar tabata chang'ombe mikoani tunatuma kwa uaminifu pia unaruhusiwa kumtuma mtu akufatie uaminifu ndio nguzo yetu,wasiliana nasi kwa👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼

0712205400 call/sms/watsapp

Kwa heshima kubwa mtu wa watu Kalaga Baho Nongwa nakuomba utoe mawili matatu hapa Kwa faida ya Wana jf wote watakao penda.
View attachment 3100244View attachment 3100245View attachment 3100249
Hakuna chupi ya kuuzwa dazeni elfu 15 hapo. Hizo chupi za elfu 9, 11 au 12 dazeni.
 
Hakuna chupi ya kuuzwa dazeni elfu 15 hapo. Hizo chupi za elfu 9, 11 au 12 dazeni.
Ahsantee Kwa sana ndio maana inahitajika sana humu kambini.

Mimi nilimpa connection yule dada akaagiza sijui alinunuaje na alipopta mzigo akaniambia amepata. Sijui kama.umeisha au lah.

Bei ya offer ni 1500 tu kuanzia chupi 50
📌Dozen 18000/= kuanzia dzn 5 tu
📌Caton 180,000/= inakua na dzn
10

Nadhani hata hiyo 18,000/= sio issue kabisa huku mkoani faida Bado imo Kuna chupi tuna nunua 5000+ labda material Sasa tofauti hizi za buku 2-3 Zina wenyewe
 
Ahsantee Kwa sana ndio maana inahitajika sana humu kambini.

Mimi nilimpa connection yule dada akaagiza sijui alinunuaje na alipopta mzigo akaniambia amepata. Sijui kama.umeisha au lah.

Bei ya offer ni 1500 tu kuanzia chupi 50
📌Dozen 18000/= kuanzia dzn 5 tu
📌Caton 180,000/= inakua na dzn
10

Nadhani hata hiyo 18,000/= sio issue kabisa huku mkoani faida Bado imo Kuna chupi tuna nunua 5000+ labda material Sasa tofauti hizi za buku 2-3 Zina wenyewe
Ukiona chupi imenunuliwa elf 5+ ujue dazeni yake ni zaidi ya elfu 33. Hizi zinapatikana maduka machache sana kariakoo kule concord hotel. Na hukuti wanauza machinga mitaani
 
Ahsantee Kwa sana ndio maana inahitajika sana humu kambini.

Mimi nilimpa connection yule dada akaagiza sijui alinunuaje na alipopta mzigo akaniambia amepata. Sijui kama.umeisha au lah.

Bei ya offer ni 1500 tu kuanzia chupi 50
📌Dozen 18000/= kuanzia dzn 5 tu
📌Caton 180,000/= inakua na dzn
10

Nadhani hata hiyo 18,000/= sio issue kabisa huku mkoani faida Bado imo Kuna chupi tuna nunua 5000+ labda material Sasa tofauti hizi za buku 2-3 Zina wenyewe
Hiyo yenye kama nyuma na hizo zenye mipira iliyoandikwa pembeni ndo zinaweza kuwa dazeni elf 16+ lakin huwaga police policoton yenye cotton kiwango kikubwa kidogo
 
Mke wangu anauza hzo chupi kkoo...bei zake ni 8000,9000,10000..na nying 11000..asa wewe unasema bei 15...acha tamaa wewe weka bei sawa na kariakooo..

Sample zote ulizoweka hapo wife anazo hvo usije na lugha ya kusema zimetofautiana...mnataka hyo biashara nenden kariakooo maduka meng bei rahisi..na nyie muuze uko mitaani 1500 au 2000..mzungushe haraka!
 
Mke wangu anauza hzo chupi kkoo...bei zake ni 8000,9000,10000..na nying 11000..asa wewe unasema bei 15...acha tamaa wewe weka bei sawa na kariakooo..

Sample zote ulizoweka hapo wife anazo hvo usije na lugha ya kusema zimetofautiana...mnataka hyo biashara nenden kariakooo maduka meng bei rahisi..na nyie muuze uko mitaani 1500 au 2000..mzungushe haraka!
Mkuu unaweza kunikopesha kama laki 5 hivi? Naweka hati ya eneo lenye thamani ya milion na laki 2
 
Back
Top Bottom