Chimbo la chupi aina zote

Chimbo la chupi aina zote

Mke wangu anauza hzo chupi kkoo...bei zake ni 8000,9000,10000..na nying 11000..asa wewe unasema bei 15...acha tamaa wewe weka bei sawa na kariakooo..

Sample zote ulizoweka hapo wife anazo hvo usije na lugha ya kusema zimetofautiana...mnataka hyo biashara nenden kariakooo maduka meng bei rahisi..na nyie muuze uko mitaani 1500 au 2000..mzungushe haraka!
Mkuu Mimi nimekopi na ku paste tu sihusiki na siyajui machimbo ya chupi mi nipo mkoanai huku mwamakiliga Asee😂😂😂

Ni vyema ukaweka location alipo shem wetu wenye uhitaji wamfaate
 
Mkuu Mimi nimekopi na ku paste tu sihusiki na siyajui machimbo ya chupi mi nipo mkoanai huku mwamakiliga Asee😂😂😂

Ni vyema ukaweka location alipo shem wetu wenye uhitaji wamfaate
Kama unaelekea kkoo baada ya kile kituo Cha pili Cha mwendokasi.. mbele kidogo kulia kwako mtaa wa pili unaitwa mahando street humu kuna maduka mengiii ya hzo chupi tight nk..kama uelewi mitaa tafuta kanisa la kkkt la kariakoo... Asa upande wa ubavu wa kushoto wa kanisa ndio maduka yapo mengi tuu na la shem wako...
 
Kama unaelekea kkoo baada ya kile kituo Cha pili Cha mwendokasi.. mbele kidogo kulia kwako mtaa wa pili unaitwa mahando street humu kuna maduka mengiii ya hzo chupi tight nk..kama uelewi mitaa tafuta kanisa la kkkt la kariakoo... Asa upande wa ubavu wa kushoto wa kanisa ndio maduka yapo mengi tuu na la shem wako...
Hii nzuri nikipata mteja mkubwa nitakuunganisha nae awe anachukulia Kwa Shem asee
 
Kama unaelekea kkoo baada ya kile kituo Cha pili Cha mwendokasi.. mbele kidogo kulia kwako mtaa wa pili unaitwa mahando street humu kuna maduka mengiii ya hzo chupi tight nk..kama uelewi mitaa tafuta kanisa la kkkt la kariakoo... Asa upande wa ubavu wa kushoto wa kanisa ndio maduka yapo mengi tuu na la shem wako...
kama ana WhatsApp group la biashara yake tupe link mkuu, itamsaidia shem kukamata vichwa vya mikoani
 
Mbona kama unanishawishi nikafungulie katoto ka 2000.biashara hyo.🤔🤔🤔nipunguze gharama za kumuhudumia.
 
"Copy and paste from Facebook" Ni kama wiki na ushee nilimpa connection hii dada fln anauza mitumba hapa kitaa na amefanikiwa kupata mzigo wake aliagiza chupi 100 zikaja kama alivyo agiza. Siishi Dar lolote likikupata sio Mimi nimeshare nanyi humu Kwa atakae penda afanye hii biashara. Ahsantee sana.

NUNUA 1500 KAUZE 3000 FAIDA
SAWA NA MTAJIII 💯 🔥🔥

📌Karibu uanze biashara ya chupi kwa urahisi zaidi kupitia ANNAH-CHIMBO ukiwa na mtaji mdogo kuanzia 75,000/= tu.

📌Karibu nikuchanganyie sampo mbali mbali za chupi nzur nzurii (50) zilizopo kwenye fashen ukiwa na 75,000/= tu ukapige hela

📌Kama bado upo nyumbani na hujui ufanye biashara gan au umejaribu biashara kadhaa bila mafanikio njoo ufanye hii uone tofauti ya biashara ya chupi na biashara zingne za mitaji mikubwa, Kwan haina msimu na inafanyika popote

📌Bei ya offer ni 1500 tu kuanzia chupi 50
📌Dozen 18000/= kuanzia dzn 5 tu
📌Caton 180,000/= inakua na dzn 10

📌Ofisi zetu zipo dar tabata chang'ombe mikoani tunatuma kwa uaminifu pia unaruhusiwa kumtuma mtu akufatie uaminifu ndio nguzo yetu,wasiliana nasi kwa👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼

0712205400 call/sms/watsapp

Kwa heshima kubwa mtu wa watu Kalaga Baho Nongwa nakuomba utoe mawili matatu hapa Kwa faida ya Wana JF wote watakao penda.

View attachment 3100244View attachment 3100245View attachment 3100249
Huyu Dada ANNA CHIMBO sio mkweli hata kidogo na hao Wasaidizi wake hasa kuna mmoja wa Kiume anaafanya biashara hana Customer Care nzuri na anafanya biashara kama karidhika sana, unaweza kumtumia hela akufungie mzigo leo na ukaupata baada ya siku4-5 kwa sababu wanasiku moja tu wameiteua kwaajili ya kufunga na kusafirisha, kosa la pili laa Anna unamtumia sample ya mzigo unaotka lkn atakuchanganyia size usiotaka na aina ya chupi ambayo wewe hukuchagua yaani zile ambazo hazitoki anakuchanganyia ukasumbuke nazo huko, sasa kwa sisi wa mikoani inaumiza maana huna uwezo wa kurudisha unakuta unakula hasara kwa kubaki na chupi nyingi haziuziki na unajikuta mtaji unashuka au unakuwa hupigi hatua, nishaachaga kuagiza kwake maana kila leo msingi unaporomoka kwa kupewa mzigo usiouzika na ukimpigia kumwambia anaishia kuomba msamaha lkn awamu ijayo mambo ni yaleyale
 
Huyu Dada ANNA CHIMBO sio mkweli hata kidogo na hao Wasaidizi wake hasa kuna mmoja wa Kiume anaafanya biashara hana Customer Care nzuri na anafanya biashara kama karidhika sana, unaweza kumtumia hela akufungie mzigo leo na ukaupata baada ya siku4-5 kwa sababu wanasiku moja tu wameiteua kwaajili ya kufunga na kusafirisha, kosa la pili laa Anna unamtumia sample ya mzigo unaotka lkn atakuchanganyia size usiotaka na aina ya chupi ambayo wewe hukuchagua yaani zile ambazo hazitoki anakuchanganyia ukasumbuke nazo huko, sasa kwa sisi wa mikoani inaumiza maana huna uwezo wa kurudisha unakuta unakula hasara kwa kubaki na chupi nyingi haziuziki na unajikuta mtaji unashuka au unakuwa hupigi hatua
Pole sana asee. Mimi Kuna dada kule ndo Huwa anaenda direct kuchagua. Kama nilivyosema kwenye Uzi Mimi siuzagi chupi ila niliunganisha watu
 
Pole sana asee. Mimi Kuna dada kule ndo Huwa anaenda direct kuchagua. Kama nilivyosema kwenye Uzi Mimi siuzagi chupi ila niliunganisha watu
Mwanzo mtaji ulikuwa mdogo kwahiyo niliona ni vyema nikamuamini nikachagua sample anazotuma Instagram kishaa anitumie, siku ya kwanza niliagiza mzigo mdogo maana si unajua hamjuani na unapima uaminifu nashukuru alituma kama zilivyo na nikapiga faida fresh lkn sasa kuanzia awamu ya pili na ya 3 tena ndio nilifungua na tawi mzigo mwingine nikatuma Kanda Maalum huko mzigo ulinikata kila kitu maana mzigo wa hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom