rodgers123
Senior Member
- Jul 12, 2015
- 161
- 128
Ingekuwa busara ukaanzisha tangazo lako. Mzigo 100pc kwa 175K.JOICE STAR FASION BEI POA ZAID PC 100 KWA 220K, MWENGE bidhaa kutoka china
Zipo birika za kawaida sio za kuchemsha maji.birika/jagi la kuchemshia maji
Kuna mchina ana godown ubungo hapo vyombo kilo 1 4500
Sa mbona kama umepanic jombaa we umepoat biashara basi tulia ukiona comment haikufurahishi si lazima uijibu ๐๐Nakujua wewe ni nani so usikonde. Acha negativity kwenye biashara za watu. Umeshasema mchina anauza kwa Kilo na unajua chombo kimoja kina uzito gani.? Na unajua kama yeye ndio producer ..! Wengine wako happy kupata set kama hii vyombo Mia na sio utopolo wa chombo na kikombe kidogo kilo 1.
Namjua mkuu na yeye anauza vyombo. Na alitaka kununua mzigo wote kwa nusu bei wakati yeye anauza hivyo hivyo apate pesa. So anakuja na majina tofauti kuweka negative comments. hahaah!!Sa mbona kama umepanic jombaa we umepoat biashara basi tulia ukiona comment haikufurahishi si lazima uijibu ๐๐
DUh umekasirika nini sasa ,wewe umeshatangaza biashara yako...Nakujua wewe ni nani so usikonde. Acha negativity kwenye biashara za watu. Umeshasema mchina anauza kwa Kilo na unajua chombo kimoja kina uzito gani.? Na unajua kama yeye ndio producer ..! Wengine wako happy kupata set kama hii vyombo Mia na sio utopolo wa chombo na kikombe kidogo kilo 1.
๐๐๐๐๐๐kwamba na mi nauza vyombo๐๐Namjua mkuu na yeye anauza vyombo. Na alitaka kununua mzigo wote kwa nusu bei wakati yeye anauza hivyo hivyo apate pesa. So anakuja na majina tofauti kuweka negative comments. hahaah!!
Nami nimeshangaa๐๐ kilichomkasirisha ni niniDUh umekasirika nini sasa ,wewe umeshatangaza biashara yako...
Ila mchina yupo anauza kilo 4000 na watu wanapenda hivyo
๐ ๐Nami nimeshangaa๐๐ kilichomkasirisha ni nini
Hivi vyote bei ganNakujua wewe ni nani so usikonde. Acha negativity kwenye biashara za watu. Umeshasema mchina anauza kwa Kilo na unajua chombo kimoja kina uzito gani.? Na unajua kama yeye ndio producer ..! Wengine wako happy kupata set kama hii vyombo Mia na sio utopolo wa chombo na kikombe kidogo kilo 1.
175kHivi vyote bei gan
Nimeiskia hii dear, hivi ni vyombo vizuri tu? Ushawahi kufika hapo?Kuna mchina ana godown ubungo hapo vyombo kilo 1 4500
Yes nilifikapo ni vizuri aiseee vizuri mnooooNimeiskia hii dear, hivi ni vyombo vizuri tu? Ushawahi kufika hapo?
Ok sasa kg 1 siyo napata vijiko 2 kweli?๐Yes nilifikapo ni vizuri aiseee vizuri mnoooo