Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Mimi si mtabiri ila naona vile mleta uzi atakavyokasirishwa na uzi wake kufika mbalii 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amna unaweza kuta mabakuli yale makubwaa yale ya kusave 1 ndo kilo moja vikombe vinne labda ndo kilo 1 inadepend na uzito tu wa vyomboOk sasa kg 1 siyo napata vijiko 2 kweli?😀
Amna unaweza kuta mabakuli yale makubwaa yale ya kusave 1 ndo kilo moja vikombe vinne labda ndo kilo 1 inadepend na uzito tu wa vyombo
hapo mahali pana jina nikimuambia boda anaweza kunipeleka?Sijui kuelekza ila ntajitahidi..
Godown lipo ubungo maziwa kama unatokea external unaenda mpaka pale kwenye njiapanda ile ya kushoto mabibo kulia ubungo maziwa mbele shekilango [emoji3][emoji3] we utaenda na ile ya kwenda maziwa mbele tu kdg baada ya ile njia panda godown lipo jirani na kanisa la kilokole sijui lile
Ukiona huelewi ukifika tu pale kwenye ile njia panda uliza mtu yoyote godown kwa mchina ni wapi
hapo mahali pana jina nikimuambia boda anaweza kunipeleka?
100pcs = 350,000 ....................●birika/jagi la kuchemshia maji