Chimbo za gest za bei nafuu

Chimbo za gest za bei nafuu

Sasa hao wakali Ndiyo type zangu nmewatafuna sanaaaa hata huyu ni mkali kinooomaa Ngoja nikamnyooshe blalifuu Zake
Ongera sana mkuu uko njema
 
  • Thanks
Reactions: wax
Anaitwa Glory mkuu...mtoto mmoja hivi wa kichaga..

Najua huezi mjua, since hayo majina ya Glory wapo wengi.

Mbaya zaidi demu mwingine alo tokea kunipenda tena saivi anaitwa Glory na ni mchaga..
Nmekaa najiuliza,is it coincidence?
Tofauti ni kazi zao tu,

Cc Zero IQ
Nipe namba yake mkuu,nimshauri arudi
 
Ila zpo nyng standard ni 15/20
Hapo utapata Moronga, halflondon,papaya,two ways lodge, masai executive
 
Baba Zero IQ unawatia wenzako utamu wakauwe msingi, wewe wa kwako umezui. hahahaha mgese kweli wewe
 
sema kuna siku nitakuja kukutembelea hapo panapo majaliwa, ila mimi Lodge za chini noo, Uyole nilisalimika kifo mkuu, Guest ilivamiwa na majambazi wapangaji wenzangu walichapwa sana sana. Tokea siku hio mimi ni kuanzia gorofa ya tatu kwenda juu. Nafanya booking siku tatu kabla.
 
sema kuna siku nitakuja kukutembelea hapo panapo majaliwa, ila mimi Lodge za chini noo, Uyole nilisalimika kifo mkuu, Guest ilivamiwa na majambazi wapangaji wenzangu walichapwa sana sana. Tokea siku hio mimi ni kuanzia gorofa ya tatu kwenda juu. Nafanya booking siku tatu kabla.
Sawa mkuu pamoja sana sema wewe si huwa unalala sie tunaenda kupiga game na kusepa.
 
Back
Top Bottom