Chimbo za gest za bei nafuu

Daaah yaan hapa Nina mafua ya hatari kuna gest iko kibo nyuma ya msikiti ni ina vumbi htr...nilimuagza boda atafute gest ya 15 elfu nikumbukie Mambo ya kishetani na X wangu japo kaolewa Ila nimetoka na mafua mazito hapa kichwa linauma.rahisi ghali

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Chimbo zipo pembezoni mwa Morogoro road kabisa yaani stendi yeyote utakayoshuka unatembea tu 15k, 20k mpaka 25k na zipo supa sana. Mimi sipatagi tabu nkiwa natoka Ofisini Sungura akijichanganya nashuka stendi yeyote natembea nimefika. Kazi Kazi!!
 
Siku moja uende kuuliza bei au nunua maji.
Fanya uende hata Matimbula Guest House,Madamba na Mfaranyaki Guest House.
pale Ugabe 1 day ntaenda, ila bora hata ungenambia Half London Lodge ile iliyopo karibu na La Charz.
Hizi ulizozitaja wee ni mfano wake tyuuh, at least Mkomi Guest House .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…