Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh pale hamna aisee nenda kwa mtogoleeWakuu kwema??
Kuna chimbo gani zuri maeneo ya karibu na stendi ya makumbusho au mawasiliano kwa bajeti ya Tsh 15,000.
😂😂😂😂Duuh pale hamna aisee nenda kwa mtogolee
Wakuu kwema??
Kuna chimbo gani zuri maeneo ya karibu na stendi ya makumbusho au mawasiliano kwa bajeti ya Tsh 15,000.
Duuh pale hamna aisee nenda kwa mtogolee
Dar tupeane machimbo wadau[emoji3]
Hapo unaenda kula mbunye au kununua kunguni na chawa?Huku kitaa kama toroka uje room ni 5k tu
Mkuu hata ukikaa sana Namtumbo utapazoea utapaona pazuri tu
Mamaee we jamaa nahis nakufamUyole Guest house mkuu, sijui kama mpaka leo ipo ama la.
Eeeh mkuu kuna mzigo nilipotezana nao kama miaka minne hivi unaomba show toka week iliyopita sasa kesho nataka nikafanye kweli.Umepata mzigo nini mkuu
Ha ha ha ha...!!! Mbali na vitanda kulegea mazingira vipi mkuu yapoje?Lipo ila vitanda vyake nat zimelegea bhn nimeasaha jina ila kinaitwa motel nini sijui hii njia yanakotea magari ya buguruni na mabibo kwa,mbele kidogo utaona kibao chake
Mkuu malapa mbali sana huko nataka mazingira ya sehemu nilizotaja tu labda na sinza kidogo.Huko kuko open sana kuna chimbo lipo malapa linaitwa la promise kuko poa sana kumejigicha utamu kishenzi
Aisee,maeneo gn hayo ndugu?Huku kitaa kama toroka uje room ni 5k tu
Mkuu malapa mbali sana huko nataka mazingira ya sehemu nilizotaja tu labda na sinza kidogo.
Pamoja sana mkuu.Sinza yapo kibao hata uumizi kichwa we mpe kazi boda boda tu mpe quality yako umefika
Huyo dada anatoa tgoPamoja sana mkuu.
Nikiwa namsugua nitajifanya kama nimekosea njia mkuu nikiona haguni basi majibu tutakuwa tushayapata 😄😄Huyo dada anatoa tgo
Makumbusho nenda Msisimko Guest, Kama upo mawasiliano sogea mpaka Kituo cha Mlimani city ule upande wa Sinza A nyuma ya 5N kuna hayo machimbo ya bei poa.Zero IQ hauna machimbo ya sinza, makumbusho na mawasaliano mzee 😊😊