Chimbuko la Panya road & Vigodoro !!

Chimbuko la Panya road & Vigodoro !!

52ef36b58d3101bd2b9a5f0db7e685ce.jpg

Dogo asipotimiza ndoto zake si atakuwa panya buku tu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Eti anataka kuwa omba omba, kumbe omba omba nayo ni kazi???
 
Leo nimeikumbuka tu......
 
Na vigodoro ndio chimbuko la wasanii wengi wa mziki wa singeri asilia wametokea huko na huko ndiko kulikuwa kuna singeri halisi kabisa na unapotafuta historia ya singeri Tanzania huwezi kusahau kutaja Manzese .Mburahati .mabibo ,kibaha.chalinze,mlandizi na kongowe
 
Na vigodoro ndio chimbuko la wasanii wengi wa mziki wa singeri asilia wametokea huko na huko ndiko kulikuwa kuna singeri halisi kabisa na unapotafuta historia ya singeri Tanzania huwezi kusahau kutaja Manzese .Mburahati .mabibo ,kibaha.chalinze,mlandizi na kongowe
Umefafanua vizuri mkuu
Mfano kitaani kwetu mwisho wa mwaka kulikuwa linafanyika tamasha kubwa na kuwaoa fursa nasela kuonyesha vipaji vyao
 
Back
Top Bottom