Eti anataka kuwa omba omba, kumbe omba omba nayo ni kazi???
Dogo asipotimiza ndoto zake si atakuwa panya buku tu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Ila dingi yake ni magumashi kweliAnazuga anaona soo kusema "km ww",,,,Dingi mwenyewe magumashi a.k.a mission town
Bibi naye yumooo ila havumi tu
Kigodoro oyeeeeeee
Umefafanua vizuri mkuuNa vigodoro ndio chimbuko la wasanii wengi wa mziki wa singeri asilia wametokea huko na huko ndiko kulikuwa kuna singeri halisi kabisa na unapotafuta historia ya singeri Tanzania huwezi kusahau kutaja Manzese .Mburahati .mabibo ,kibaha.chalinze,mlandizi na kongowe