love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Huoni Allah ni kafiri namba moja kwa kuyaumba makafiri?Ata ww ni kafiri kma humuamini Allah ww ni KAFIRI
Au Allah anasema makafiri yameumbwa na kafiri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni Allah ni kafiri namba moja kwa kuyaumba makafiri?Ata ww ni kafiri kma humuamini Allah ww ni KAFIRI
Rubbish!Acha ujinga wewe!.Mtoto wa chekechea ufundisha kwa michoro kwa kuwa ndiyo anaanza kufundishwa vitu vipya.Mfano atapotajiwa jina MBWA mbele atawekewa mchoro/picha ya mnyama huyo mbwa.
Lakini mtoto wa darasa la saba anapotajiwa jina hilohilo MBWA mbele yake awekewi mchoro wa mnyama kwa sababu tayari alishamjua toka huko darasa la chekechea.
TORATI,ZABURI NA INJILI ni sawa na vitabu vya Shule za msingi,sekondari na high level.Lakini QUR'AN ni kitabu cha elimu ya juu (chuo kikuu).
Sasa ni mjinga pekee ndiye anaweza hoji eti aoneshwe amri 10 katika QUR'AN ili hali tayari amri hizo zilishawekwa kwenye vitabu vya nyuma huko na QUR'AN ilishavitaja kama rejea.
Alafu bila aibu unasema eti TORATI,ZABURI NA INJILI ni vitabu vya imani yako?Kiaje?.
Haha damn!Madrassa hatukufundishwa kuelewa mambo... tulikaririshwa kiarabu Kwa fimbo nyingi
Ametakasika Mola mlezi wa viumbe wote na sifa zote mbayaHuoni Allah ni kafiri namba moja kwa kuyaumba makafiri?
Au Allah anasema makafiri yameumbwa na kafiri mkuu
Kumjua Mungu wako hakukupi kibali cha kutukana Mungu wa wenzakoHapo sasa ndo mnapoishia kukufuru mna hamumjui uyo Mungu mwenyewe na wala Muhammad kwaio mm nipo mbali na nyinyi kabisaa
kuna sehemu mm nimetukana ? kma ipo embu nioneshe nijikosoeKumjua Mungu wako hakukupi kibali cha kutukana Mungu wa wenzako
Ata ww ni kafiri kma humuamini Allah ww ni KAFIRI
Ukiachika achika basi jishtukie we ni mjinga tuu umesikia ww
- Kwa nini unakimbia maswali yangu? nani ni muanzilishi wa kupokea pesa kabla ya huduma za kidini?
- Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
Ukiachika achika basi jishtukie we ni mjinga tuu umesikia ww
mm ni mtu wa kutekeleza Ahadi
Nilishakwambia kua sikujibu kwaio Achana na mm
Imepenya hiyo.Rubbish!
Nasema HUNA UWEZO WA KUPINGA KUWA HIVYO VIFUNGU SIYO TORATI,ZABURI NA INJILI.Nilitaka uthibishe mwenyewe , nitakuwekea sura nzima katika kila mstari uliochomoa kwenye vitabu vya wenyewe uone kama hutarusha povu
9:30 - Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
{1. Hivi hayo maneno ya Qurani hapo ni nani anaongea?
Nimejitahidi kuwauliza wenye Dini yao hawajawahi kunijibu.
Pia kuna maswali mengi Sana hapo.
Na huyo Uzeir ni nani?
Na ni wapi Wayahudi walisema kuwa Uzeir ni Mwana wa Mungu?
Hao walio tangulia kukufuru kwa Kuwaita Uzeir na Masihi kuwa ni Wana wa Mungu kabla ya Wayahudi na Wakristo ni Akina Nani?
Na huyo anayemwomba Mwenyezi Mungu awaangamize Wayahudi na Wakristo kwa Kuwaita Uzeir na Masihi kuwa ni Wana wa Mungu ni nani? }
Unafahamu nini kuhusu hii
Aya ?
Soma nilichokiandika,hakuna sehemu yq majaribio niliyo andika hapo au inaonyesha ya kuwa Allah alikuwa anafanya majaribio. Bali hata akili iliyo salama haikubaliani na ulichokiandika.Allah alikuwa anajaribu sheria zake kama zitafanya kazi zikishindwa anazifuta?
Mimi ninesoma Madrasa ila kwa kufikiria kwa usahihi hamnifikii wewe na wakubwa zako wote.Madrassa hatukufundishwa kuelewa mambo... tulikaririshwa kiarabu Kwa fimbo nyingi
Hakuna swali rahisi kama hili. Hayo ni maneno ya Allah anayeyawasilisha ni Mtume kama yalivyo.{1. Hivi hayo maneno ya Qurani hapo ni nani anaongea?
Nimejitahidi kuwauliza wenye Dini yao hawajawahi kunijibu.
Pia kuna maswali mengi Sana hapo
Uzeir ni katika waja wema walio wahi kuishi zama hizo.Na huyo Uzeir ni nani?
Na ni wapi Wayahudi walisema kuwa Uzeir ni Mwana wa Mungu?
Walio kufuru hapo wapo wengi wakina Firauni walikufuru bali katika kila zama za manabii na mitume waliishi na watu walio kufuru,baba yake nabii Ibrahim na mfano,watu wa nabii Nuhu walikufuru,watu wa nabii Lut walikufuru.Hao walio tangulia kukufuru kwa Kuwaita Uzeir na Masihi kuwa ni Wana wa Mungu kabla ya Wayahudi na Wakristo ni Akina Nani
Maneno ya Allah hayo anayatamka Mtume wa Allah kwa maana awaombee maangamivu walio kufuru.Na huyo anayemwomba Mwenyezi Mungu awaangamize Wayahudi na Wakristo kwa Kuwaita Uzeir na Masihi kuwa ni Wana wa Mungu ni nani? }
Huwa nataka mtu akiri kwanza ndio nimlipue ili usileta sababu za kitotoNasema HUNA UWEZO WA KUPINGA KUWA HIVYO VIFUNGU SIYO TORATI,ZABURI NA INJILI.
Nimemaliza.