Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Adam alikuwa Mtume wa akina nani? Alitumwa kwaajili ya umma upi?
Mitume hushushwa kulingana na Ummah na watu fulani isipokua mtume muhammad peke ake ndo alotumilizwa ulimwengu mzima

Adam alitumwa kwa watu wa karibu ambao ni familia yake na watu wachache walokuepo kipindi hicho

Nahisi nimekujibu au bado?
 
Watoto wake
Alikuwa luti.sio nuhu.
Nuhu alikuwa mlevi
Screenshot_20211210-193030.jpg
 
Ndio maana umeona muhammad kwa kuwaza kama wewe akasema alisulubiwa mtu mwingine
Ni kweli alisulubiwa mtu mwingine,, yesu aliponyoka,
In case hukujua jina jingine la yesu,, yaani Nick name yake kipindi akizunguka na group lake mtaani alipenda kujitaja yeye kama mwana wa Baba aliye juu,,
So wenzake waliziea pia kumwita, "mtoto wa Baba"
Hivyo walimwita yesu kwa jina, "BarAbba"
Bar-mwana wa..
Abba-Baba.
Hivyo Barabba alieachia huru akapona kusulubiwa na huyo leo mnamwita , yesu,,
In fact jina la yesu, Barabba hakulitumia enzi hizo
 
Ni kweli alisulubiwa mtu mwingine,, yesu aliponyoka,
In case hukujua jina jingine la yesu,, yaani Nick name yake kipindi akizunguka na group lake mtaani alipenda kujitaja yeye kama mwana wa Baba aliye juu,,
So wenzake waliziea pia kumwita, "mtoto wa Baba"
Hivyo walimwita yesu kwa jina, "BarAbba"
Bar-mwana wa..
Abba-Baba.
Hivyo Barabba alieachia huru akapona kusulubiwa na huyo leo mnamwita , yesu,,
In fact jina la yesu, Barabba hakulitumia enzi hizo
Alikua akiitwa , "Jesus Barabba'" -yesu mwana wa baba
Screenshot_20211210-204251.jpg
 
Ni kweli alisulubiwa mtu mwingine,, yesu aliponyoka,
In case hukujua jina jingine la yesu,, yaani Nick name yake kipindi akizunguka na group lake mtaani alipenda kujitaja yeye kama mwana wa Baba aliye juu,,
So wenzake waliziea pia kumwita, "mtoto wa Baba"
Hivyo walimwita yesu kwa jina, "BarAbba"
Bar-mwana wa..
Abba-Baba.
Hivyo Barabba alieachia huru akapona kusulubiwa na huyo leo mnamwita , yesu,,
In fact jina la yesu, Barabba hakulitumia enzi hizo
Uache upumbavu ILI tu debate Yani jina na sura ya mtu unataka kusema havina tofauti, stupid Sony of mutah
 
Uache upumbavu ILI tu debate Yani jina na sura ya mtu unataka kusema havina tofauti, stupid Sony of mutah
Umeshapanick baada ya kugundua umelishwa matango pori tangu utotoni na ukaingia mkenge,, kila ukipiga hesabu ya muda uliopoteza akili inakudurufu[emoji23][emoji23][emoji10],yaani huamini,
Ndo mkome , hiyo inaitwa, "Brainwashed''
 
Umeshapanick baada ya kugundua umelishwa matango pori tangu utotoni na ukaingia mkenge,, kila ukipiga hesabu ya muda uliopoteza akili inakudurufu[emoji23][emoji23][emoji10],yaani huamini,
Ndo mkome , hiyo inaitwa, "Brainwashed''
Nimesha kwambia acha upumbavu apa unaongea na watu wazima , Yani unataka kusema walikuwa wajinga mpaka sura hawaoni
Ndio maana nimekuita son of Mutah
 
Nimesha kwambia acha upumbavu apa unaongea na watu wazima , Yani unataka kusema walikuwa wajinga mpaka sura hawaoni
Ndio maana nimekuita son of Mutah
Wewe mzito sana kuelewa, nachomaanisha,, the all story is fabricated," DIDNT HAPPEN"[emoji3571][emoji3571][emoji1732][emoji16]
 
Umeshapanick baada ya kugundua umelishwa matango pori tangu utotoni na ukaingia mkenge,, kila ukipiga hesabu ya muda uliopoteza akili inakudurufu[emoji23][emoji23][emoji10],yaani huamini,
Ndo mkome , hiyo inaitwa, "Brainwashed''
Huyu jamaa ni mjinga kupita maelezo
ukimuuliza swali hawezi halijui ataanza porojo zake
mm nimemuuliza maswali ma3 mpk saivi hajaweza kuyajibu na nimemwambia hatopta majibu yke mpk anakufa ila anajifnya kichwa mchungwa
mm nikaamua kuachana nae tuu mna hana hoja zaidi ya ujinga ulomkolea
 
Nabii hawezi kuzinj na watoto wake
Wala hawezi kulewa
Hlf ety wanasema Qur'an inaamrisha uzinifu wakati biblia yao ipo wazi kwa kumsingizia mtume wa Mungu kua kazini na watoto wake
Embu nyie wakristo fungukeni akili izo acheni kupotoshwa

katika Uislamu mitume wote wamekingwa kutokufanya Maasi lkn bible inakwambia Mitume wanazini inahuzunisha sanaaa
 
Back
Top Bottom