Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

  • Ni kwamba hakuna uhakika maana kuna aya zingine uthuman alichoma na zingine Aisha alisema zimeliwa na mbuzi kipindi wapo bize na msaba wa Muhammad
It was narrated that 'Aishah said:
“The Verse of stoning and of breastfeeding an adult ten times was revealed1, and the paper was with me under my pillow. When the Messenger of Allah died, we were preoccupied with his death, and a tame sheep came in and ate it.” Sunan Ibn Majah 1944
  • verses zote za kupiga mawe na kumnyonyesha mtu mzima mara 10 zilipotea kwa kuliwa na mbuzi
mbona hujamalizia ayo maneno uloyagoogle kuna maelezo apo apo chiniya ilo swali lko ulouliza
 
  • Hafs alikuwepo miaka mingapi baada ya mtume?
  • Na unajua Hafs anatuhuma nzito kutoka kwa waislamu kwamba alikuwa Muongo?
Tuhuma zipi izo? Na uongo upi huo lbda tutajie hapa tujifunze kwa pamoja
 
  • Nani alikuwa na uwezo wa kufuta au kubadili aya kwenye koran?
Nakujibu hili swali ila ilo swali lingine hukuliona?
Jibu lako soma hii Aya hapa
20211117_125105.jpg
 
Unakijua Taurati kilishushwa kwa mtume gni?
Muhammad kabla hajapewa utume alikua akitumia dini ya nabii ibrahim na watu wa jamii yake wengi waliyaacha mafundisho ya nabii ibrahimu na kuabudu masanamu
Yy alikingwa na Allah toka mwanzo kutokufanya ibada hizo ndo akawa anaenda kwenye pango la hiraa
kma untka Maisha ya mtume nitakupa Audio usikilize tulivofundishwa na masheikh wetu
  • Tueleze hii taurati ya allah ilishushwa kwa mtume gani wa allah? na je kuna historia yoyote ya huyo mtume tunaweza soma mbali na Koran?
  • Ibrahim huyu wa allah iliishi wapi?
Je kuabudu sanamu kunaweza kuwa kulianzishwa na Allah maana aliyatuma majini yamtengenezee Suleman wake Masanamu
  • Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
 
Nakujibu hili swali ila ilo swali lingine hukuliona?
Jibu lako soma hii Aya hapa
View attachment 2014012
Japokuwa ni kichekesho kufuta alafu kuleta kama hiyo hiyo ila sio mada leo

Nani aliifuta aya ya kumnyonyesha mtu mzima na kupiga mawe?, Kumbuka mpaka muhammad wanaandaa kumzika aya zilikuwepo

jitaidi usitumia picha weka verse tu moja kwa moja
 
Japokuwa ni kichekesho kufuta alafu kuleta kama hiyo hiyo ila sio mada leo

Nani aliifuta aya ya kumnyonyesha mtu mzima na kupiga mawe?, Kumbuka mpaka muhammad wanaandaa kumzika aya zilikuwepo

jitaidi usitumia picha weka verse tu moja kwa moja
Kichelesho bcz sio dini yako
Nilikwambia ulipogoogle ple jibu lipo chini yke mbona unapenda kuchukua.mambo nusu nusu
M nimekuuliza swali.ple ata hujanijibu mpk saivi au ndo unatafuta kwanza hebu nijibu lile swali pale juu
 
Japokuwa ni kichekesho kufuta alafu kuleta kama hiyo hiyo ila sio mada leo

Nani aliifuta aya ya kumnyonyesha mtu mzima na kupiga mawe?, Kumbuka mpaka muhammad wanaandaa kumzika aya zilikuwepo

jitaidi usitumia picha weka verse tu moja kwa moja
Umeniuliza maswali mengi mpk saivi
Embu nijuze kwanini nyie mumebadili bible na kutumia agano jipya?
 
Kichelesho bcz sio dini yako
Nilikwambia ulipogoogle ple jibu lipo chini yke mbona unapenda kuchukua.mambo nusu nusu
M nimekuuliza swali.ple ata hujanijibu mpk saivi au ndo unatafuta kwanza hebu nijibu lile swali pale juu
Pale panasema zilifutwa kwenye recitation , ndio nikauliza nani anaweza kufuta aya, ukajibu allah , nikauliza unajua mpaka muhammad amekufa aya zilikuwepo? na walikuwa wanafanya kitendo cha kunyonyesha mtu mzima
Kama jibu ni ndio, nani kazifuta? na alipata wapi muongozo wa kuzifuta?
 
Pale panasema zilifutwa kwenye recitation , ndio nikauliza nani anaweza kufuta aya, ukajibu allah , nikauliza unajua mpaka muhammad amekufa aya zilikuwepo? na walikuwa wanafanya kitendo cha kunyonyesha mtu mzima
Kama jibu ni ndio, nani kazifuta? na alipata wapi muongozo wa kuzifuta?
malizia vizuri jibu lako
 
  • Hatujabadili bible , agano la kale linatumika na agano jipya linatumika, bible is the book of books
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Sasa mbona mna maagano mawili na kwanini?
 
hapa ndipo kiranga anapo pata mashabiki humu zikija habari za kiranga msibitishe Mungu yupo mnaungana mkiachwa wenyewe mnao amini Mungu yupo napo mnapaluana.
 
  • Hatujabadili bible , agano la kale linatumika na agano jipya linatumika, bible is the book of books
Umeshindwa kujibu swali ee ? m nilikua nakujibu apo kwa apo lbda nikupe udhuru unakusanya hoja zenye nguvu
 
hapa ndipo kiranga anapo pata mashabiki humu zikija habari za kiranga msibitishe Mungu yupo mnaungana mkiachwa wenyewe mnao amini Mungu yupo napo mnapaluana.
kwaio na ww unaamini kua hakuna Mungu?
 
malizia vizuri jibu lako
Nimeshamalizia , Allah ndio anafuta verse mpaka aya , na koran yote hakuna aliposema alizifuta, muhammad kafa aya zipo chini ya mto wa aisha ambapo mbuzi akazila
Point ni kwamba Koran iliyopo sasa sio iliyokuwepo kipindi cha muhammad , imepitia kwa utham akachoma verses na maswahaba walio kariri wakaanza kufa na baada ya miaka 200 akaja Hafs ndio ikatolewa kichwani mwake ikaandikwa
 
Nimeshamalizia , Allah ndio anafuta verse mpaka aya , na koran yote hakuna aliposema alizifuta, muhammad kafa aya zipo chini ya mto wa aisha ambapo mbuzi akazila
Point ni kwamba Koran iliyopo sasa sio iliyokuwepo kipindi cha muhammad , imepitia kwa utham akachoma verses na maswahaba walio kariri wakaanza kufa na baada ya miaka 200 akaja Hafs ndio ikatolewa kichwani mwake ikaandikwa
Acha uongo ww yni umeshindwa hoja saivi unaleta uongo wako hapa

Mm nimekwambia ple ulipogoogle pana majibu yte na ww hukutaka kumalizia majibu vzr

Yni kwanza inaonesha ata uyo hafsa humjui ni nani

Nakuuliza hafsa ni nani?
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Sasa mbona mna maagano mawili na kwanini?
Kasome ili ukija uulize maswali yenye nondo ndani yake
Ndio maana unaona nikikuuliza kitu naweka na ushahidi wa Koran , tafsir au Hadith

Mfano ulisema muhammad aliwakuta wanaabudu masanamu , niakauliza swali hili hapo chini ambalo umelikwepa

Je kuabudu sanamu kunaweza kuwa kulianzishwa na Allah maana aliyatuma majini yamtengenezee Suleman wake Masanamu
  • Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
 
Acha uongo ww yni umeshindwa hoja saivi unaleta uongo wako hapa

Mm nimekwambia ple ulipogoogle pana majibu yte na ww hukutaka kumalizia majibu vzr

Yni kwanza inaonesha ata uyo hafsa humjui ni nani

Nakuuliza hafsa ni nani?
Ukisema acha uongo , nategemea ukweli uweke wewe au?
Koran according to Hafs
 
Kasome ili ukija uulize maswali yenye nondo ndani yake
Ndio maana unaona nikikuuliza kitu naweka na ushahidi wa Koran , tafsir au Hadith

Mfano ulisema muhammad aliwakuta wanaabudu masanamu , niakauliza swali hili hapo chini ambalo umelikwepa

Je kuabudu sanamu kunaweza kuwa kulianzishwa na Allah maana aliyatuma majini yamtengenezee Suleman wake Masanamu
  • Koran 34:13. Walikuwa wakimfanyia alipendalo, kama mihrabu, na masanamu, ...........
We jibu swali usijikute mwamba

Nyinyi hua mnakaririshwa aya moja eti ushaona hii aya inasema hivi na hivi ili kulishwa chuki tu za Uislamu
M nimekuuliza Swali ilo huwezi ata kujibu maneno meengiiii
jibu swali kwanza
 
Back
Top Bottom