Chimbuko la wazaramo

Hili ndo tatizo la watu wabara,mnaongea mambo sijui mnayatoa wapi.Wazaramo ni wenyeji na wenye mji wa dar es salaam.kuna wazaramo ambao asili yao ni Ilala na wengine msasani.Maneromango,Masaki,Kibuta nk kote ni uzaramoni.
Kuna waamiaji wa Dar wanapenda kuaminisha kuwa Dar ni mkoa wa waamiaji,si kweli wenyeji ndo hao Wazaramo.
 
 
Hii inaonesha kuwa hakuna mtu mwenye uhakika na kabila lake kiasili.Watu wanapata wapi ujasiri wa kutukana kabila lingine ikiwa huenda kabila hilo asili yake ni kwenu.Tena kabila linaloongezwa kwa kudharauliwa ni wazalamo. Kila kabila likichambuliwa utamaduni zao itakuwa hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…