China-Africa Summit: Nani anatuwakilisha?

China-Africa Summit: Nani anatuwakilisha?

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
Kama mjuavyo mkutano wa 9 wa Ushirikiano wa China na Afrika unaanza Karibuni.


Je kama Taifa Nani anatuwakilisha huko? Boeing 787 kwa hewa hadi China?

I'm sorry Januari!

NB: Katibu Mkuu wa Chama asikose kwenye msafara tafadhali.

Pia, Wasanii wa bongo movie 200 wasisahaulike kwenye hii safari wakajifunze China miezi mitatu.
 
Kama mjuavyo mkutano wa 9 wa Ushirikiano wa China na Afrika unaanza Karibuni.


Je kama Taifa Nani anatuwakilisha huko? Boeing 787 kwa hewa hadi China?

I'm sorry Januari!

NB: Katibu Mkuu wa Chama asikose kwenye msafara tafadhali.

Pia, Wasanii wa bongo movie 200 wasisahaulike kwenye hii safari wakajifunze China miezi mitatu.
Umoja wa kindugu
 
Kama mjuavyo mkutano wa 9 wa Ushirikiano wa China na Afrika unaanza Karibuni.


Je kama Taifa Nani anatuwakilisha huko? Boeing 787 kwa hewa hadi China?

I'm sorry Januari!

NB: Katibu Mkuu wa Chama asikose kwenye msafara tafadhali.

Pia, Wasanii wa bongo movie 200 wasisahaulike kwenye hii safari wakajifunze China miezi mitatu.
Okay
 
Hii waende viongozi,wafanyabiashara, wamiliki wa viwanda wakatuwakilishe
 
Bibi tozo anavyopenda kusafiri lazima ataenda tu.maana anapenda kuangalia maghorofa ya wenzake
 
flag.png
 
Back
Top Bottom