China imeripoti visa vipya, mji wa Wuhan watangaza kisa kimoja

China imeripoti visa vipya, mji wa Wuhan watangaza kisa kimoja

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
China imeripoti visa vipya 17 vya #COVID19, 10 kati ya hivyo yakiwa ni maambukizi ya ndani. Mji wa Wuhan umetangaza visa vitanoa vya ugonjwa huo baada ya kuwa kimya kwa takribani mwezi mmoja
-
Mji wa Jilin umewekwa katika zuio la kutoka nje baada ya kuwa na visa 10 vilivyoripotiwa, Mei 10. Mamlaka hazijataja tarehe za kuisha kwa zuio hilo
-
Hadi sasa China ina jumla ya visa 82,918. 780 ni wagonjwa walio chini ya uangalizi ambao bado hawajaanza kuonyesha dalili. Wagonjwa 78,144 wameripotiwa kupona huku wakiwa na jumla ya vifo 4,600

===
Authorities in mainland China reported 17 new novel coronavirus cases inside the country today, including 10 that were locally transmitted.

The country's National Health Commission (NHC) said that five of the new local transmissions were reported in Wuhan, the capital of Hubei province in central China considered ground zero for the global pandemic.

Wuhan reported its first new case in more than a month yesterday, raising concerns that a second wave of cases could be coming. The city's Dongxihu district was classified as being at a medium risk level as of Sunday afternoon, while other areas of Wuhan remain low risk.

Troubling signs in the northeast: Fresh lockdown measures were announced for the city of Shulan in China’s northeastern Jilin province over the weekend after 11 coronavirus cases were reported there yesterday.

A statement released by Jilin’s provincial health commission on Sunday said Shulan is currently under lockdown since Saturday, with public services and recreation venues shut down and only takeaway services allowed for restaurants.

Gatherings are banned and only one member from each household is allowed to go out to collect daily necessities. The statement did not say how long the lockdown measures would last.

The epidemic risk level in Shulan has been changed to “high," the top level on China's scale.

Total cases: The NHC said it has now identified 82,918 Covid-19 patients. Right now, there are 780 asymptomatic patients under medical observation, 12 of which are new cases. A total of 78,144 coronavirus patients have recovered and been discharged from hospitals. More than 4,600 have died.

CNN
 
China wahuni wahuni. Wameona USA kawahi kuondoa lockdown wao walitaka aendelee na lockdown ili uchumi uharibike zaidi. Sasa wanaanza kuonesha visa vipya na kurejesha lockdown ili nchi za wajinga wajinga wawaige na hizo lockdown zao fake
 
China wahuni wahuni. Wameona USA kawahi kuondoa lockdown wao walitaka aendelee na lockdown ili uchumi uharibike zaidi. Sasa wanaanza kuonesha visa vipya na kurejesha lockdown ili nchi za wajinga wajinga wawaige na hizo lockdown zao fake
Tutajifunza kuishi na corona bila kuathiri uchumi, kama tunavyoishi na UKIMWI

Shughuli ni kama bloodstream ya uchumi, kuweka lockdown ni kujiua kiuchumi, ila siasa zilivyo ndio shida
 
China wahuni wahuni. Wameona USA kawahi kuondoa lockdown wao walitaka aendelee na lockdown ili uchumi uharibike zaidi. Sasa wanaanza kuonesha visa vipya na kurejesha lockdown ili nchi za wajinga wajinga wawaige na hizo lockdown zao fake
Mwenyekiti wa Sadc ameshapokea simu za Wenzake wa SADC/EAC?
 
Tutajifunza kuishi na corona bila kuathiri uchumi, kama tunavyoishi na UKIMWI

Shughuli ni kama bloodstream ya uchumi, kuweka lockdown ni kujiua kiuchumi, ila siasa zilivyo ndio shida
Zambia wameanza kujifunza kuishi na Corona,kauangalie mji wa Tunduma kwa sasa ulivyopendeza.
 
Wameshachelewa na dunia nzima tumechelewa.
Ilitakiwa tangu kipindi kile ugonjwa upo China.
Safari zote za ndege za China zingezuiwa kusingekuwa na kutoka wala kuingia china.
Ila tukadharau tukaona yataishia china.
Watu wanakwenda China waki rudi nchini mwao
WAMEVIBEBA hapo ndo kazi ikaanza.na sasa ni historia
Zambia wameanza kujifunza kuishi na Corona,kauangalie mji wa Tunduma kwa sasa ulivyopendeza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameshachelewa na dunia nzima tumechelewa.
Ilitakiwa tangu kipindi kile ugonjwa upo China.
Safari zote za ndege za China zingezuiwa kusingekuwa na kutoka wala kuingia china.
Ila tukadharau tukaona yataishia china.
Watu wanakwenda China waki rudi nchini mwao
WAMEVIBEBA hapo ndo kazi ikaanza.na sasa ni historia

Sent using Jamii Forums mobile app
Janga lilikua limeshaonekana ni changamoto lkn watalii wa kichina wakaja kwa mamia hapa bongo,unakumbuka polepole alichokijibu khs kwanini serikali haiwezi kuwazuia wachina kuingia?
 
China wahuni wahuni. Wameona USA kawahi kuondoa lockdown wao walitaka aendelee na lockdown ili uchumi uharibike zaidi. Sasa wanaanza kuonesha visa vipya na kurejesha lockdown ili nchi za wajinga wajinga wawaige na hizo lockdown zao fake
Shulan-Jilin province ni mji mdogo nilionusulika kula nyama ya mbwa 😀😀 anyway hii covid 19 imenikutia Jilin province Changchun city na baada ya kupatikana kwa hizi case 11 kitaalam wanaita cluster ambazo ni watu wengi wa familia moja na mmoja anayefanya biashara ya kufua nguo na hawajawi kusafiri nje ya maeneo yao, imesababisha eneo hili litambuliwe kama eneo la hatari jana jumapili walisitisha kabisa movements zote ikiwa ni pamoja na magari na treni.Na sasa wanatrack kuona hao watu wamepata ugonjwa wapi,na hali ya tahadhari imeongezeka zaidi.Ila mimi ninahisi huenda kuna mgonjwa asiye na dalili alitoka jimbo la jirani ambalo wiki chache zilizopita waliripoti imported cases zaidi ya 40 kutoka Russia.
 
A city in Northeast China's Jilin Province has imposed martial law in its fight against COVID-19 after an infected laundrywoman spread the virus to 11 others, unsettling locals as it was just recovering from the epidemic. Shulan should impose martial law in line with the requirements of highest-risk level prevention and control, Bayin Chaolu, the secretary of the Jilin Provincial Committee of the Communist Party of China, said as he presided over an anti-epidemic meeting on Sunday. Bayin Chaolu said the clustered infections in Shulan pose great danger to the lives of the public and the situation is heart-breaking, exposing the shortfalls and loopholes in anti-epidemic work. Those who failed to take action over the epidemic will be held responsible. Shulan raised its epidemic-response on Sunday to the highest level, making it the only city in China to do so currently, after it reported 11 domestically transmitted COVID-19 cases. In the wake of the infections, Shulan imposed lockdown in local communities and villages from Saturday. Exits and entrances are being guarded by designated people, leaving only one door for local residents to enter. Only one family member is allowed to purchase daily necessities each day.
The local railway company halted nearly a dozen train services from Sunday to May 31 in and out of Shulan. All public transportation, including buses, suspended services from Sunday, and no taxi is allowed to leave the city, which has a population of 630,000. A local resident who runs a lobster restaurant in Shulan told the Global Times he was about to open his business as the city recovered from the epidemic, but the recent infections prompted him to shut his doors once again. "All restaurants have closed for business due to the infections. The flow of people on streets has been less in recent days," he said. The city required all public and entertainment venues such as gyms, cinemas, KTVs and swimming pools to halt business.The infection chain in Shulan led a nearby county to raise its guard as well. Dongfeng county will inspect all personnel coming back from Shulan within 14 days and those who plan to return to Dongfeng need to report to the local community three days in advance and face 14 days of centralized quarantine and seven days of home quarantine.Party officials, deputies to the local people's congresses and members of the people's political consultative conferences should take the lead and encourage their friends, family members and neighbors to abide by the anti-epidemic regulations. Classes for students in the final year of middle schools were suspended on Sunday after the 11 patients were reported. "The infection chain makes senior students very jittery, as we are going to sit college entrance exams in less than two months. There are students living in communities where infected patients have been reported," a senior student in Shulan surnamed Wang told the Global Times. She said schools are considering opening online classes. The infection chain originated from a 45-year-old female who worked as a laundry worker at a local public security bureau. The virus has now spread to her husband, her three sisters and some other family members, according to the local health authority on Sunday. However, the source of infection of the laundrywoman remains a mystery, as she had no recent travel or exposure history, alarming locals and netizens over whether the virus has found a new way of spreading. An epidemiological investigation is ongoing. Bayin Chaolu said that the city will trace every close contact, every suspicious person and every clue, he said, ordering local departments to re-inspect and trace every activity route on the infection chain.Jilin should mobilize the strength of the whole province and concentrate its resources to continue the fight against the epidemic, Bayin Chaolu said.Epidemic control and prevention is a serious and complicated matter, and local authorities should never be overly optimistic, war-weary, or off-guard, he said.
 
China imeripoti visa vipya 17 vya #COVID19, 10 kati ya hivyo yakiwa ni maambukizi ya ndani. Mji wa Wuhan umetangaza visa vitanoa vya ugonjwa huo baada ya kuwa kimya kwa takribani mwezi mmoja
-
Mji wa Jilin umewekwa katika zuio la kutoka nje baada ya kuwa na visa 10 vilivyoripotiwa, Mei 10. Mamlaka hazijataja tarehe za kuisha kwa zuio hilo
-
Hadi sasa China ina jumla ya visa 82,918. 780 ni wagonjwa walio chini ya uangalizi ambao bado hawajaanza kuonyesha dalili. Wagonjwa 78,144 wameripotiwa kupona huku wakiwa na jumla ya vifo 4,600

===
Authorities in mainland China reported 17 new novel coronavirus cases inside the country today, including 10 that were locally transmitted.

The country's National Health Commission (NHC) said that five of the new local transmissions were reported in Wuhan, the capital of Hubei province in central China considered ground zero for the global pandemic.

Wuhan reported its first new case in more than a month yesterday, raising concerns that a second wave of cases could be coming. The city's Dongxihu district was classified as being at a medium risk level as of Sunday afternoon, while other areas of Wuhan remain low risk.

Troubling signs in the northeast: Fresh lockdown measures were announced for the city of Shulan in China’s northeastern Jilin province over the weekend after 11 coronavirus cases were reported there yesterday.

A statement released by Jilin’s provincial health commission on Sunday said Shulan is currently under lockdown since Saturday, with public services and recreation venues shut down and only takeaway services allowed for restaurants.

Gatherings are banned and only one member from each household is allowed to go out to collect daily necessities. The statement did not say how long the lockdown measures would last.

The epidemic risk level in Shulan has been changed to “high," the top level on China's scale.

Total cases: The NHC said it has now identified 82,918 Covid-19 patients. Right now, there are 780 asymptomatic patients under medical observation, 12 of which are new cases. A total of 78,144 coronavirus patients have recovered and been discharged from hospitals. More than 4,600 have died.

CNN

Korona mbona tunaishi nayo tu huku tz, ila tunapata maexperience wakati wanaofunga mipaka kwa panic watakapogundua kuwa corona haiishi kwa kufunga mipaka wala lockdown ndipo watakapoanza kuja kujifunza hapa Tanzania
 
China imeripoti visa vipya 17 vya #COVID19, 10 kati ya hivyo yakiwa ni maambukizi ya ndani. Mji wa Wuhan umetangaza visa vitanoa vya ugonjwa huo baada ya kuwa kimya kwa takribani mwezi mmoja
-
Mji wa Jilin umewekwa katika zuio la kutoka nje baada ya kuwa na visa 10 vilivyoripotiwa, Mei 10. Mamlaka hazijataja tarehe za kuisha kwa zuio hilo
-
Hadi sasa China ina jumla ya visa 82,918. 780 ni wagonjwa walio chini ya uangalizi ambao bado hawajaanza kuonyesha dalili. Wagonjwa 78,144 wameripotiwa kupona huku wakiwa na jumla ya vifo 4,600

===
Authorities in mainland China reported 17 new novel coronavirus cases inside the country today, including 10 that were locally transmitted.

The country's National Health Commission (NHC) said that five of the new local transmissions were reported in Wuhan, the capital of Hubei province in central China considered ground zero for the global pandemic.

Wuhan reported its first new case in more than a month yesterday, raising concerns that a second wave of cases could be coming. The city's Dongxihu district was classified as being at a medium risk level as of Sunday afternoon, while other areas of Wuhan remain low risk.

Troubling signs in the northeast: Fresh lockdown measures were announced for the city of Shulan in China’s northeastern Jilin province over the weekend after 11 coronavirus cases were reported there yesterday.

A statement released by Jilin’s provincial health commission on Sunday said Shulan is currently under lockdown since Saturday, with public services and recreation venues shut down and only takeaway services allowed for restaurants.

Gatherings are banned and only one member from each household is allowed to go out to collect daily necessities. The statement did not say how long the lockdown measures would last.

The epidemic risk level in Shulan has been changed to “high," the top level on China's scale.

Total cases: The NHC said it has now identified 82,918 Covid-19 patients. Right now, there are 780 asymptomatic patients under medical observation, 12 of which are new cases. A total of 78,144 coronavirus patients have recovered and been discharged from hospitals. More than 4,600 have died.

CNN
China wana tuigizia kuna kipindi walikaa wiki hawana maambukizi hawana vifo,mara ghafla maambukizi yakapanda kufikia zaidi ya visa 4000 ,vifo zaidi 1400 ndani ya siku moja alafu baada ya hapo kimya.

Leo wanadai wana visa vipya,sasa sijui wataufunga tena huo mji.Manake inakuwa kama unajaza maji kwenye chujio.
 
Tutajifunza kuishi na corona bila kuathiri uchumi, kama tunavyoishi na UKIMWI

Shughuli ni kama bloodstream ya uchumi, kuweka lockdown ni kujiua kiuchumi, ila siasa zilivyo ndio shida

Ukimwi unaambukizwa kwa hewa.? Ukimwi ukiupata wewe je na wote ulionana nao na kukaribiana nao unawapata.?

Unamaanisha nchi zote duniani zilizoweka lockdown viongozi hawana akili mwenye akili ni Rais wako tu.??

Hivi huu upumbavu wa namna hii wenzetu mnazaliwa nao au ni vipi ???

Mjinga kiasi gani wewe hadi ufananishe UKiMWI na Corona.????
 
China wana tuigizia kuna kipindi walikaa wiki hawana maambukizi hawana vifo,mara ghafla maambukizi yakapanda kufikia zaidi ya visa 4000 ,vifo zaidi 1400 ndani ya siku moja alafu baada ya hapo kimya.

Leo wanadai wana visa vipya,sasa sijui wataufunga tena huo mji.Manake inakuwa kama unajaza maji kwenye chujio.
Mji huo umefungwa tangu jana jumapili. Huku serikali kuu wanatoa taarifa kila siku, yaani kila siku ya Mungu na wanahainisha maeneo, wanasema huyo mtu amepataje huo ugonjwa na ku act very faster. Huu ugonjwa unaambukiza haraka sana alafu kwa watu wengine kabisa haunyeshi dalili, huenda Dunia ikaendelea kuishi na corona kwa muda mrefu zaidi kama tunavyoishi na ukimwi, tofauti tu itakuwa kuvaa masks na condoms
 
Ndo maana nimesema dunia nzima tulichelewa.
Mchina ali jua yeye anaumwa lakini hakufunga nchi yake. Aliruhusu watu kuingia na kutoka.
Janga lilikua limeshaonekana ni changamoto lkn watalii wa kichina wakaja kwa mamia hapa bongo,unakumbuka polepole alichokijibu khs kwanini serikali haiwezi kuwazuia wachina kuingia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom