China kuanza kutumia Mwezi wake

Mkui asante Kwa maelezo yako.
Hivyo huenda kweli china wanatengezena kitu kama mwezi ila si meezi bali ni kurunzi
 
Wachina waongo sana, hiyo ni taa wametengeneza!

Sisi sio wajinga! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
China wao hawategemei NASA Nao wapo kivyao na teknolojia yao.
NASA inamilikiwa na Marekani hivyo china hawataki hilo.
Kwani NASA wao walitengeneza mwezi?
Zoezi lao halitafanikiwa wapuuzi wapagani hawa, mwezi uliumbwa na MUNGU na upo Km 380,000 kutoka Duniani,wa kwao utakuwa na km ngapi kutoka Duniani?
Yaani hawataweza,siyo kila Jambo linawezekana huwezi kuingia kwenye 18 za Mungu ukatoka salama

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Maanalizelo yako ni mazuri sana mkuu ila hapo 25000km from earth surface ni kidogo sana nadhani ni zaid ya 380,000km from the earth
 
Ngoja tusubiri tuone
 
Nice lakini umechukulia tuu general, ukitaka kujua ukweli utashaangaa..tafuta kuhusu hallow moon theories, dark side of the moon na other irregularities ktk solar system yetu mfano moons of jupiter ambacho naona ndo wachina wanacho jaribu kufanya..and its possible.

Tafufa pia about the race to space with second world war hapo ndo utaelewa jinsi gan tulivo nyuma,..ppl have been to the moon long before ata kuanza kwenda 1967 under J F kenneddy space progaramme known as NASA..jiulize kwann aliuwawa soma history mzee and utagundua everthing is a lie

Funfacts.:
1. The moon is hollow, ndan kuna structures ni kama artificial sattelite hizi info ata uki goggle kawaida unapata.

2. Antigravity & portals

..think always about frequency, vibration and electromagnetic gravitics, na kwann this tech leo hii ukianzisha project haziwi na funds bali suppressed..kwann wanaficha.

Keep in mind...N- never
A- a
S- straight
A- answer


"Always ask the right questions" only then ndo unaweza pata majibu sahihi na sio edited info.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…