China Kufadhili Ujenzi SGR Mwanza -Isaka

Marehemu si aliisha Acha ame sign hicho kipande. Maana alijua wahuni wana mpango wa kutoiendeleza hiyo reli
 


Kwahiyo wale wanaojenga wanajenga bila hela? Hii ilisainiwa Waziri wa ujenzi akiwa Dr. Chamuliro. Enzi za JPM. Kumbe hawana hela
 
Habari imekaa kisiasa zaidi,

Ujenzi umefika % ngapi na ufadhili ni pesa ngapi mchina atatoa?

Ujenzi ulishaanza enzi za JPM. Hata leo ukienda Mwanza, Butimba kuna foleni sababu ya Ujenzi wa SGR. Huyu mwamba anatuletea picha eti wanafadhili ujenzi wa Mwanza Isaka.
Kwani kuwa mwana siasa lazima uwe muongo? Na unamdanganya nani saSA?
 
Tumehamia Asia sasa hivi kutembeza bakuli? Tutegemee Wachina kuajiliwa kwenye SGR kama watu wa Uendeshaji na Utawala.
Tanzania Tanzania tunakupenda lakini Watawala wameamua kukugeuza na kukuchezea tu. 😭😭😭😭
Bado viongozi wetu hahawajui wachina vizuri! au ndio wanajifanya hawasikii?
 
Bado viongozi wetu hahawajui wachina vizuri! au ndio wanajifanya hawasikii?
Zambia mpaka Trafiki ni Mchina kwa sababu ya kuendekeza mikopo na kushindwa kupeleka marejesho. Na sisi tutafika mpaka huko hawa Mama Kizimkazi na huyu Mnyiramba wakiendelea kukalia viti hivyo
 
Zambia mpaka Trafiki ni Mchina kwa sababu ya kuendekeza mikopo na kushindwa kupeleka marejesho. Na sisi tutafika mpaka huko hawa Mama Kizimkazi na huyu Mnyiramba wakiendelea kukalia viti hivyo
Utapiga Ramli mpaka utachoka.
 
Mh hivi tuliopisha mradi na tunaosubiri kulipwa fidia za sgr tutalipwa kweli?
 
Ndio mtalipwa kwa haki kabisa bila kudhulumiwa hata shilingi mia.
Tathmini toka mwez wa tatu had Leo kimya watu tukakopa Ili tumalizie ujenZi wa makazi mapya Ili tukilipwa tuhamie kwetu badala ya kupanga na tuwalipe wadeni wetu lkn had Leo wadeni wetu wametununia
 
Tathmini toka mwez wa tatu had Leo kimya watu tukakopa Ili tumalizie ujenZi wa makazi mapya Ili tukilipwa tuhamie kwetu badala ya kupanga na tuwalipe wadeni wetu lkn had Leo wadeni wetu wametununia
Kuweni na subira ndugu zanguni.kama mnavyojua kuwa pesa ya serikali inakuwa na taratibu zake za utokaji.lakini muwe na imani ya kuwa hakuna atakaye dhurumiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…