China Kufadhili Ujenzi SGR Mwanza -Isaka

Huna hata aibu,kwani nchi hii Haina engineers,rasilimali zote hizi Bado ccm wanakopa.ujinga²⁷
 
kumbe ujenzi kati ya mwanza na isaka umesimama huku wnasema mama anaupiga mwingi? Kipaumbele kinatakiwa kiwe huu ujenzi wa miundombinu. Sio kuwapa wahindi na waarabu kuendesha miradi taifa limewekeza halafu mnaambia watu eti ni uwekeaji.
 
Yote kheri, cha msingi ni namna gani tunaenda kusimamia miradi hii ili ituletee tija. Nje ya mada : - Ile ndege yetu ya mizigo inafanya nini kwa sasa? Mara ya mwisho walizenguana na Kenya wakigombea mizigo ya Kenya
 
Rais sasa hivi ni Magufuli ama Samia Suluhu!?
Tunauomba jibu tafadhali.
Kwani hizo fedha alizosema zipo aliondoka nazo? Kwani alikuwa anatoa mfukoni mwake? Kwani hazina haipo? Kwani alivyosema hivyo alikuwa ameangalia fedha kwenye account yake au ya hazina?
 
Kwani hizo fedha alizosema zipo aliondoka nazo? Kwani alikuwa anatoa mfukoni mwake? Kwani hazina haipo? Kwani alivyosema hivyo alikuwa ameangalia fedha kwenye account yake au ya hazina?
Mbona unajiuliza na kujijibu mwenyewe!?
Unajivuruga,Samia amekopa mara tatu ya watangulizi wake wote,swali linakuja,mtangulizi wake aliwezaje kujenga bila kukopa hovyo kama yeye!?
 
Mbona unajiuliza na kujijibu mwenyewe!?
Unajivuruga,Samia amekopa mara tatu ya watangulizi wake wote,swali linakuja,mtangulizi wake aliwezaje kujenga bila kukopa hovyo kama yeye!?

Tustick kwenda hoja:Serikali hii inayoongozwa na Sir1oo haina tofauti na JPM kwasababu sir100 alikuwa Makamu wa Rais ,kwahiyo Serikali yao wakati wanaanza ujenzi walisema kwamba wanatekeleza miradi kwa fedha za ndani ,miradi ilikuwa ya serikali na si ya JMP au Sir100 kwasababu fedha ilikuwa haitoki kwenye personal accounts zao bali hazina.
 
Nime stick kwenye mada ila yaonekana unakaza fuvu.
Niletee ushahidi wa mkopo wa phase 1 wa SGR!??
Ushasema makamo wa Rais.
Je Samia kuwa makamo wa rais ndio justification akiwa rais atakua sawa na Magufuli!?
Mbona alivyoingia madarakani kuna reforms kibao amefanya na kupinga sera za Magufuli!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…