China kujenga bandari kubwa Afrika. Kumbe na mambo ya kijeshi yapo humo humo

China kujenga bandari kubwa Afrika. Kumbe na mambo ya kijeshi yapo humo humo

Kwa kweli kama kuna raisi amewahi kutukanwa sana dunia hii basi mmojawapo ni kikwete, lakini ndiye atakayekumbukwa kwa mema mengi aliyoyafanya kwa taifa lake, kikubwa mungu amemjaliia hekima na busara hii ni zaidi ya elimu yoyete uijuayo hapa duniani,hana jazba sijui tutamtoa wapi tena,ana kila nguvu za kutumia kuzima matusi yote na kashfa lakini yeye husema waacheni wanajifunza demokrasia wakipevuka kila kitu kitaa kaa sawa, asante mungu kwa kutupa jk, ni mzalendo wa kutosha, miradi aliyoisimamia yeye tutakaa miaka hamsini kufikia malengo yake, time wil tel, bagamoyo sasa imeshaunganishwa na dar

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums

Amen.........😛ray2:😛ray2:😛ray2:😛ray2:😛ray2:
 
Revenue ya Biggest Port in Africa ni zaidi ya nusu ya Bajeti ya Mwaka ya nchi hii. Just kuwa na facility kama hilo kwenye nchi yako tayari umetoka kiuchumi. Ile tuliyoijenga kwa fedha zetu wenyewe pale Dar Port jamaa wa TICTS ambao hawakutoa hata shs 10 ya ujenzi wana mkataba hadi 2030. Heri uwape miaka 50 wachina waliojenga kuliko kuwapa miaka 25 TICTS kuendesha bandari tuliyojenga sisi. Vipi kuhusu Barrick na madini yetu wakiondoka wanatuachia nini?? Hawa wachina ni Zimwi likujualo, kamwe hawatatumaliza kama TICTS na Barrick
Hakuna unafuu wowote na tusichanganye ukweli wanajenga ni mkopo, kwa hiyo ujinga wa TICTS,BARICK na sasa bandari ya bagamoyo ni ujinga na ukanjanja sawa sawa ha haya MACCM yanayoingia mikataba ya kipumbavu,mbona nchi zingine walihakikisha wanabadirisha mikataba ya kinyonyaji na kuwa win win situation Zambia,Ghana wamefanya hicvyo sasa kitu gani sisi tumeshindwa na eti tunashadadia ujinga mwingine
 
Nadhani kama tutabadilika na kuwa makini tutapata faida kubwa sana hata kama wao watajenga na kuiendesha, tatizo linakuja aina ya wawakilishi wetu katika mambo nyeti kama hayo. dolla Billion 10 bora hata wangetukopesha kwa kutujengea tuu. bandari inalipa sana na haraka sana
 

China Builds The Biggest Port In Africa what i was try think is it real we need a new port to be built in our country now?, what does is it mean for us in terms of our economy and employments and what's about those oldest ones.
Also i m worrying it is going to be not ours, in terms of possesion and employments. May be the chinese port in african country. According to different articles concerning chinese peoples towards their modern culture, all the materials and the equipments are to come from china and even 90% of human resources will come from the same country.the questions come to the terms of agreement made by the two parties were not disclosed,remains not known neither Aid nor trade between the two sides. the facts of the other side was already revealed by many of politician including members of parliament one of them is Hon. Zitto Kabwe:- "China inapotoa mkopo, kuweka sharti kwa mkopaji na kutoa kitu kitakachoinusha na kutoa
mfano wa nchi ya Angola, ambayo ilipewa mkopo kwa sharti la kupatiwa visima vya gesi, hivyo
ni lazima Serikali ya Tanzania imetoa sehemu ya maliasili zake kwa mkopo huo, ambazo
amesisitiza kuwa ni lazima zitajwe ili Watanzania wafahamu.
Jitihada za Rai kumpata Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuhusu suala
hilo, hazikuweza kufanikiwa, baada ya simu yake ya kiganjani kuita bila kupokelewa kwa muda
mrefu.
Kuibuka kwa madai ya kuwapo ufisadi katika mradi wa ujenzi wa bomba la gesi, kunazidi
kuyapa nguvu madai ya wananchi wa Mtwara ya kutaka rasilimali hiyo isitumike vibaya, bali
iwanufaishe wananchi, tofauti na ilivyopata kutokea katika maeneo ya madini ambako
kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu kuwa madini yamekuwa yakiwanufaisha zaidi
vionghozi wachache na wawekezaji badala ya wananchi". "Ufisadi mkubwa bomba la gesi" gazeti la Rai
Imeandikwa na Na Charles Mullinda
Alhamisi, Januari 17, 2013 06:16 the side of the oldest ports: its seems that either are:- (a)very well in terms of good infrastructures and services they providing or (b) there are poor infrastructures and services they producing. The answer is (b) we have three ports which needs not only good leaders but also good infrastructures those ports are D'salaam,Tanga and Mtwara there was no need to build a new port and leave the oldest ones as they were why not make those old ones becomes new? so long it is a loan we could have renovating which we have instead of that you speak to start building or because of it's biggest no space on those three ports? may be this one will never become old, in modern world the old port and new port are differ from the services available at the port and old becomes new not location. Finally as we expecting an opportunities,quite not easy as we think take a look at one of the biggest project under chinese companies mostly are not paying well. machines operators and drivers from china
 
Back
Top Bottom