China: Maafisa wa Jeshi Wauza nyaraka za siri badala ya kuziharibu

China: Maafisa wa Jeshi Wauza nyaraka za siri badala ya kuziharibu

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
C Wizara ya Usalama wa Taifa imesema Maafisa Wawili wa Jeshi (Guo na Li) waliotakiwa kuziharibu nyaraka za siri takriban 200 waliziuza katika Kiwanda cha kuchakata taka kwa chini ya Dola 4 za Marekani

Tukio hilo limebainika baada ya Mstaafu mmoja aliyetajwa kwa jina la Zhang, ambaye hununua Majarida na Vitabu vya kuhusu mambo ya Jeshi kama Hobby, kununua nyaraka 8, miongoni mwa Nyaraka 200 zilizokuwa katika Mifuko Miwili katika Kiwanda cha Kuchakata taka

Imeelezwa baada ya kusoma baadhi ya Nyaraka hizo Zhang alitoa taarifa kwa Mamlaka kupitia namba ya Mtandaoni, ambapo Maafisa wa Jeshi walifika nyumbani kwake mara moja na kuzichukua nyaraka hizo

Hata hivyo, Wizara imesema tukio hilo halijasababisha uvujaji mkubwa wa taarifa za Kijasusi na Guo na Li, pamoja na yeyote aliyehusika wameshughulikiwa kwa Mujibu wa Sheria za Nchi

..............

China says 2 military employees sold 60 pounds of secret documents to a recycling plant, allowing a shopper to bag 4 volumes for under $1

China's State Security Ministry said on Thursday that a retiree had somehow secured four volumes of confidential military documents at a recycling store for just 85 cents.

China on Thursday highlighted an intelligence gaffe involving 200 sensitive military documents.
It said two military personnel who were supposed to destroy the documents sold them for under $4.
A retiree bought four volumes of the secrets for about $0.85 from a recycling plant, authorities said.





The ministry described the incident in a social media post encouraging the public to be vigilant on national security matters, and praised the retiree for reporting the documents to authorities.

He was identified as "Grandpa Zhang." Chinese authorities and media typically do not publish the full names of people who don't have a high profile.

According to the post, Zhang is a former employee of a state-owned enterprise and collects military newspapers and magazines as a hobby.

He was walking in his neighborhood when he passed a scrap store selling two bags filled with books that seemed related to the military, per authorities.

Excited with his find, he paid about 6 Chinese yuan, or $0.85, for one bag of four volumes and brought them home, according to the ministry.

At home, Zhang studied the books, realized they were marked as "confidential" and "secret," and reported them to a public security hotline, authorities added.
The State Security Ministry said agents rushed to Zhang's home and seized the documents. The ministry did not say where Zhang lives.

Upon investigating the scrap store, the state security ministry discovered that Zhang's purchase had been part of eight volumes of 200 secret documents marked for disposal, the post reads.

It said two military personnel in a classified unit, who were identified only as Guo and Li, were tasked with shredding the documents but instead sold them to a recycling plant for about $0.06 per pound. The entire tranche of documents weighed about 60 pounds, meaning the duo made a profit of less than $4 for the entire sale, authorities added.

The ministry criticized the pair as having a "weak sense of confidentiality" and "greed for convenience's sake" but said that the incident did not create a significant intelligence leak.

It said that Guo and Li, as well as anyone else responsible, were dealt with under Chinese law and that the ministry oversaw a revamp of procedures to avoid similar gaffes.
The post on Thursday was part of a push by the State Security Ministry to promote a hotline that Chinese people can use to report national security lapses.

It's unclear what information the documents mentioned by the ministry contained, so it's difficult to say how a leak of such secrets may have affected the Chinese military.
 
C Wizara ya Usalama wa Taifa imesema Maafisa Wawili wa Jeshi (Guo na Li) waliotakiwa kuziharibu nyaraka za siri takriban 200 waliziuza katika Kiwanda cha kuchakata taka kwa chini ya Dola 4 za Marekani

Tukio hilo limebainika baada ya Mstaafu mmoja aliyetajwa kwa jina la Zhang, ambaye hununua Majarida na Vitabu vya kuhusu mambo ya Jeshi kama Hobby, kununua nyaraka 8, miongoni mwa Nyaraka 200 zilizokuwa katika Mifuko Miwili katika Kiwanda cha Kuchakata taka

Imeelezwa baada ya kusoma baadhi ya Nyaraka hizo Zhang alitoa taarifa kwa Mamlaka kupitia namba ya Mtandaoni, ambapo Maafisa wa Jeshi walifika nyumbani kwake mara moja na kuzichukua nyaraka hizo

Hata hivyo, Wizara imesema tukio hilo halijasababisha uvujaji mkubwa wa taarifa za Kijasusi na Guo na Li, pamoja na yeyote aliyehusika wameshughulikiwa kwa Mujibu wa Sheria za Nchi

..............

China says 2 military employees sold 60 pounds of secret documents to a recycling plant, allowing a shopper to bag 4 volumes for under $1

China's State Security Ministry said on Thursday that a retiree had somehow secured four volumes of confidential military documents at a recycling store for just 85 cents.

China on Thursday highlighted an intelligence gaffe involving 200 sensitive military documents.
It said two military personnel who were supposed to destroy the documents sold them for under $4.
A retiree bought four volumes of the secrets for about $0.85 from a recycling plant, authorities said.





The ministry described the incident in a social media post encouraging the public to be vigilant on national security matters, and praised the retiree for reporting the documents to authorities.

He was identified as "Grandpa Zhang." Chinese authorities and media typically do not publish the full names of people who don't have a high profile.

According to the post, Zhang is a former employee of a state-owned enterprise and collects military newspapers and magazines as a hobby.

He was walking in his neighborhood when he passed a scrap store selling two bags filled with books that seemed related to the military, per authorities.

Excited with his find, he paid about 6 Chinese yuan, or $0.85, for one bag of four volumes and brought them home, according to the ministry.

At home, Zhang studied the books, realized they were marked as "confidential" and "secret," and reported them to a public security hotline, authorities added.
The State Security Ministry said agents rushed to Zhang's home and seized the documents. The ministry did not say where Zhang lives.

Upon investigating the scrap store, the state security ministry discovered that Zhang's purchase had been part of eight volumes of 200 secret documents marked for disposal, the post reads.

It said two military personnel in a classified unit, who were identified only as Guo and Li, were tasked with shredding the documents but instead sold them to a recycling plant for about $0.06 per pound. The entire tranche of documents weighed about 60 pounds, meaning the duo made a profit of less than $4 for the entire sale, authorities added.

The ministry criticized the pair as having a "weak sense of confidentiality" and "greed for convenience's sake" but said that the incident did not create a significant intelligence leak.

It said that Guo and Li, as well as anyone else responsible, were dealt with under Chinese law and that the ministry oversaw a revamp of procedures to avoid similar gaffes.
The post on Thursday was part of a push by the State Security Ministry to promote a hotline that Chinese people can use to report national security lapses.

It's unclear what information the documents mentioned by the ministry contained, so it's difficult to say how a leak of such secrets may have affected the Chinese military.
Aisee 😯 nadhani wanajuta sasa.
Kwa jinsi China ilivyo na Utawala wa Kikomunisti na jinsi Utawala huo ulivyo wa kikatili, hao Askari waliovujisha hizo Nyaraka za Siri tayari watakuwa wameshanyongwa Hadi kufa, uwezekano wa kuendelea kuwa hai kwa hao Watu haupo kabisa. Kwa sasa China ndio nchi inayoongoza kwa kunyonga watu wengi zaidi hapa duniani, zikifuatiwa na nchi za Kiarabu kama vile Pakistan, Afghanistan, Iran, n.k.
 
Kwa jinsi China ilivyo na Utawala wa Kikomunisti na jinsi Utawala huo ulivyo wa kikatili, hao Askari waliovujisha hizo Nyaraka za Siri tayari watakuwa wameshanyongwa Hadi kufa, uwezekano wa kuendelea kuwa hai kwa hao Watu haupo kabisa. Kwa sasa China ndio nchi inayoongoza kwa kunyonga watu wengi zaidi hapa duniani, zikifuatiwa na nchi za Kiarabu kama vile Pakistan, Afghanistan, Iran, n.k.
Hatari sana.
 
Kwa jinsi China ilivyo na Utawala wa Kikomunisti na jinsi Utawala huo ulivyo wa kikatili, hao Askari waliovujisha hizo Nyaraka za Siri tayari watakuwa wameshanyongwa Hadi kufa, uwezekano wa kuendelea kuwa hai kwa hao Watu haupo kabisa. Kwa sasa China ndio nchi inayoongoza kwa kunyonga watu wengi zaidi hapa duniani, zikifuatiwa na nchi za Kiarabu kama vile Pakistan, Afghanistan, Iran, n.k.
Safi yaani serikali iteseke kulinda watu zaidi ya 1billion hafu wapuuzi waleete upumbavu
 
Niliwahi kupata taarifa kwamba maafisa wa benki kubwa ya nchi flani huko afrika kwamba.....
Walikua wanazichukua na kuzirudisha kwenye mzunguko, fedha walizokua wanapewa wakaziharibu...
Wala usizunguke mbuyu, hiyo issues ilitokea TZ, iliwahusu maofisa wa BOT kati ya 2006 na 2009
 
Back
Top Bottom