CHINA: Marekani iwajibike kwa kueneza UKIMWI Duniani na seasonal flue mwaka 2009 maana chimbuko la H1N1 na UKIMWI ni Marekani

Heri ukimwi ukifuata masharti n dawa unakaa hata miaka 25,sio hii china virus wk 3 tu kwisha habari yako.unazikwa kama mzoga wa mbwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri ukimwi ukifuata masharti n dawa unakaa hata miaka 25,sio hii china virus wk 3 tu kwisha habari yako.unazikwa kama mzoga wa mbwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ukiwekewa ugonjwa au sumu ya kukufanya kuumwa ukaambiwa tutakupa dawa nyingine ya kukusaidia angalau uishi miaka 25 utakubali? uishi miaka 25 ya mateso au ufe baada ya wk 3......
 
Hujaelewa china anasema nini , ni hivi Ukimwi umeua maelfu ya watu nani kamuajibisha Marekani ? au hayo mafua yameua watu kibao nani kamuajibisha marekani ? unapotuambia ARVS bure hii haitibu ugonjwa yenyewe ni mateso pia vidonge gani ukianza kunywa unakunywa mpaka unakufa !! swali zile roho zilizo kufa na ukimwi au mafua yale marekani aliwajibishwa na nani ?
 
Heri ukimwi ukifuata masharti n dawa unakaa hata miaka 25,sio hii china virus wk 3 tu kwisha habari yako.unazikwa kama mzoga wa mbwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wale waliokufa na ukimwi vip marekani kawajibika vip ? hizo sio dawa ni mateso wewe dawa gani kila siku unakunywa !! watu wengi wamekatisha dozi baada ya kuchoka vidonge hivi wameishia kufa
 
Yani ni sawa na MTU alietengeneza virus kwenye computer then akatengeneza antivirus... Ndo walichofanya wahusika kwa maslahi yao.

Majuzi walituwekea kamgomo baridi kondom zikahadimika sana(kama sikosei ni kipindi kile mkulu aliposema tuzaliane tu kama tutakuwa na uwezo wa kulea yani kila MTU azae kutokana na uwezo wake), nadhani mpaka sasa bado hazija shuka.

Hiyo ilikuwa ni intro tu, movie nzima itaonekana tukikosa ufadhili wa A.R.V ingawa sisi sio chanzo cha huu ugonjwa ila ndio tumekuwa wahanga wakubwa!

N.B:- Sio wazungu wote wanapenda hivi vitendo ndio maana huwa tunatumia neno mabeberu na sio wazungu, mabeberu(imperialists) hawa ni watu wachache lakini wenye uwezo wakuchukua maamuzi makubwa kuiendesha Dunia watakavyo kutokana na nguvu waliyo nayo kiuchumi...

Hii teknolojia inasaidia sana kama ikitumika vizuri, lakini ikitumika vibaya hasara yake huweza kugharimu maisha ya wengi.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…