China: Mchekeshaji apigwa faini ya shilingi bilioni 4 kwa kutaja msemo wa kishujaa wa jeshi la China PLA jukwaani

China: Mchekeshaji apigwa faini ya shilingi bilioni 4 kwa kutaja msemo wa kishujaa wa jeshi la China PLA jukwaani

Kizzy Wizzy

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2013
Posts
3,280
Reaction score
3,789
Mchekeshaji Li Haoshi wa China amejikuta kwenye sintofahamu baada ya kupigwa faini ya $ 2 milion ambazo ni sawa na bilioni 4 baada ya kutaja maudhui na msemo wa kishujaa ambao hutumiwa na jeshi.

Mchekeshaji huyo alikuwa akielezea jinsi mbwa wake walipokuwa wakifukuza "squirrel" ndipo akafananisha jitihada za mbwa hao na msemo unaotumika jeshini unahamasisha kupambana mpaka kushinda bila kukata tamaa.

Adhabu imejumuisha faini kwa kampuni iliyomsajili na kutakuwa kusitisha ratiba zote za "standby comed" zilizopangwa kufanyika mwaka mzima na kampuni hio.

Watu wengi wameendelea kuwa na wasiwasi na kutafsiri swala hili kama mwendelezo wa China kunyima na kubana haki na uhuru wa watu lakini pia imetishia wawekezaji wa kwenye sekta hiyo ya burudani.
 
Mchekeshaji Li Haoshi wa China amejikuta kwenye sintofahamu baada ya kupigwa faini ya $ 2 milion ambazo ni sawa na bilioni 4 baada ya kutaja maudhui na msemo wa kishujaa ambao hutumiwa na jeshi.

Mchekeshaji huyo alikuwa akielezea jinsi mbwa wake walipokuwa wakifukuza "squirrel" ndipo akafananisha jitihada za mbwa hao na msemo unaotumika jeshini unahamasisha kupambana mpaka kushinda bila kukata tamaa.

Adhabu imejumuisha faini kwa kampuni iliyomsajili na kutakuwa kusitisha ratiba zote za "standby comed" zilizopangwa kufanyika mwaka mzima na kampuni hio.

Watu wengi wameendelea kuwa na wasiwasi na kutafsiri swala hili kama mwendelezo wa China kunyima na kubana haki na uhuru wa watu lakini pia imetishia wawekezaji wa kwenye sekta hiyo ya burudani.
Ipo misukule imezimika kwa China km milevi vile
 
Hii habari probably imepikwa kumchafua Xi
Habari kubwa kama hii unasema imepikwa!!

Habari ipo kila mahali kwenye mitandao na statement za adhabu zilizotolewa na selikari yao zipo public unasemaje ni habari za kupikwa?

Inaonesha ni jinsi gani ulivyo sio mfatiliaji wa maswala ya Geopolitics na world economics
 
Mchekeshaji Li Haoshi wa China amejikuta kwenye sintofahamu baada ya kupigwa faini ya $ 2 milion ambazo ni sawa na bilioni 4 baada ya kutaja maudhui na msemo wa kishujaa ambao hutumiwa na jeshi.

Mchekeshaji huyo alikuwa akielezea jinsi mbwa wake walipokuwa wakifukuza "squirrel" ndipo akafananisha jitihada za mbwa hao na msemo unaotumika jeshini unahamasisha kupambana mpaka kushinda bila kukata tamaa.

Adhabu imejumuisha faini kwa kampuni iliyomsajili na kutakuwa kusitisha ratiba zote za "standby comed" zilizopangwa kufanyika mwaka mzima na kampuni hio.

Watu wengi wameendelea kuwa na wasiwasi na kutafsiri swala hili kama mwendelezo wa China kunyima na kubana haki na uhuru wa watu lakini pia imetishia wawekezaji wa kwenye sekta hiyo ya burudani.
Haya ndio matokeo ya nchi kuwa na kiongozi dikteta, China, Russia, Syria nk
 
Haya ndio matokeo ya nchi kuwa na kiongozi dikteta, China, Russia, Syria nk
Kuna watu mimi nawaskitikia sana hawajui wanachokishabikia

Lengo la Xi ni kuitawala Dunia ifikapo 2049, kuitawala inamaanisha popote pale Duniani jambo lolote likitaka kufanyika lazima lipewe baraka na top leader wanaoitawala ilo eneo.

Ulimwengu utakuwa na hali mbaya sana iwapo China itakuwa super power.

Mifumo yao ya kiuongozi ni mibaya sana, mtu mmoja anajikusanyia mamlaka yote hii ni mbaya sana kwa raia wa kawaida.
 
Back
Top Bottom