Kama hata hilo hujui basi itoshe tu kukuachaUnaandika kwa mihemko sana ni banks zipi za China zinataka kucollapse?
View attachment 3035233
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hata hilo hujui basi itoshe tu kukuachaUnaandika kwa mihemko sana ni banks zipi za China zinataka kucollapse?
View attachment 3035233
Ushawahi sikia sikia au hata kusoma kuhusu kurudi tena kwa hiyo rumi?
Pole sana nilishasema nilichoandika kamwe hutoelewa na hilo limejidhihirisha.Hakuna superpower iliyofall ikarudi ukianzia Egypt, Assyria, Persian, Greece na Roma
Najua huelewi namaanisha hivi hiyo china yako hiyo itatawaliwa kutokea rumi mpya na itatii vizuri tu najua bado huelewi na hutoelewa.
Pole sana nilishasema nilichoandika kamwe hutoelewa na hilo limejidhihirisha.
Mtu ambaye kuhesabu 1-10 tu shida halafu kwa mfano aanze kufundishwa hesabu za calculus kwake itamake any sense? kamwe hawezi elewa huyo.Siwezi kuelewa kwa sababu it doesn't make sense
Mtu ambaye kuhesabu 1-10 tu shida halafu kwa mfano aanze kufundishwa hesabu za calculus kwake itamake any sense? kamwe hawezi elewa huyo.
England 🏴 aliyetawala dunia sijamuona apo ktk list yakoNaijua Rome empire vizuri sana. Unafikiri ni kwa nini ilianguka?2. Assyria
Ilikuwa superpower kabla ya US kuchukua kijiti
Na ilikuja kuwa superpower baada ya Greece empire kufall
Hizi zote zilikuwa superpowers kabla ya Marekani, ukitaka njoo tuzidiscuss moja baada ya nyingine
1. Egypt Kingdom
3. Babylon Empire
4. Iranian/Persian Empire
5. Greece Empire
6. Roman Empire
7. Marekani
England 🏴 aliyetawala dunia sijamuona apo ktk list yako
Kama ni miaka misri ina miaka mingi sana kuipita china tena imeipita kwa mbali sana na still ipo hapo ilipo. Hivyo umri wa taifa kwenye maendeleo sio hoja.
Iran, Ugiriki, Irak ni kati ya mataifa yenye miaka mingi na yalitisha duniani leo hii yapo hoi kiuchumi
Unaota mchana wewe.Ajaye ni rumi inayofufuka siyo china
Roman empire KAMWE HAITAKUJA KUSIMAMA.Stay tuned hivi unaijua former rome empire lakini? unajua ilikuwa na nchi zipi? Unajua nguvu iliyokuwa nayo? Sasa ndo inaenda kurudi tena upya.
Najua we kichwa yako imejaa china china tu huwezi elewa ninachoandika hapa.
Huyu jamaa ana imaginary tales kichwani mwake.Una safari ndefu ya kuzielewa hizi superpowers. Sidhani kama zote 7 ulikuwa unazifahamu?
Huyu jamaa ana imaginary tales kichwani mwake.
Ukimuambia hiyo Rome ita rise vipi hawezi akakwambia.
Sijui huwa anakaa na nani akidanganyana nae!?
Ana stori yake nyingine anakwambia RUSSIA ITAANGUSHWA KWA KUPIGWA NA ISRAEL.
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu jamaa ana stori za kufikirika sana kuliko hata longitude na latitudes.
Fantasy kibweeenaaaa.🤣🤣🤣 mzee wa fantasy
Tabia za walokole .wakisikia neno Israeli hadi wanaloa huko chin wanafanya vitu vya kufikirika sanaHuyu jamaa ana imaginary tales kichwani mwake.
Ukimuambia hiyo Rome ita rise vipi hawezi akakwambia.bia
Sijui huwa anakaa na nani akidanganyana nae!?
Ana stori yake nyingine anakwambia RUSSIA ITAANGUSHWA KWA KUPIGWA NA ISRAEL.
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu jamaa ana stori za kufikirika sana kuliko hata longitude na latitudes.