China-US TechWar: Pentagon wakiri ni vigumu kuachana na huduma za Huawei kikamili

China-US TechWar: Pentagon wakiri ni vigumu kuachana na huduma za Huawei kikamili

Najua huelewi namaanisha hivi hiyo china yako hiyo itatawaliwa kutokea rumi mpya na itatii vizuri tu najua bado huelewi na hutoelewa.
Roman Empire ilishajifia miaka hiyo acha kuota ndoto za mchana
 
Siwezi kuelewa kwa sababu it doesn't make sense
Mtu ambaye kuhesabu 1-10 tu shida halafu kwa mfano aanze kufundishwa hesabu za calculus kwake itamake any sense? kamwe hawezi elewa huyo.
 
Mtu ambaye kuhesabu 1-10 tu shida halafu kwa mfano aanze kufundishwa hesabu za calculus kwake itamake any sense? kamwe hawezi elewa huyo.
Una safari ndefu ya kuzielewa hizi superpowers. Sidhani kama zote 7 ulikuwa unazifahamu?
 
Naijua Rome empire vizuri sana. Unafikiri ni kwa nini ilianguka?

Ilikuwa superpower kabla ya US kuchukua kijiti

Na ilikuja kuwa superpower baada ya Greece empire kufall

Hizi zote zilikuwa superpowers kabla ya Marekani, ukitaka njoo tuzidiscuss moja baada ya nyingine

1. Egypt Kingdom
2. Assyria
3. Babylon Empire
4. Iranian/Persian Empire
5. Greece Empire
6. Roman Empire

7. Marekani
England 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 aliyetawala dunia sijamuona apo ktk list yako
 
Kama ni miaka misri ina miaka mingi sana kuipita china tena imeipita kwa mbali sana na still ipo hapo ilipo. Hivyo umri wa taifa kwenye maendeleo sio hoja.
Iran, Ugiriki, Irak ni kati ya mataifa yenye miaka mingi na yalitisha duniani leo hii yapo hoi kiuchumi

Hii Misri ya leo imevamiwavamiwa na kubadilishwa badilishwa utamaduni na dola kuu zilizofuata. Waajemi, Wagiriki, Warumi, Waingereza kwa miaka karibia maelfu sasa

China nayo ilivamiwa na vinchi hivi vya ulaya lakini kwa idadi usiozidi miaka 150. Na Damu yao imeendea kuwa ileile kwa kiasi kikubwa.

Mfalme wa kweli wa Egypt wa Mwisho ni Cleopatra miaka kibao iliyopita wakati dynasties za Wachina zimeendelea mpaka majuzi tu hapa walipofanya revolution ya kuondokana na mfumo wa ufalme.

Kwa hiyo usilinganishe Uchina na hawa wamisri wa leo
 
Stay tuned hivi unaijua former rome empire lakini? unajua ilikuwa na nchi zipi? Unajua nguvu iliyokuwa nayo? Sasa ndo inaenda kurudi tena upya.
Najua we kichwa yako imejaa china china tu huwezi elewa ninachoandika hapa.
Roman empire KAMWE HAITAKUJA KUSIMAMA.
Inasimama wapi ilhali kuna Turkiye pembeni yake!?
Maana upande wa Roman empire ambao ulikua una nguvu ni upande wa Byzantine ambayo ni Greek ya leo.
Hapo kuna Uturuki.
Italy kiuchumi ipo kikawaida haipo katika mataifa yenye kukua kwa kasi kubwa kiuchumi kwasasa.
Na sasa hivi himaya hujengwa kwa uchumi.
 
Una safari ndefu ya kuzielewa hizi superpowers. Sidhani kama zote 7 ulikuwa unazifahamu?
Huyu jamaa ana imaginary tales kichwani mwake.
Ukimuambia hiyo Rome ita rise vipi hawezi akakwambia.
Sijui huwa anakaa na nani akidanganyana nae!?
Ana stori yake nyingine anakwambia RUSSIA ITAANGUSHWA KWA KUPIGWA NA ISRAEL.
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu jamaa ana stori za kufikirika sana kuliko hata longitude na latitudes.
 
Huyu jamaa ana imaginary tales kichwani mwake.
Ukimuambia hiyo Rome ita rise vipi hawezi akakwambia.
Sijui huwa anakaa na nani akidanganyana nae!?
Ana stori yake nyingine anakwambia RUSSIA ITAANGUSHWA KWA KUPIGWA NA ISRAEL.
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu jamaa ana stori za kufikirika sana kuliko hata longitude na latitudes.
🤣🤣🤣 mzee wa fantasy
 
🤣🤣🤣 mzee wa fantasy
Fantasy kibweeenaaaa.
Aya muulize kitatokeaje hicho unachoeleza!?
Utashangaa anabwatuka tu "ooh huna macho ya kuona wala uelewa wa kuelewa mambo mengine,sio kila kitu utajua".
Bro kama ishu ya Israel kuiangusha Russia hebu tafakari Russia ni taifa lenye uchumi mkubwa kuliko Israel,Russia ina nguvu kubwa kijeshi kuliko Israel,Russia ina washirika wenye nguvu kuliko Israel.
Sasa ndio ujiulize inhow Israel akaiangusha Russia!?
Huyu jamaa aisee😂😂😂😂😂😂😂.
Mpaka huwa nahisi mwanafunzi anasumbua kipindi cha likizo na weekend.
 
Huyu jamaa ana imaginary tales kichwani mwake.
Ukimuambia hiyo Rome ita rise vipi hawezi akakwambia.bia
Sijui huwa anakaa na nani akidanganyana nae!?
Ana stori yake nyingine anakwambia RUSSIA ITAANGUSHWA KWA KUPIGWA NA ISRAEL.
😂😂😂😂😂😂😂😂Huyu jamaa ana stori za kufikirika sana kuliko hata longitude na latitudes.
Tabia za walokole .wakisikia neno Israeli hadi wanaloa huko chin wanafanya vitu vya kufikirika sana
 
Back
Top Bottom