China vs US: Baada ya Marekani kuona vita vya kichumi havifanyi kazi sasa yawekeza mabilioni kwenye vita vya propaganda dhidi ya China

China vs US: Baada ya Marekani kuona vita vya kichumi havifanyi kazi sasa yawekeza mabilioni kwenye vita vya propaganda dhidi ya China

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Sept 11, 2024, Baraza la Wawakilishi la bunge la Marekani liliidhinisha kiasi cha $1.6 Billion.
  • Bajeti hiyo ni ya miaka mitano (2023-2027) kueneza propaganda dhidi ya China sehemu mbalimbali duniani ikilenga hasa kuiharibia sifa China, ikitumia media za nje ya Marekani. Mpango huu umepewa jina la code H.R. 1157. Kwa wastani ni $1 million kwa siku, ili kufanikisha hilo Marekani imepanga pia kutumia ushawishi wa USAID.
20240913_064901.jpg


Tangu mwaka 2018 kipindi Trump akiwa raisi, Marekani imekuwa katika vita kali ya kiuchumi na kuzuia ushawishi wa China. Lakini mpaka kufikia sasa ukweli ni kwamba Marekani haijaona matokeo ambayo walikuwa wanayatazamia, kwa sababu uchumi wa China haujatikisika.

Badala ya kuwekeza kwenye production na miundombinu ya Marekani inayochakaa kila uchwao, tatizo la homelessness na drugs wameamua kutumia mabilioni hayo ya pesa za walipa kodi wa Marekani kwenye propaganda dhidi ya China.

Sasa tuangazie lengo kuu hasa la mpango huu;


Kuziwezesha kifedha media, journalists, wachambuzi na propagandists katika mataifa mbalimbali watoe taarifa hasi kuhusu China.
  • Usishangae unapoona taarifa kutoka hata mainstream-media na waandishi au wachambuzi wakiripoti habari zenye mtazamo hasi kuhusu China, ujue ni H.R. 1157 iko kazini ili kuzuia ushawishi wa China.​

BRI ndiyo imelengwa hasa.
  • Belt and Road Initiatives ni mkakati wa kimataifa wa maendeleo ya miundombinu uliopitishwa na serikali ya China mwaka 2013 kuwekeza katika nchi zaidi ya 150 na mashirika ya kimataifa. BRI imeifanya China iwe na ushawishi mkubwa sana duniani.
  • Marekani ilijaribu kuanzisha Build Back Better World au B3W Initiatives dhidi ya BRI lakini ikabuma. Inachotaka Marekani ni kuanzisha mijadala au public opinion pressure ili kuweka shinikizo China iachane na miradi yake ya BRI na kuzishawishi nchi husika ziachane na BRI.
  • Kwa mfano wanaweza kutunga negative impacts za uwekezaji wa BRI au kunzisha jumbe dhidi ya wakandarasi wa Kichina wanaojenga miundombinu katika BRI ili kuwagombanisha na wenyeji.
Lakini je, wataweza? Dunia imeshashtukia mchezo wa Marekani period.


"Makamu wa rais wa Marekani (Kamala Harris) alikuja Zambia. Alitua kwenye uwanja wa ndege uliojengwa na Wachina nchini Zambia akapita kwenye barabara iliyojengwa na Wachina nchini Zambia. Mahali pa mkutano huo ni jengo lililojengwa na serikali ya China kama zawadi kwa Zambia na ajenda kuu ya mkutano huo ilikuwa kuzuia ushirikiano wa Afrika na China."
–Akende M'memb (Director of Pan-Africanism Today)


Ukweli ni kwamba hii ndio silaha ya mwisho ya Marekani dhidi ya China na atashindwa. Unafikiri baada ya hapo atatumia silaha gani? Huenda Marekani ikafanya juu chini izame ndichi kuzichapa na China na mbuzi wa kafara ni Taiwan.
 
Hii inaitwa information warfare. Naona game limekuwa tight kwa Marekani

Anti China propaganda is almost the only thing America still be good at, kushindana na China kwenye manufacturing, trade na tech anhahaa

Tatizo la propaganda ni vigumu kufanya kazi effectively pale kwenye uhalisia mfano leo ukiweka BRI na hiyo Build Back Better World kuna tofauti kubwa sana kimafanikio

Wanachofanya Marekani ni waste of money
 
Hii inaitwa information warfare. Naona game limekuwa tight kwa Marekani

Anti China propaganda is almost the only thing America still be good at, kushindana na China kwenye manufacturing, trade na tech anhahaa

Tatizo la propaganda ni vigumu kufanya kazi effectively pale kwenye uhalisia mfano leo ukiweka BRI na hiyo Build Back Better World kuna tofauti kubwa sana kimafanikio

Wanachofanya Marekani ni waste of money
Marekani ina wivu sana kwa ushawishi na mafanikio ya China kimataifa kwa sasa, kama vile;
  • BRI (Belt and Road Initiatives hii ni worldwide)
  • BRICS (Hii ni worldwide. Inazidi kupata ushawishi na new member countries wanataka kujiunga)
  • FOCAC (Forum on China-Africa Cooperation)
  • CASCF (China-Arab States Cooperation)
  • SCO (Shanghai Cooperation Organisation. China, Eurasia countries)

  • China-LAC Summit (China Latin America Summit)

  • ASEAN-China SOM-DOC (China, South East Asian countries)

  • China-Central Asia Summit (China, Kazakhstan, Turkimenistan, Kyrgyzstan, Uzbekistan & Tajikistan)

Ni kama kila kona ya dunia China imekuwa na ushawishi.

Na mataifa mengi yanapenda bilateral na multilateral cooperation na China kwa sababu China huwa haingilii internal affairs ni win-win cooperation tofauti na Marekani na hana mpango wa kuweka military base "lets invest and do business only"
 
Aache kuwapigia kelele wewe na nani?
Kama ni wewe peke Yako unasikia kelele ujue utakua unaumwa masikio,Mimi usinisemee naona kaandika habari muhimu sana.
Ni vile watu hasa Pro-West hawajui umuhimu na mchango wa China kwenye South-South cooperation nchi zinazoendelea

Hasa kwenye exchange of resources, technology and knowledge, investment and trade katika mataifa yanayoendelea

GWok0uHW0AAU8Nt.jpg_large.jpg

US bombs China builds
 
Watu ni wanafiki ni hakuna mfano utafikiri wanalipa kodi zao Marekani. Hutaki kabisa kuongelea ufujaji mkubwa wa fedha za umma unaofanyika nchini kwako na badala yake unaongolea ya nchi nyingine isiyo kuhusu.

Leo hii Tundu Lissu na Mbowe wakihitaji bilioni 20 wahamie ccm na ugonjwa wa kipindupindu ukiwa umefumuka na unaua mamilioni ya watanzania, Samia atatoa hiyo pesa na kuwapa wapinzani wahamie ccm na kuacha mamilioni ya watanzania wafe na nina uhakika machawa kama nyie mtashindana kushangilia kupata makada wapya...!!!

Mwafrika atabaki mjinga tu hadi mwisho wa dahari na Mungu akija kuumba dunia yake nyingine hatafanya kosa la kuwaweka tena kwenye dunia yake hiyo mpya.
 
Watu ni wanafiki ni hakuna mfano utafikiri wanalipa kodi zao Marekani. Hutaki kabisa kuongelea ufujaji mkubwa wa fedha za umma unaofanyika nchini kwako na badala yake unaongolea ya nchi nyingine isiyo kuhusu.

Leo hii Tundu Lissu na Mbowe wakihitaji bilioni 20 wahamie ccm na ugonjwa wa kipindupindu ukiwa umefumuka na unaua mamilioni ya watanzania, Samia atatoa hiyo pesa na kuwapa wapinzani wahamie ccm na kuacha mamilioni ya watanzania wafe na nina uhakika machawa kama nyie mtashindana kushangilia kupata makada wapya...!!!

Mwafrika atabaki mjinga tu hadi mwisho wa dahari na Mungu akija kuumba dunia yake nyingine hatafanya kosa la kuwaweka tena kwenye dunia yake hiyo mpya.
Ndio maana kuna jukwaa la siasa za Tanzania na jukwaa la kimataifa

By the way kujua Kiswahili sio kigezo cha kukata kauli kuwa kila mtu humu JF ni Mtanzania
 
Sept 11, 2024, Baraza la Wawakilishi la bunge la Marekani liliidhinisha kiasi cha $1.6 Billion.
  • Bajeti hiyo ni ya miaka mitano (2023-2027) kueneza propaganda dhidi ya China sehemu mbalimbali duniani ikilenga hasa kuiharibia sifa China, ikitumia media za nje ya Marekani. Mpango huu umepewa jina la code H.R. 1157. Kwa wastani ni $1 million kwa siku, ili kufanikisha hilo Marekani imepanga pia kutumia ushawishi wa USAID.
View attachment 3095179

Tangu mwaka 2018 kipindi Trump akiwa raisi, Marekani imekuwa katika vita kali ya kiuchumi na kuzuia ushawishi wa China. Lakini mpaka kufikia sasa ukweli ni kwamba Marekani haijaona matokeo ambayo walikuwa wanayatazamia, kwa sababu uchumi wa China haujatikisika.

Badala ya kuwekeza kwenye production na miundombinu ya Marekani inayochakaa kila uchwao, tatizo la homelessness na drugs wameamua kutumia mabilioni hayo ya pesa za walipa kodi wa Marekani kwenye propaganda dhidi ya China.

Sasa tuangazie lengo kuu hasa la mpango huu;


Kuziwezesha kifedha media, journalists, wachambuzi na propagandists katika mataifa mbalimbali watoe taarifa hasi kuhusu China.
  • Usishangae unapoona taarifa kutoka hata mainstream-media na waandishi au wachambuzi wakiripoti habari zenye mtazamo hasi kuhusu China, ujue ni H.R. 1157 iko kazini ili kuzuia ushawishi wa China.​

BRI ndiyo imelengwa hasa.
  • Belt and Road Initiatives ni mkakati wa kimataifa wa maendeleo ya miundombinu uliopitishwa na serikali ya China mwaka 2013 kuwekeza katika nchi zaidi ya 150 na mashirika ya kimataifa. BRI imeifanya China iwe na ushawishi mkubwa sana duniani.
  • Marekani ilijaribu kuanzisha Build Back Better World au B3W Initiatives dhidi ya BRI lakini ikabuma. Inachotaka Marekani ni kuanzisha mijadala au public opinion pressure ili kuweka shinikizo China iachane na miradi yake ya BRI na kuzishawishi nchi husika ziachane na BRI.
  • Kwa mfano wanaweza kutunga negative impacts za uwekezaji wa BRI au kunzisha jumbe dhidi ya wakandarasi wa Kichina wanaojenga miundombinu katika BRI ili kuwagombanisha na wenyeji.
Lakini je, wataweza? Dunia imeshashtukia mchezo wa Marekani period.
View attachment 3095253

"Makamu wa rais wa Marekani (Kamala Harris) alikuja Zambia. Alitua kwenye uwanja wa ndege uliojengwa na Wachina nchini Zambia akapita kwenye barabara iliyojengwa na Wachina nchini Zambia. Mahali pa mkutano huo ni jengo lililojengwa na serikali ya China kama zawadi kwa Zambia na ajenda kuu ya mkutano huo ilikuwa kuzuia ushirikiano wa Afrika na China."
–Akende M'memb (Director of Pan-Africanism Today)


Ukweli ni kwamba hii ndio silaha ya mwisho ya Marekani dhidi ya China na atashindwa. Unafikiri baada ya hapo atatumia silaha gani? Huenda Marekani ikafanya juu chini izame ndichi kuzichapa na China na mbuzi wa kafara ni Taiwan.
Ushakula ugali wako na kabechi huna unalolijua unajifanya unajua mambo ya uchumi wa Marekani familia yako tu uchumi unakusumbua unawaza ya USA kenge wahed
 
Sio Kwa Marekani Tu hata maisha ya kawaida,usikariri maisha usifikiri maisha yalivyo Leo yatakuwa hivyo kesho! Marekani anaishi Kwa style ya zamani ya maisha kutegemea politics, ubabe, nk! Sera za Trump ndio Sera za kweli kabisa za Marekani ya Leo! Warudi shambani wakalime waache kuzionea nchi mbali mbali, propaganda na vita hivyo vitu siku hizi ni ujinga! Zamani alikuwa hata akiviwekea vikwazo vya kiuchumi nchi mbali mbali zinatoboa vizuri Tu yaani vimekuwa kama mateke ya punda anayekata roho! Nchi mbali mbali zinatibuka,zinabuni mbinu za kuachana na Marekani na zinafanikiwa! Nawaambia hata hii Africa wanayoiona kichwa cha mwendawazimu kila mtu anajifunzia kupiga konzi kuna siku haitakuwa hivi.Mfano mzuri ni nchi za sahel na ufaransa haijalishi kama jamaa watafanikiwa Sera zao au watakuja kushindwa siku Moja ila tayari ni indicator kuwa na Sisi tunataka kuwa huru! Huu ni mfano Tu ila kuna siku nchi za mabeberu watalala na viatu
 
Ushakula ugali wako na kabechi huna unalolijua unajifanya unajua mambo ya uchumi wa Marekani familia yako tu uchumi unakusumbua unawaza ya USA kenge wahed
Ukweli lazima usemwe
 
Mfano mzuri ni nchi za sahel na ufaransa haijalishi kama jamaa watafanikiwa Sera zao au watakuja kushindwa siku Moja ila tayari ni indicator kuwa na Sisi tunataka kuwa huru! Huu ni mfano Tu ila kuna siku nchi za mabeberu watalala na viatu
Umesema vyema, huko Afrika Magharibi kila sehemu Ufaransa wanamtemesha bungo, anafukuzwa kwa aibu
 
Sept 11, 2024, Baraza la Wawakilishi la bunge la Marekani liliidhinisha kiasi cha $1.6 Billion.
  • Bajeti hiyo ni ya miaka mitano (2023-2027) kueneza propaganda dhidi ya China sehemu mbalimbali duniani ikilenga hasa kuiharibia sifa China, ikitumia media za nje ya Marekani. Mpango huu umepewa jina la code H.R. 1157. Kwa wastani ni $1 million kwa siku, ili kufanikisha hilo Marekani imepanga pia kutumia ushawishi wa USAID.
View attachment 3095179

Tangu mwaka 2018 kipindi Trump akiwa raisi, Marekani imekuwa katika vita kali ya kiuchumi na kuzuia ushawishi wa China. Lakini mpaka kufikia sasa ukweli ni kwamba Marekani haijaona matokeo ambayo walikuwa wanayatazamia, kwa sababu uchumi wa China haujatikisika.

Badala ya kuwekeza kwenye production na miundombinu ya Marekani inayochakaa kila uchwao, tatizo la homelessness na drugs wameamua kutumia mabilioni hayo ya pesa za walipa kodi wa Marekani kwenye propaganda dhidi ya China.

Sasa tuangazie lengo kuu hasa la mpango huu;


Kuziwezesha kifedha media, journalists, wachambuzi na propagandists katika mataifa mbalimbali watoe taarifa hasi kuhusu China.
  • Usishangae unapoona taarifa kutoka hata mainstream-media na waandishi au wachambuzi wakiripoti habari zenye mtazamo hasi kuhusu China, ujue ni H.R. 1157 iko kazini ili kuzuia ushawishi wa China.​

BRI ndiyo imelengwa hasa.
  • Belt and Road Initiatives ni mkakati wa kimataifa wa maendeleo ya miundombinu uliopitishwa na serikali ya China mwaka 2013 kuwekeza katika nchi zaidi ya 150 na mashirika ya kimataifa. BRI imeifanya China iwe na ushawishi mkubwa sana duniani.
  • Marekani ilijaribu kuanzisha Build Back Better World au B3W Initiatives dhidi ya BRI lakini ikabuma. Inachotaka Marekani ni kuanzisha mijadala au public opinion pressure ili kuweka shinikizo China iachane na miradi yake ya BRI na kuzishawishi nchi husika ziachane na BRI.
  • Kwa mfano wanaweza kutunga negative impacts za uwekezaji wa BRI au kunzisha jumbe dhidi ya wakandarasi wa Kichina wanaojenga miundombinu katika BRI ili kuwagombanisha na wenyeji.
Lakini je, wataweza? Dunia imeshashtukia mchezo wa Marekani period.
View attachment 3095253

"Makamu wa rais wa Marekani (Kamala Harris) alikuja Zambia. Alitua kwenye uwanja wa ndege uliojengwa na Wachina nchini Zambia akapita kwenye barabara iliyojengwa na Wachina nchini Zambia. Mahali pa mkutano huo ni jengo lililojengwa na serikali ya China kama zawadi kwa Zambia na ajenda kuu ya mkutano huo ilikuwa kuzuia ushirikiano wa Afrika na China."
–Akende M'memb (Director of Pan-Africanism Today)


Ukweli ni kwamba hii ndio silaha ya mwisho ya Marekani dhidi ya China na atashindwa. Unafikiri baada ya hapo atatumia silaha gani? Huenda Marekani ikafanya juu chini izame ndichi kuzichapa na China na mbuzi wa kafara ni Taiwan.
Hawezi thubutu kuzichapa na china u.s kwanza hana nchi washiriki wenye nguvu kama ya kwake ( though nguvu kubwa anayotumia ni propaganda) china ana technology, far better than u.s , ana population, ana loyal subjects na ana washirika wenye nguvu kubwa ambao nao wanasubiri U.S ajikune
 
Marekani ina wivu sana kwa ushawishi na mafanikio ya China kimataifa kwa sasa, kama vile;
  • BRI (Belt and Road Initiatives hii ni worldwide)
  • BRICS (Hii ni worldwide. Inazidi kupata ushawishi na new member countries wanataka kujiunga)
  • FOCAC (Forum on China-Africa Cooperation)
  • CASCF (China-Arab States Cooperation)
  • SCO (Shanghai Cooperation Organisation. China, Eurasia countries)

  • China-LAC Summit (China Latin America Summit)

  • ASEAN-China SOM-DOC (China, South East Asian countries)

  • China-Central Asia Summit (China, Kazakhstan, Turkimenistan, Kyrgyzstan, Uzbekistan & Tajikistan)

Ni kama kila kona ya dunia China imekuwa na ushawishi.

Na mataifa mengi yanapenda bilateral na multilateral cooperation na China kwa sababu China huwa haingilii internal affairs ni win-win cooperation tofauti na Marekani na hana mpango wa kuweka military base "lets invest and do business only"
Kwa hii orodha uliyoweka ukweli ni kwamba mataifa mengi duniani yamepata mbadala wa Marekani, ambaye ni China.

Wameona Marekani ni wanafiki kwanza wanachangia sana colour revolution na kupandikiza viongozi wanaowataka hasa wakitumia shirika lao la NED (National Endowment for Democracy)

Hii NGO ni ya kuweka mbali kwanza nashangaa sijui kwa nini Tanzania wameiruhusu

Inatumiwa sana na CIA
 
Wameona Marekani ni wanafiki kwanza wanachangia sana colour revolution na kupandikiza viongozi wanaowataka hasa wakitumia shirika lao la NED (National Endowment for Democracy)
Uko sahihi baada ya kuona harakati za CIA za kufanya mapinduzi zinajulikana wakaanzisha taasisi zao zikijifanya zinatetea democracy.

Bajeti zao zinapewa support na The Fed kupita bunge la Marekani

  • NED (National Endowment for Democracy)
  • IRI (International Republican Institute)
  • NDI (National Democratic Institute)
  • CIPE (Center for International Private Enterprise)
  • USAID

Hizi taasisi zinafanya kazi bega kwa bega na CIA

Kama NED imechangia sana mapinduzi ya kiutawala katika mataifa mbalimbali kwa kusambaza propaganda dhidi ya tawala ambazo Marekani hawazitaki, wanajifanya kuwatrain vijana kumbe wanawaandaa kwa mapinduzi ambayo Marekani anataka kuweka vibaraka wake.

Mfano wa karibuni walipofaulu ni Bangladesh, ila Venezuela walichemka

Hizi taasisi na kazi wanazofanya kwa niaba ya CIA na Marekani kwa siri

Mataifa kama China, Russia na mengine walishazifukuza kitambo

Tanzania baadhi ya hizi taasisi zipo mamlaka husika sijajua wanazichukuliaje
 
Back
Top Bottom