China yafanikiwa kurusha satelaiti ya "Zhongxing 1E"

China yafanikiwa kurusha satelaiti ya "Zhongxing 1E"

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
Septemba 13, saa 3:18 usiku, China ilifanikiwa kurusha satelaiti ya "Zhongxing 1E" angani kwa kutumia roketi ya Long March 7 kutoka kwenye Kituo cha Kurushia Satelaiti cha Wenchang. Satelaiti hiyo hutumiwa zaidi kuwapa watumiaji huduma bora za simu, data, redio na televisheni.

VCG111400960157.jpg
 
Back
Top Bottom