China ndio inaongoza duniani kwa uvunaji wa umeme wa majiKwa nini wanachelewa kubuni mbinu mbadala hata watumie maji kama mbadala wa umeme.
Kama taifa Mungu ametuona!! Makaa so yamejaa mchuchumaNchi ya China ambayo ndio nchi ya pili kwa uchumi mkubwa imekumbwa na ukosefu mkubwa wa umeme kiasi cha kulazimika kuzima mpaka taa za barabarani kwa baadhi ya miji yake mikubwa
Hali hii inasadikiwa kusababishwa na ongezeko kubwa la bei ya makaa ya mawe
Dw mkuuHii taarifa chanzo chake ni wapi
Elon Musky anawahusu, atapiga deal hapaNchi ya China ambayo ndio nchi ya pili kwa uchumi mkubwa imekumbwa na ukosefu mkubwa wa umeme kiasi cha kulazimika kuzima mpaka taa za barabarani kwa baadhi ya miji yake mikubwa
Hali hii inasadikiwa kusababishwa na ongezeko kubwa la bei ya makaa ya mawe
Fursa hiyo kwa Tanzania. Tuna makaa ya kutosha, badala ya kutafuta soko la kuuza nje tuongeze pato la nchi, tunaweka tozo kuhamisha pesa kwa wananchi kwenda serikalini (Dr Mwigulu theorem)Nchi ya China ambayo ndio nchi ya pili kwa uchumi mkubwa imekumbwa na ukosefu mkubwa wa umeme kiasi cha kulazimika kuzima mpaka taa za barabarani kwa baadhi ya miji yake mikubwa
Hali hii inasadikiwa kusababishwa na ongezeko kubwa la bei ya makaa ya mawe