DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,396
- 2,598
Sawa, wacha tuone namna watakavyo weza kumaliza misuguano yao na uchina.Mungu mtu wa kirumi anayeitwa baba mtakatifu akitaka kutafuta influence kwenye nchi ya wenye msimamo asilia wa kiasia…. Waitaliano wakiambiwa waabudu dragon watakubali? Ushamba tu na ukiritimba wa kimagharibi kutaka dominate dunia nzima, wameweza America, Africa na Europe ila kwa Asia hawataweza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkutano wa kimazungumzo baina ya Vatican [ Pope Francis ] na China [ President Xi Jinping ] umeshindwa kufanikiwa .
Reuters imeripoti kuwa “ Vatican iliiambia China kuwa papa Francis alikuwa tayari kukutana na Rais wa China Xi Jinping kwa ajili ya mazungumzo wakati viongozi hao walipo kuwa katika ziara katika mjii mkuu wa Kazakhstan lakini China ilinukuliwa ikisema kuwa hakuna muda kwa ajili ya hilo ombi.
Serikali hizi mbili zime kuwa na migongano mbalimbali kuhusu Uhuru na mamlaka ya kanisa katoliki China na kuhusu swala la Taiwan.
: Habari zaidi soma Reuters
View attachment 2359816
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2360508View attachment 2360509
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Serikali ya Vatican inayo ongozwa na papa Francis inaweza kuwa ina shida kubwa sana juu ya sera zao za nje dhidi ya mataifa ya mashariki.
Sawa wacha tuone akitekeleza hilo.
Vatican ni nchi kiongozi wake wa sasa ni papa Francis.Hebu nieleweshe, kwani Vatican ni nchi? Yesu hakuja kuanzisha taifa la kisiasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu mtu wa kirumi anayeitwa baba mtakatifu akitaka kutafuta influence kwenye nchi ya wenye msimamo asilia wa kiasia…. Waitaliano wakiambiwa waabudu dragon watakubali? Ushamba tu na ukiritimba wa kimagharibi kutaka dominate dunia nzima, wameweza America, Africa na Europe ila kwa Asia hawataweza.
Xi. Is next target na anajuwa hayo majamaa walivyo kuwa hatari. Japo Ero hawajashindwa pale Taiwani bora atafute kazi nyingine amuulize Russian FederationMkutano wa kimazungumzo baina ya Vatican [ Pope Francis ] na China [ President Xi Jinping ] umeshindwa kufanikiwa .
Reuters imeripoti kuwa “ Vatican iliiambia China kuwa papa Francis alikuwa tayari kukutana na Rais wa China Xi Jinping kwa ajili ya mazungumzo wakati viongozi hao walipo kuwa katika ziara katika mjii mkuu wa Kazakhstan lakini China ilinukuliwa ikisema kuwa hakuna muda kwa ajili ya hilo ombi.
Serikali hizi mbili zime kuwa na migongano mbalimbali kuhusu Uhuru na mamlaka ya kanisa katoliki China na kuhusu swala la Taiwan.
: Habari zaidi soma Reuters
View attachment 2359816
Russian Federation ili fanywa nini ?Xi. Is next target na anajuwa hayo majamaa walivyo kuwa hatari. Japo Ero hawajashindwa pale Taiwani bora atafute kazi nyingine amuulize Russian Federation