Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Kwa mara nyingine tena China imeonyesha ina high tech kwenye high speed train kwa kuzindua treni yenye kasi ya 450km/hr mnamo Desemba 29
Kwa sasa inashikilia rekodi ya kasi kubwa zaidi duniani. Treni hilo limepewa jina la CR 450 limezinduliwa jijini Beijing
Litakuwa na safari kati ya Beijing na Shanghai (1200km) Katika majaribio limetumia masaa 3 tu.
1200km ni sawa na umbali wa kutoka Dar mpaka Kigoma (Kasulu), imagine usafiri kwa masaa 3 tu ni kama umepanda mwewe wa ardhini
Improvements in speed, energy efficiency, interior noise reduction and braking performance
Fast, On time, Comfortable. China never stops!!! Always breaking the rules and setting new standards
Kwa sasa inashikilia rekodi ya kasi kubwa zaidi duniani. Treni hilo limepewa jina la CR 450 limezinduliwa jijini Beijing
Litakuwa na safari kati ya Beijing na Shanghai (1200km) Katika majaribio limetumia masaa 3 tu.
1200km ni sawa na umbali wa kutoka Dar mpaka Kigoma (Kasulu), imagine usafiri kwa masaa 3 tu ni kama umepanda mwewe wa ardhini
Improvements in speed, energy efficiency, interior noise reduction and braking performance
Fast, On time, Comfortable. China never stops!!! Always breaking the rules and setting new standards