China yaweka rekodi mpya duniani katika biashara ya kimataifa mwaka 2024. Vikwazo vya kibiashara vya Marekani havina maana!

China yaweka rekodi mpya duniani katika biashara ya kimataifa mwaka 2024. Vikwazo vya kibiashara vya Marekani havina maana!

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
Kwa mara ya kwanza duniani katika historia ya biashara ya kimataifa China limekuwa taifa la kwanza kuweka rekodi ya trade surplus ya $1 trillion

Kwa waliosoma commerce au economics wanakumbuka hizi terms mbili trade surplus na trade deficit

Trade surplus au ziada ya biashara ni kiasi ambacho thamani ya mauzo ya nje ya nchi inazidi gharama ya uagizaji wake.
  • (A trade surplus is an economic measure of a positive balance of trade, where a country's exports exceed its imports.)​

Trade deficit au nakishi ya kibiashara ni kiasi ambacho gharama ya uagizaji wa nchi inazidi thamani ya mauzo yake nje.
  • (A trade deficit occurs when a country buys more goods than it sells)​

Mara zote trade surplus ni indicator ya economic growth na healthy economy

Trump alipoanzisha vita vya kibiashara "trade war & tariffs" dhidi ya China mwaka 2018, trade surplus ya China ilikuwa $350 billion tu.

Lakini kufikia 2024 China’s trade surplus imefikia $1 trillion. Imagine ni mara 3 ya ilivyokuwa 2018!

Vikwazo vya kibiashara vya Marekani kwa China vimethibitika kuwa useless.

Mara ya mwisho Marekani kuwa na trade surplus ilikuwa mwaka 1975 kuanzia hapo imekuwa na trade deficit mpaka sasa. Mwaka 2024 trade deficit ya Marekani ilikuwa zaidi ya $1 trillion

Rising dragon fading eagle
 
Past 30 days, what we heard on China -

1. Defence - 6th Gen Fighter Jets
2. Science - Artificial Sun prototype
3. Trade - $ 1 trillion surplus
4. AI - DeepSeek upended US giants

What did you hear about US?
Trump blaah blaah

Western media: China's economy has collapsed😱


 
Past 30 days, what we heard on China -

1. Defence - 6th Gen Fighter Jets
2. Science - Artificial Sun prototype
3. Trade - $ 1 trillion surplus
4. AI - DeepSeek upended US giants

What did you hear about US?
Trump blaah blaah

Western media: China's economy has collapsed😱


Me, I heard him saying Tik Tok!
 
Jamaa yeye anakuja na maelezo ya kueleweka ila wewe kwenye kushoboka na marekani hata hoja huwezi kujenga zaidi ya kutukana.
Nakuona kwenye majukwaa mengi unaonekama upo tayari hata kutuuza waafrika wote kwaajili ya marekani
Nimeona wengi pro West huwa hawana hoja za maana inapohusu kucompare China na Marekani kiuchumi
 
Marekani ina uchumi wa mchongo sana
Sahihi, hata nominal GDP ya Marekani inapandishwa na inflation katika goods and services. Lakini kwa ground mambo ni magumu sana kwa ordinary people

Ndio maana inapokuja kwenye kulinganisha uchumi wa China na Marekani kwa kuangalia GDP (PPP) China inakuwa mbele ya Marekani
 
Marekani iache iwe Marekani tu.

Shirika la afya duniani kuna wanachama wa nchi zaidi ya 200 lakini Marekani kajitoa kwa muda kelele kibao bajeti imetikisika.

Marekani inachangia dola milioni 500 (shilingi Trilioni 1 na bilioni 200), Mchina anachangia dola milioni 20 (shilingi bilioni 50)
 
hata nominal GDP ya Marekani inapandishwa na inflation katika goods and services.
Hili wengi hawalijui, GDP a measure of the market value of all goods and services produced in a country using current prices

Sasa hiyo current prices unakuta kila bidhaa na huduma Marekani imepigwa na inflation

Nakubaliana sana na wachumi wanaosema kuwa GDP in Purchasing Power Parity ipo accurate kwenye comparison ya economic output na living standards
 
Hili wengi hawalijui, GDP a measure of the market value of all goods and services produced in a country using current prices

Sasa hiyo current prices unakuta kila bidhaa na huduma Marekani imepigwa na inflation

Nakubaliana sana na wachumi wanaosema kuwa GDP in Purchasing Power Parity ipo accurate kwenye comparison ya economic output na living standards
Kila kitu Marekani kipo inflated hadi GDP
 
Marekani iache iwe Marekani tu.

Shirika la afya duniani kuna wanachama wa nchi zaidi ya 200 lakini Marekani kajitoa kwa muda kelele kibao bajeti imetikisika.

Marekani inachangia dola milioni 500 (shilingi Trilioni 1 na bilioni 200), Mchina anachangia dola milioni 20 (shilingi bilioni 50)
Nchi masikini ndio zinazopiga kelele umesikia wapi nchi zenye uchumi mkubwa kama Ujerumani, China, Japan na nyinginezo wakilalamika? Hata bila WHO tayari mifumo yao ya afya inajiweza hofu kwenu dunia ya tatu mnaotegemea misaada
 
Back
Top Bottom