China yaweka rekodi mpya duniani katika biashara ya kimataifa mwaka 2024. Vikwazo vya kibiashara vya Marekani havina maana!

China yaweka rekodi mpya duniani katika biashara ya kimataifa mwaka 2024. Vikwazo vya kibiashara vya Marekani havina maana!

Kila kitu anachofanya china mbona mnamlinganisha na marekani?. Inaonekana marekani ni lijitu likubwaaa.
 
Kila kitu anachofanya china mbona mnamlinganisha na marekani?. Inaonekana marekani ni lijitu likubwaaa.
Kwa kuwa Marekani anajitahidi kuifanyia figisu China ili kuiangusha katika sci tech na trade ila inashindwa

Na kwa taarifa yako Marekani sio lijitu likubwa kwa China ndio maana hawezi kucompete na China fairly lazima acheze na tariffs, ban, decoupling na derisking dhidi ya China ila bado anatulizwa
 
Kwa kuwa Marekani anajitahidi kuifanyia figisu China ili kuiangusha katika sci tech na trade ila inashindwa

Na kwa taarifa yako Marekani sio lijitu likubwa kwa China ndio maana hawezi kucompete na China fairly lazima acheze na tariffs, ban, decoupling na derisking dhidi ya China ila bado anatulizwa
Kwa miaka mingi Marekani imekuwa ikisisitiza free trade na ikawa moja ya waasisi wa shirika la biashara duniani WTO ili kupigania free trade duniani ila kwa sasa anapodeal na China hakuna tena free trade ni mwendo wa protectionism policy 🤣🤣🤣

Nafikiri kwa sasa China ndio lijitu likubwa na sio Marekani

Cc Gatabhanya
 
Jamaa yeye anakuja na maelezo ya kueleweka ila wewe kwenye kushoboka na marekani hata hoja huwezi kujenga zaidi ya kutukana.
Nakuona kwenye majukwaa mengi unaonekama upo tayari hata kutuuza waafrika wote kwaajili ya marekani
Wabongo usa na isreal yao huwaambii kitu hata waaharibu kiasi gana jamaa atawasifia tu
 
Kwa miaka mingi Marekani imekuwa ikisisitiza free trade na ikawa moja ya waasisi wa shirika la biashara duniani WTO ili kupigania free trade duniani ila kwa sasa anapodeal na China hakuna tena free trade ni mwendo wa protectionism policy 🤣🤣🤣

Nafikiri kwa sasa China ndio lijitu likubwa na sio Marekani

Cc Gatabhanya
Umesema vyema
 
Back
Top Bottom