Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachina wenyewe Wana njaa balaa, watu wanazamia kwenye nchi ya asali na maziwaHalafu sijasikiaga watu wakizamia kwenda China.(rate kubwa)
Huyu Sasa ndio beberu
Kwa sasa China inaongoza kwa kuwapa pesa nyingi wabongolend kuanzia vitu vipya mpaka mtumbaWachina wenyewe Wana njaa balaa, watu wanazamia kwenye nchi ya asali na maziwa
That's extremely correct!
Tunajimaliza sis wenyeweTumekwisha
Tatizo si China hata kidogo,tatizo sis wenyewe tunaendekeza sana ubinafs na kuwajal wagen kuliko tunavyojijal sis wenyeweChina banaa....
Pamoja na urafiki tulionao....ila.....
Mmmh......
Leo hii wachina wanauza hadi visendo vya watoto KariakooTatizo si China hata kidogo,tatizo sis wenyewe tunaendekeza sana ubinafs na kuwajal wagen kuliko tunavyojijal sis wenyewe
Na km viongoz wetu wakiendelea kuwachekea pindi siku watamwaga biashara wenyewe barabaran km machingaLeo hii wachina wanauza hadi visendo vya watoto Kariakoo
Ngoja tufikie huko, wakati huo Machinga watz watakuwa wanauza vitu vya pale kwenye viwanja vya bunge, na ole wake spika wa wakati huo alete fyoko fyokoNa km viongoz wetu wakiendelea kuwachekea pindi siku watamwaga biashara wenyewe barabaran km machinga
Mungu ajaalie tusifikie hukoNgoja tufikie huko, wakati huo Machinga watz watakuwa wanauza vitu vya pale kwenye viwanja vya bunge, na ole wake spika wa wakati huo alete fyoko fyoko