Chinese firm begins work on Sh16bn Kenol-Marua dual carriageway

Chinese firm begins work on Sh16bn Kenol-Marua dual carriageway

do not blame Tanzanians nyerere died blaming Kenya, the current generation will also die blaming Kenya. The truth is they don't want to face reality that their county is backward. They think dreams are reality. They are too lazy and too uneducated to think rationally. They do not have any economic contribution to eac or to sadc. Infact south africa and arabs own Tanzania. Imagine small countries like Uganda and Rwanda sell more to Kenya than Tanzania.
Nyerere alibeba akili ya watz na akakufa akaenda nazo.

Mwanzoni nilikua nasoma kuhusu Nyerere na kumuona kama aliyekua mtu wa maana sana, ila ukichunguza kwa umakini aliwaharibu hawa watu naa kuwafanya wawe wenye wivu, majungu, wanafiki na wazembe wa kutupwa. Ujamaa wake ndio uliwaathiri kiasi hiki na itachukua vizazi kadhaa kabla kuwatoka kabisa, ila kwa sasa itabidi kuwavumilia kama walivyo.

Jaribu kuishi nao ndio utaona ninachokisema, hata wenyewe kwa wenyewe huhujumiana japo kimya kimya, kila anayejaribu kutoka wanamkwamisha ilmradi wabaki chini wote.
 
Hizi Ni feeder roads but in Tz Ni highways 😂😂😂 na Kama ni uongo weka any dual carriageway nje ya Dar
Estate roads ni highways?
LOL estate streets in Dodoma looks like highways in Kenya

Screenshot_20200318-213805~2.png
Screenshot_20200318-213929~2.png
Eck16PeXsAAtNFV.jpg
Eck17nLXYAUWfij.jpg
Screenshot_20200318-213641~2.png
Screenshot_20200318-213726~2.png
 
Mwanzoni nilikua nasoma kuhusu Nyerere na kumuona kama aliyekua mtu wa maana sana, ila ukichunguza kwa umakini aliwaharibu hawa watu naa kuwafanya wawe wenye wivu, majungu, wanafiki na wazembe wa kutupwa. Ujamaa wake ndio uliwaathiri kiasi hiki na itachukua vizazi kadhaa kabla kuwatoka kabisa, ila kwa sasa itabidi kuwavumilia kama walivyo.
Jaribu kuishi nao ndio utaona ninachokisema, hata wenyewe kwa wenyewe huhujumiana japo kimya kimya, kila anayejaribu kutoka wanamkwamisha ilmradi wabaki chini wote.
Acha majungu kijana ni dalili ya uchawi.

Sema katika nchi zote EA ni nchi ipi unaweza ishi bila tabu na wananchi wake kama tz[emoji38][emoji38],unaandika upupu hapa wakenya wenye akili wanakuchora ulivyo mpuuzi.

Nyerere hawezi kibadirika kuwa mtu wa hovyo hovyo kisa wewe mdumavu wa akili umeona hivyo,tena kama unahisi una chuki naye sana ni afadhali ukatoka kabisa humu,kuliko kuendelea kumkosea adabu mzee wetu. Hangaikeni na kenyata wenu aliyeuzia nchi wageni mpaka sasa mnaishi kama mbwa kwenye nchi yenu.
 
Saa hii mnajenga 2 way roads kwenda vijijini... hapa tunapanua zikuwe dual-carriage ways... tofauti kubwa
Hahahaha ongezeni kwanza kilometres za lami zinazoeleweka zifike angalau 7k kwanza 😅😅😅

Screenshot_20200624-143329~2.png
 
acha majungu kijana ni dalili ya uchawi.

sema katika nchi zote EA ni nchi ipi unaweza ishi bila tabu na wananchi wake kama tz[emoji38][emoji38],unaandika upupu hapa wakenya wenye akili wanakuchora ulivyo mpuuzi.

nyerere hawezi kibadirika kuwa mtu wa hovyo hovyo kisa wewe mdumavu wa akili umeona hivyo,tena kama unahisi una chuki naye sana ni afadhali ukatoka kabisa humu,kuliko kuendelea kumkosea adabu mzee wetu.hangaikeni na kenyata wenu aliyeuzia nchi wageni mpaka sasa mnaishi kama mbwa kwenye nchi yenu.

Wewe nilishakupa darasa ya haya mambo, nashangaa bado umengangania, ndio hayo matatizo ya ujamaa
 
Back
Top Bottom