Chinese firm begins work on Sh16bn Kenol-Marua dual carriageway


Mwanzoni nilikua nasoma kuhusu Nyerere na kumuona kama aliyekua mtu wa maana sana, ila ukichunguza kwa umakini aliwaharibu hawa watu naa kuwafanya wawe wenye wivu, majungu, wanafiki na wazembe wa kutupwa. Ujamaa wake ndio uliwaathiri kiasi hiki na itachukua vizazi kadhaa kabla kuwatoka kabisa, ila kwa sasa itabidi kuwavumilia kama walivyo.

Jaribu kuishi nao ndio utaona ninachokisema, hata wenyewe kwa wenyewe huhujumiana japo kimya kimya, kila anayejaribu kutoka wanamkwamisha ilmradi wabaki chini wote.
 
Acha majungu kijana ni dalili ya uchawi.

Sema katika nchi zote EA ni nchi ipi unaweza ishi bila tabu na wananchi wake kama tz[emoji38][emoji38],unaandika upupu hapa wakenya wenye akili wanakuchora ulivyo mpuuzi.

Nyerere hawezi kibadirika kuwa mtu wa hovyo hovyo kisa wewe mdumavu wa akili umeona hivyo,tena kama unahisi una chuki naye sana ni afadhali ukatoka kabisa humu,kuliko kuendelea kumkosea adabu mzee wetu. Hangaikeni na kenyata wenu aliyeuzia nchi wageni mpaka sasa mnaishi kama mbwa kwenye nchi yenu.
 
Saa hii mnajenga 2 way roads kwenda vijijini... hapa tunapanua zikuwe dual-carriage ways... tofauti kubwa
Hahahaha ongezeni kwanza kilometres za lami zinazoeleweka zifike angalau 7k kwanza πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

 

Wewe nilishakupa darasa ya haya mambo, nashangaa bado umengangania, ndio hayo matatizo ya ujamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…