willyTrinidad
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 441
- 455
Wanapita kimya kimya. Wet dream imeishaWanauchungulia uzi kwa umbali.
Kwahiyo ulitaka wachina wakiulizwa kama wanapanga kuchukua bandari ya Mombasa, wakubali ?Taarifa za bandari yetu kuchukulia na China zilijadiliwa Tanzania yote kwa furaha sana, hapa sasa unataka kusababishia watu msongo wa mawazo na presha kali.
Kwahiyo ulitaka wachina wakiulizwa kama wanapanga kuchukua bandari ya Mombasa, wakubali ?
Why are you black minded people so myopic ?
Anyway. Time will tell.Soma na kuelewa, issue sio kama wanataka au hawataki, hilo sio lililoulizwa......
Swali lililo mezani ambalo mumeshindwa kuthibitisha ni kama bandari ilitumika kama chaka, was it used as collateral....
Kenya imesema haikutumia bandari kama collateral[/colour]
lChina imesema bandari haikutumika kama collateral
Sasa nyie Watanzania mumeng'ang'ania kwamba Mchina anakuja kuchukua bandari, sielewi taarifa mnazitoa wapi, au mumeingiwa na kichaa cha aina gani, hehehe ila kwa kweli bandari yetu huwapa tabu sana, na sasa ukiongeza ieunga moja kwa moja kwenye reli ya kisasa ya SGR....mtazidi kupata maumivu sana halafu ujenzi wa SGR bado unaendelea mpaka tufike kwa Kongoman...
Wacha maneno mengi. Swala ni simple. SGR did not use Kenya port or any other govt assets as collateral.Anyway. Time will tell.
Tangu lini watawala wa Africa wamewahi kuwa wasema kweli ?
Wachina wanajua kula watawala koko wa Africa, mwisho wa siku they know what they need.
Wacha maneno mengi. Swala ni simple. SGR did not use Kenya port or any other govt assets as collateral.
Maneno mengi ya wakoloni na wachina peleka mbali ama fungua nyuzi
Kwani wewe ni mkenya?Tuliwauliza humu, tatizo nini? Wakashindwa kutujibu.
Tuliwauliza humu, hao Wachina wataibeba hiyo port waipeleke China? wakashindwa kutujibu.
Sasa waje watuombe msamaha kwa ujinga wao.
Anyway. Time will tell.
Tangu lini watawala wa Africa wamewahi kuwa wasema kweli ?
Wachina wanajua kula watawala koko wa Africa, mwisho wa siku they know what they need.
You talk like a 45+ old black guy.Time will tell what, mbona mnalazimisha na kung'ang'ania taarifa bila ushahidi wowote wala chanzo chochote!!!
- Mkaguzi mkuu amekana hakutoa taarifa kama hizo, japo mlisema mumezipata kutoka kwake
- Serikali imesema haikutumia bandari kama collateral
- China imesema bandari haikuhusika
Wacheni kuteseka bure, mtulie na kujitazamia nch yetu ikipiga hatua, hao Wachina hata kama wanatutafuna maeneo, na sisi tunafaidi kwengine, ndivyo ilivyo dunia, nikune nikukune ndio mchezo wa kinyang'au, lakini sio kama nyie mumeliwa madini na raslimali zote tangu kubuniwa kwa jamhuri yenu, na mpaka leo mnaorodheshwa kwenye nchi maskini wa kutupwa, mnafaa kujifunza unyang'au na kuacha hizo pumba za kuita kila mtu ndugu.
Kidogo rais wenu wa sasa nimeona ameiga kaunyang'au ka kiana haswa pale aliamua kuwakalia kooni wachimba madini, tatizo anakurupuka sana, anafaa darasa la jinsi ya kufanya unyang'au kimya kimya bila kuonekana kama anawachokonoa wazungu, maana watamtaftia vijisababu vya kumchelewesha.
Chemsha bongo kama unayo. Hapa mada tunayojadili ni very simple white and black. Hakuna mambo ya kati kati.Umejawa na mihemko hata hujui aliye anasapoti ulichoandika au anayepinga wewe ni kujibu pumba tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..
Huyo yuko upande wako nuggu manyoya.
Uko Tanzania boss? Please don't tell me the average man in Tandale was discussing this.ππTaarifa za bandari yetu kuchukulia na China zilijadiliwa Tanzania yote kwa furaha sana, hapa sasa unataka kusababishia watu msongo wa mawazo na presha kali.
Brother, watanzania wakikucheka wewe achana nao.Taarifa za bandari yetu kuchukulia na China zilijadiliwa Tanzania yote kwa furaha sana, hapa sasa unataka kusababishia watu msongo wa mawazo na presha kali.
Uko Tanzania boss? Please don't tell me the average man in Tandale was discussing this.ππ