Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
• Hapa Ni Ile Kodi ya moja kwa moja
•Kwa takwimu za mwaka Jana Ni 16% ya Nguvu kazi ambayo ndiyo inalipa Kodi Yani Kati ya Nguvu kazi ya Tanzania 33,000,000 Ni watu chini ya milioni nne Pelee ndio wanalipa Kodi
Kama ndivyo nilazima Hawa wachache wanaolipa waione mzigo kwa manufaa ya watu milioni 58 wanaobaki . Hawa watu milioni nne wanaolipa Kodi ya moja kwa moja Mungu awatie nguvu
Kwa mujibu wa habari leo"imesema hadi kufikia Juni 30, 2023 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ilikuwa imesajili jumla ya walipa kodi 4,696,999, sawa na asilimia 16 ya idadi ya nguvu kazi iliyopo nchini ambayo ni takribani watu milioni 33.
Futeni na hii
•Kwa takwimu za mwaka Jana Ni 16% ya Nguvu kazi ambayo ndiyo inalipa Kodi Yani Kati ya Nguvu kazi ya Tanzania 33,000,000 Ni watu chini ya milioni nne Pelee ndio wanalipa Kodi
Kama ndivyo nilazima Hawa wachache wanaolipa waione mzigo kwa manufaa ya watu milioni 58 wanaobaki . Hawa watu milioni nne wanaolipa Kodi ya moja kwa moja Mungu awatie nguvu
Kwa mujibu wa habari leo"imesema hadi kufikia Juni 30, 2023 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), ilikuwa imesajili jumla ya walipa kodi 4,696,999, sawa na asilimia 16 ya idadi ya nguvu kazi iliyopo nchini ambayo ni takribani watu milioni 33.
Futeni na hii