Elections 2010 Chini ya asilimia 50, tunaenda mzunguko wa pili?

Elections 2010 Chini ya asilimia 50, tunaenda mzunguko wa pili?

you wish.

According to the National Bureau of Statistics, 20% of Tanzanian are living in urban areas, and 80% in rural areas.

Wapenzi na washabiki wengi wa Slaa wako mijini. Wengi wao hawajajiandikisha. Na hata waliojiandikisha wengi wao hawatapiga kura. Mwanakijiji mmojawapo wa hao.

Hivyo basi, kuwa Slaa atashinda mwaka huu ni kulazimisha.

I am not pro Kikwete, but I am living a factual truth kwamba Kikwete will win, hata kama kwa hiyo simple majority, na hata kama ataacha kufanya kampeni leo.

Real !! Mzee amekacha safari zote za UN na kwingineko na tunajua anavyopenda kukatiza anga. Analeta watu mikutanoni na ma FUSO, ameshirikisha mke na watoto, na sasa wameingia akina Lt.Shimb. Hizi ni dalili njema kweli!!
 
ok.. kumbe nanii yangu ya awali ilikuwa sahihi.. basi all in all nilidhani JK atakuwa na matumaini kwenye runoff; lakini sasa naamini Dr. Slaa atashinda by simple majority. Thanks for observation, I stand corrected.

Ukiona wazee kama nyie mnakubali matokeo mapema basi mwaka huu lazima kieleweke.
 
ok.. kumbe nanii yangu ya awali ilikuwa sahihi.. basi all in all nilidhani JK atakuwa na matumaini kwenye runoff; lakini sasa naamini Dr. Slaa atashinda by simple majority. Thanks for observation, I stand corrected.

Itauwa simple majority kwasababu ya kuweka uchakachuaji utakafanywa na ccm kama kawaida yao?
 
Hata akishinda kwa kura nusu ataapishwa.
lol
 
Basi sheria hii itakuwa ya kijinga sana. Tuna vyama vingi sana vyenye usajili wa kudumu. Jee vyama kumi vikisimamisha wagomea na anayeongoza kwa simple majority ni mwenye asilimia 12% basi ndiyo imetoka? utakuwa upuuzi kuwa na Rais aliyechaguliwa na 12% ya wananchi.

True. Sheria ya kijinga, Katiba ya Kijinga, NEC ya kijinga, Registrar of parties mjinga, Wapiga kura wakidanganyika wajinga and the army led by ****** and list goes on and on.
 
Back
Top Bottom