Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,773
- 32,431
you wish.
According to the National Bureau of Statistics, 20% of Tanzanian are living in urban areas, and 80% in rural areas.
Wapenzi na washabiki wengi wa Slaa wako mijini. Wengi wao hawajajiandikisha. Na hata waliojiandikisha wengi wao hawatapiga kura. Mwanakijiji mmojawapo wa hao.
Hivyo basi, kuwa Slaa atashinda mwaka huu ni kulazimisha.
I am not pro Kikwete, but I am living a factual truth kwamba Kikwete will win, hata kama kwa hiyo simple majority, na hata kama ataacha kufanya kampeni leo.
Real !! Mzee amekacha safari zote za UN na kwingineko na tunajua anavyopenda kukatiza anga. Analeta watu mikutanoni na ma FUSO, ameshirikisha mke na watoto, na sasa wameingia akina Lt.Shimb. Hizi ni dalili njema kweli!!